salah

Salah (Arabic: ٱلصَّلَاة‎ aṣ-ṣalāh, Arabic: ٱلصَّلَوَات‎ aṣ-ṣalawāt, meaning "prayer" or "invocation") is the second of the Five Pillars in the Islamic faith, and an obligatory religious duty for every Muslim. It is a physical, mental, and spiritual act of worship that is observed five times every day at prescribed times. While facing towards the Kaaba in Mecca, the holy city of Muslims, one stands, bows, prostrates oneself, and concludes with sitting on the ground. During each posture one reads certain verses, phrases, and prayers. Ritual purity is a precondition.
Salah consists of the repetition of a unit called a rakʿah, a sequence of prescribed actions and words. The number of rakaʿahs varies according to the time of day.

View More On Wikipedia.org
  1. JanguKamaJangu

    Takwimu za Ulaya wiki hii, Bruno Fernandes, Raheem Sterling, Mohamed Salah

    Hat-trick ya Bruno Fernandes dhidi ya Real Sociedad ni ya kwanza kwa Manchester United katika Michuano ya Ulaya tangu Marcus Rashford alivyofunga vs. RB Leipzig (2020), pia ni ya kwanza Europa League tangu Zlatan alivyofunga vs. St-Etienne (2016) Raheem Sterling ni Mchezaji wa Kwanza wa...
  2. JanguKamaJangu

    Thierry Henry asema katika mbio za Tuzo ya Ballon d'Or, Raphinha yupo mbele ya Mohamed Salah

    Nguli wa soka Thierry Henry amesema kuhusu Tuzo zijazo za Ballon d'Or, Mbrazil wa Barcelona FC, Raphinha ana nafasi kubwa kutokana na takwimu nzuri na ameonyesha kiwango Bora zaidi ya Mohamed Salah wa Liverpool Amesema "Raphinha ana Magoli 11 katika UEFA Champions League, anafanya vizuri katika...
  3. JanguKamaJangu

    Kuelekea mechi dhidi ya PSG, Mo Salah na Alexander-Arnold watibuana mazoezini

    Wachezaji wawili wa Liverpool, Mohamed Salah “Mo Salah” na Trent Alexander-Arnold wameonekana wakirushiana maneno hali iliyofanya wenzao kadhaa kuingilia kati na kuwatenganisha wakati wakisogeleana wakati walipokuwa kwenye Uwanja wa Mazoezi. Tukio hilo limetokea muda mfupi kuelekea mchezo wa 16...
  4. G.T.L

    Mo Salah kubeba Ballon D'or 2025

    Ni dhahiri dalili ya mvua ni mawingu, kwa takwimu za Egyptian Talisman Mohamed salah namuona akienda kuibuka kidedea mshindi wa tuzo ya Ballon D'or mwaka huu 2025. Bila shaka, naamini Liverpool atashinda kombe la Ligi kuu EPL 2025. Bila wasiwasi, naamini Liverpool atashinda Final ya kombe la...
  5. Mwanadiplomasia Mahiri

    Kwa takwimu hizi; Salah Vs Thierry Henry unamchagua yupi?

    Haya takwimu hizo hapo, nani ni bora zaidi?
  6. Stability

    Nakumbuka Ronaldo alipost "Eid Mubarak" hakuna kipangamizi alipata kutoka dunia ya Wakristo ila Mo Salah kupost na mti wa X-Mas tu imekuwa kesi

    Kama member mmoja humu anaitwa Eli Cohen anapenda kusema kuwa "itikadi yenu sio ya harakati ya haki wala ukombozi, ila ni ya harakati za kitapeli" Mengine nawaachia
  7. Minjingu Jingu

    Mo Salah na C. Ronaldo wanatuchanganya sana. Nashindwa kuwaelewa.

    FaizaFoxy alishaandika akifurahi sana kuwa CR. Kasilimu. Several times tumekuwa tukifurahia kuwa tumepata bonge la mtu katika uislamu. Lakini namwona bado anasheherekea Christmas na familia yake. Hii inakuaje? Mi nashindwa kuelewa kabisa. Hii imekaaje kaaje? Huyu Mo. Salah ni muislamu kabisa...
  8. magnifico

    Salamu Za Krismasi kutoka kwa Mohammed Salah Na Familia yake

  9. chiembe

    Jeshi la Polisi kuchunguza tukio la Makonda kutishia kumuua Salah

    Polisi wanaingia kazini kuchunguza madai ya Makonda kutishia kumuua Salah.
  10. JanguKamaJangu

    Chama cha soka Misri chavutana na Liverpool kuhusu afya ya Salah

    Suala la afya ya Mohamed Salah limesababisha mvutano baina ya Chama cha Soka cha Misri (EFA) dhidi ya Klabu ya mchezaji huyo, Liverpool ambapo kila upande unavuta upande wake ukiona una haki ya kumtumia na kujua maendeleo ya majeraha yake. Liverpool imedai afya ya mchezaji haijakaa sawa tangu...
  11. JanguKamaJangu

    Majeraha ya paja yamuondoa Mo Salah AFCON, kurejea Liverpool kwenda kutibiwa

    Uongozi wa Timu ya Taifa ya Misri umethibitisha kuwa mshambuliaji wao Mohamed Salah (31) amerejea katika klabu yake kupatiwa matibabu zaidi baada ya kuumia misuli ya paja katika mchezo dhidi ya Ghana kwenye Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON). Salah au Mo Salah ataukosa mchezo wa leo Januari 22...
  12. Mhaya

    Baadhi ya mashabiki wamjia juu Mo Salah baada ya kuwatakia heri ya Christmas mashabiki zake Instagram

    Mchezaji wa timu ya taifa ya Misri, Mo Salah amejiwa juu na Waislamu baada ya kuwatakia mashabiki zake heri ya sikukuu ya Christmas. Watu wametuma maoni ya kukebei na kusema kuwa hatakiwi kuwatakia Watu heri ya Christmas kwa sababu yeye ni Muislamu...
  13. K

    Mohamed Salah wa Liverpool alaani mauaji yanayofanywa na Israel huko Gaza!

    Tumeona wachezaji kadhaa waliojitokeza kulaani mauaji ya Israel dhidi ya Wapalestina huko Gaza wakitishiwa kufukuzwa kwenye klabu zao na kusimamishwa, haswa Ujerumani ambapo zaidi ya wachezaji watatu wameshasimaishwa. Mchezaji mahiri na mashuhuri Duniani anaechezea Liverpool amejitokeza rasmi...
  14. M

    Hii sasa ni kufuru ya Pesa: Mohamed Salah apewa offer ya mshahara wa Pound 2.45M kwa wiki na Al Ittihad ya Saudi Arabia!

    Huko Saudi Arabia waarabu wameamua kumwaga pesa kama mawe!! Timu ya Al Ittihad ambao ni mabingwa wa Saudi Arabia wamempandia dau Mohamed Salah la kufa mtu. Kwanza wametoa offer ya uhamisho kutoka liverpool ambayo ni rekodi mpya ya dunia., offer ya USD 270M. Awali Liverpool walikataa offer ya USD...
  15. ryan riz

    Mo Salah kutimkia Saudia kuungana na Benzema Al-Ittihad. Hii bandu bandu hatari kumaliza gogo

    Inaweza kuwa mzaha mzaha..lakini ikaja shangaza huko mbele!!! EPL inabidi ibadilike kwenye malipo ya mishahara. Dunia sasa hivi inaonesha mabadiliko kila sehemu. Ukibaki unajiamini we ni bora siku zote na na hautaki kubadilika..kupotea ni rahisi
  16. TODAYS

    Merry Christmas from Mohamed Salah. Je, anapima upepo? Waislam wamshangaa!

    Jamaa ame_tweet hii picha sasa hizo comments kutoka kwa jamii ya kiislam wamegoma kumuelewa jamaa wakidhani anataka kuokoka!.
  17. Bujibuji Simba Nyamaume

    Mo Salah atoa Pounds 3,000,000 za Misri ($156,664) kujenga upya Kanisa lililoungua Giza

    Jamaa kafanya jambo kubwa sana huko kwao. --- Egyptian Liverpool forward Mohamed Salah has donated three million Egyptian pounds ($156,664) to help rebuild a church in Giza where a fire on Sunday killed 41 people and left several others injured. Social media channels in Egypt were full of...
  18. Championship

    Ballon d'or 2022 itaenda kwa Benzema au DeBruyne au Salah

    Benzema simpendi japo kama akibeba ucl na laliga basi anaweza kuchukua. DeBruyne yeye atabeba endapo man city itabeba ucl na epl. Salah naye bado yumo na anaweza kuchukua epl na ucl. Mane naye anaweza akaleta upinzani. Kabeba afcon na anaweza kubeba epl na ucl pia. Wakikosa kabisa...
  19. John Haramba

    Salah, Mane, Firmino wana MABAO 349, ASISTI 155

    Hizi ndiyo takwimu za washambuliaji watatu wa Liverpool, Sadio Mane raia wa Senegal, Mohamed Salah wa Misri na Roberto Firmino wa Brazil. Firmino: 315 games, 94 goals, 66 assists Mané: 245 games, 107 goals, 37 assists Salah: 231 games, 148 goals, 52 assists Una mtazamo gani juu ya safu hii ya...
Back
Top Bottom