Habari za saa members wote.
Nina swali lenye kuhitaji majawabu kutoka kwenu.
SWALI:
1. Je, mikataba inayo saini serikali na nchi za nje au makampuni ya ndani na ya nje ina pitia bungeni kujadiliwa ?
i, Kama jibu ni hapana, kwa nini haipiti katika bunge kujadiliwa ?
ii,Je, sheria za nchi...