Ninyi na rasilimali zenu safiii!!!
Hivi ikitokea mtu katekwa na watekaji aidha majambazi au magaidi, hao watekaji wakatoa tamko lao, kwamba "mtu wenu tunae, ila tutamuua kama hamtatimiza matakwa yetu ndani ya muda fulani"
Baada ya muda uliowekwa kupita mnamuona yule mateka mtaani mzima wa...