saini

Saini (pronunciation ) is a caste of North India who were traditionally landowners (zamindars) and farmers. Sainis claim to be descendants of a king, Shurasena, as well as of Krishna and Porus, and to be related to the ancient Shoorsaini clan, noted in Puranic literature. The Saini community is given representation in government jobs and educational institutes under Other Backward Class (OBC) category in states of Uttar Pradesh, Punjab, Haryana, Rajasthan and Madhya Pradesh. The 1901 census noted that people using the Shoorsaini name were by then found only in Punjab, Haryana, Jammu and Kashmir, Himachal Pradesh and Delhi. Mali Rajputs also claim themselves to be Sainis.As both a statutory agricultural tribe and a designated martial race during the British Raj era that followed the Indian Rebellion of 1857, Sainis had been chiefly engaged in both agriculture and military service since then until recent times. However, since the independence of India, Sainis have diversified into different trades and professions other than military and agriculture. Sainis are now also seen in increasing numbers as businessmen, lawyers, professors, civil servants, engineers, doctors and research scientists, etc.Sainis profess in both Hinduism and Sikhism. They have a national organisation called Saini Rajput Mahasabha located in Delhi, established in 1920.

View More On Wikipedia.org
  1. Enkaly

    Putin alitia saini amri juu ya hatua za kulipiza visasi kwa nchi zisizo rafiki

    Rais wa Urusi Vladimir Putin mnamo Jumatatu, Aprili 4, alitia saini amri juu ya hatua za kulipiza visasi kwa nchi zisizo rafiki. Hati hiyo ilichapishwa kwenye tovuti rasmi ya mtandao ya habari za kisheria. Hati hiyo ilitiwa saini "kulingana na hitaji la kuchukua hatua za haraka katika...
  2. Lord denning

    Dubai: Rais Samia ashuhudia utiaji saini wa Mikataba ya Uwekezaji ya thamani ya Trilioni 17

    Jamani amkeni amkeni Huko Dubai mambo ni moto balaa! Leo hii Rais wa JMT Mhe Samia Suluhu Hassan ameshuhudia utiaji saini wa mikataba zaidi ya 30 ya uwekezaji Tanzania yenye thamani ya fedha za Tanzania zaidi ya Trilioni 17 na itakayotoa ajira kwa Watanzania za moja kwa moja zaidi ya laki 2...
  3. N

    Vijembe vya mpambe/Afisa wa GSM aliyekuwepo kwenye kutia saini mkataba hewa wa udhamini

    Amini usiamini hawa jamaa wanadai ni kampuni iliyoko serious na ilikuwa inataka kufanya kazi na simba ili biashara yao itangazwe..anyway sishangai sana maana wao hata kuikongoroa logo ya NBC hawakuona shida wanenda kisela mno, vuluvululu. Embu soma upuuzi huu ulioandikwa na mpambe/afisa wa...
  4. Mussa_hassan

    Man U kuisaka saini ya Antonio Rudiger

    Beki wa Chelsea Antonio Rudiger anaonekana uwezekano wa kuondoka klabuni hapo bure msimu wa joto, kwani ameshindwa kukubaliana na mkataba mpya. Rudiger, 28, anaripotiwa kutaka kiasi cha pauni 220,000 kwa wiki kusalia Stamford Bridge, huku ofa ya klabu hiyo ya pauni 140,000 kwa wiki kurekebisha...
  5. MK254

    Marais Samia na Kenyatta watia saini mikataba saba mpya ya kuendelea kushirikiana

    Mama ameamua liwalo na liwe potelea mbali, mbwai na iwe mbwai, biashara ifanywe, wale walioaminishwa chuki (buku saba) raundi hii sijui watapasuka tu. Kila mtu ajitume, masoko yanaendelea kufunguliwa, ushindwe mwenyewe. Kama una matikiti yako Mpanda hapo Tannzania, soko liko wazi Kenya yote...
  6. N

    Boomplay na capasso zatia saini kuendeleza makubaliano ya kimkakati

    JOHANNESBURG, AFRIKA KUSINI-App na jukwaa linaloongoza barani Afrika kwa huduma ya kusikiliza na kupakua muziki, Boomplay limeingia makubaliano ya ushirikiano na Chama kinachosimamia hakimiliki za watunzi na waimbaji wa muziki (CAPASSO) ikiwa ni mkakati wa Boomplay kuendelea kupanua huduma zake...
  7. Shadow7

    Manchester United kutumia mbinu hii kuinasa saini ya Haaland

    MANCHESTER United inaamini kwamba itasepa na saini ya mshambuliaji wa Borussia Dortmund bila wasi msimu ujao kwa mbinu kali. United kwa muda mrefu imekuwa ikiripotiwa kwamba inahitaji saini ya mshambuliaji wa Borussia Dortmund, Erling Haaland ila mambo yamekuwa magumu. Kwa sasa wanaamini kuwa...
  8. Kobello

    Yanga yaingia mkataba wa Tsh Bilioni 34.8 na Azam Media

    Klabu kongwe ya Young Africans Sports Club leo inaingia mkataba na Azam Media utakaogharimu jumla ya shilingi Bilioni 34.8 (Bilioni 41 with VAT). Mkataba huu utadumu kwa miaka kumi(10) na utafanyiwa marudio/maboresho baada ya miaka mitano. Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari...
  9. Elitwege

    Sahihi ya Hayati Magufuli yageuka kivutio cha utalii kwenye Mahandaki ya SGR

    Imeelezwa na Wasimamizi wa Ujenzi wa reli ya kisasa kipande cha kuanzia Morogoro kwenda Makutupora kuwa saini iliyowekwa na hayati rais Magufuli alipotembelea ujenzi wa mahandaki ya reli hiyo mnamo tarehe 29/06/2020 imegeuka kuwa kivutio cha utalii! Maelfu ya watu hufika kila siku kwenye...
  10. Miss Zomboko

    Raisi wa Marekani Ametia Saini Sheria mpya ya kuwa na Siku ya kusherehekea Kumalizika kwa Utumwa Marekani

    Juneteenth National Independence Day itakuwa inaadhimishwa Juni 19 ya kila mwaka. Ni siku katika mwaka 1865 wakati wanajeshi wa muungano walipoliarifu kundi la watumwa weusi kwenye jimbo la Texas juu ya uhuru wao miaka miwili na nusu baada ya Rais Abraham Lincoln kutia saini tangazo la ukombozi...
  11. Miss Zomboko

    Tanzania na Kenya zimetia saini makubaliano ya kuondoa vikwazo vya kibiashara

    Waziri wa Viwanda na Biashara wa Tanzania, Profesa Kitila Mkumbo alisema kuwa utiaji wa makubaliano hayo ni mojawapo ya jitihada za kuwezesha mahusiano ya biashara na nchi jirani kufuatia ziara iliyofanywa nchini Kenya Alisema jumla ya vikwazo 37 vilijadiliwa katika mkutano wa pande zote hapo...
  12. Q

    Ni mara ya 6 tunashuhudia utiaji saini bomba la mafuta Hoima - Tanga

    Aug 5. 2017 Museveni alikuja Tanga kuweka jiwe la msingi, baadaye JPM alienda Uganda kusaini, September 2020 Museveni alikuja Dar kutia saini, Museveni akaja tena Chato kusaini, April 11, 2021 Rais Samia akaenda Uganda kusaini, jana Mseveni kaja tena Dar kusaini. Dah! Kazi iendelee...
  13. MK254

    Uganda yatia saini mkataba na China ili kuwezeshwa kuunga kwenye SGR ya Kenya

    Uganda has signed a Ksh5 billion deal with China Roads and Bridge Corporation (CRBC) in order to link Kampala with the Standard Gauge Railway (SGR) in Kenya. This is in a bid to enhance trade with Uganda as well as enable easier transport of goods via SGR from Kampala to Mombasa port...
  14. The Boss

    Chochote anachosaini Kiongozi nje ya nchi kiwe 'ceremonial' tu hadi kipitishwe na Bunge

    Niseme sijafuatilia in details mikataba aliyosaini Rais Samia huko Kenya. Inawezekana kuna hitilafu na inawezekana ni majungu yetu ya kila siku. Lakini kitu kimoja nilichowahi kukiona Kwa utaratibu wa serikali ya Marekani..huwa nakitamani Sana tukiweke kwenye sheria na katiba yetu. Ni...
  15. MK254

    Rais Samia Suluhu na Uhuru Kenyatta watia saini mkataba wa bomba la gesi litakalogharimu mabilioni

    Hivi ndivyo mchezo huchezwa, sio majungu na makelele kila siku. Ni kama naiona Tanzania iliyokua na kamuamko fulani kipindi cha JK. =========== The 600-kilometre pipeline will pass through the port city of Tanga to Mombasa and will carry natural gas from the Songo Songo Island and from the...
  16. Mgambilwa ni mntu

    IKULU: Utiaji saini mkataba wa ujenzi wa Stiegler's Gorge

    Rais Dk. John Pombe Magufuli akiwa na Mgeni wake, Waziri Mkuu wa Misri, Mostafa Madbouly, wanashiriki utiaji saini wa Mkataba wa Ujenzi wa Mradi wa kuzalisha umeme kwenye Mto Rufiji (Stieglers Gorge). Sherehe hizo zimehudhuriwa pia na Makamu wa Rais, Mama Samia Suluhu; Waziri Mkuu Kassimu...
Back
Top Bottom