Kutokana na uwepo wa mazingira salama nchini yaliyotengenezwa na Rais Samia Suluhu Hassan, uwekezaji nchini umeongeza na hili linathibitika kwa idadi ya miradi iliyosainiwa kuanzia mwezi Julai 2022- Machi 2023.
Miradi iliyosainiwa mwezi Julai 2022- Machi 2023
Sekta ya Uzalishaji viwandani...