sale

BOC Aviation is a majority state-owned global aircraft operating leasing company and the largest aircraft operating leasing company headquartered in Asia, as measured by the value of owned aircraft.
BOC Aviation is listed on the Hong Kong Stock Exchange (SEHK: 2588) and has its headquarters in Singapore with offices in Dublin, London, New York and Tianjin.

View More On Wikipedia.org
  1. Mangi wa Rombo

    INAUZWA For Sale: Smart Keyboard Cases for iPad Pro 11/ 10.9

    Habari! Nauza smart keyboard cases complete na external wireless mouse yake kwa ajili ya iPad Pro 11/10.9 inch. Products ni mpya kabisa Bei 140,000 TZS tu! Tupigie 0712075845
  2. Mamaya

    INAUZWA Powerful Harman Kardon Ts 11, powered subwoofer fore sale

    Kwa wale mnaopenda mziki mzito, nauza Subwoofer tajwa hapo juu, haina shida yoyote, kwa wale mnaohitaji real punch with pure bass inayikita kifuani ,mashine hiyo hapo 200watts rms ,ina coil ya 4ohm, ikiilinnganisha na sub za sea piano zilizozoeleka za 80w @2ohm ,hii ni sawa na 400watts @2ohms...
  3. B

    Car4Sale Canter Tipper for sale

    Mwaka wa kutengenezwa 1997 Aina ya Injini 4D35 Uwezo wa Injini 4,210cc Uwezo wa gari Tani 2 Manual transmission Umbali uliotembewa 149,000 km ACCESSORIES AC Power Window Power Steering Bei Tshs. 51,000,000 (negotiable) Mawasiliano 0752 484 225 Mahali: MWANZA NB. HAKUNA DALALI
  4. tzhosts

    SOFTWARE Biashara ya Mtandao Inauzwa-Online Business for sale

    Nature of Business: Ecommerce/Online,Softwares/System/IT Nature of Products: Webhosting Services/CRM and ERP Systems Annual Revenue Potential:5,000,000-25,000,000 What you Get: Training and Products Orientation Full website with products and Emails Full Marketing Support(Branding and Promotion)...
  5. Lexus SUV

    Phone4Sale Google Pixel 4 for sale

    Habari , nauza simu tajwa hapo juu ipp clean mpya ,, sifa za hizi simu picha zake zipo clean as reality...for more ni cheki 067270132...pia po moshi KCMC price 360,000...RAM 6 GB, INT.64 GB
  6. CONTROLA

    Office assets for sale

    Ofisi ilikua inatumika kwa kazi 1 tu kudownload PESA wazee wa FOREX tunaelewa hayo mavitu yalivyo eeh. OFISI ina COMPUTER mpya (not refurbished) ni BRAND NEW desktop PC (HP BRAND 6TH GEN ALL IN ONE) zipo mbili. Each PC Bei yake ni 700,000 Viti Vitatu kwenye picha hapo hicho Kirefu ni 100k...
  7. K

    Biashara ya makome (Seashell)

    Hivi soko/duka la biashara hii ya seashells (makome) hupatikana Wapi kwa hapa Dar es salaam/Zanzibar.? Lakini pia ✓Je inahitaji kibali cha kukusanya/kusafirisha? ✓Wapi ninaweza kuuza kwa jumla/rejareja? Karibuni kuchangia wakuu.
  8. Abuu Kauthar

    Car4Sale Brand New Howo Tipper for sale in Dar

    Hello comrades, Brand new howo tipper available with 0 kilometer, for lower price of only 160m plus registration. Come and grab it quickly. Only one unit left.
  9. Abuu Kauthar

    Car4Sale Toyota Kluger For Sale

    Kluger 2002 model CC 2360 Mileage 83,000km Bei 18.5m Highly Negotiable
  10. John Reese

    Computer4Sale Laptop inauzwa bei poa

    Habari! Nauza laptop kwa bei poa. Hp Elitebook (used kwa miezi 6) Ram 8gb Hard disc 500gb Processor core i5 ,cpu 2.6ghz Bei 500 ,000/=(kuna maelewano pia) contact 0752 666 539 Mwanza
  11. salehe magari

    Car4Sale Nauza magari ya aina mbalimbali

    NISSAN DUALIS *CROSS RIDER Price :17.5mls (GARI NI MPYA 100%) Year 2010/2011 Engine Cc 1990 Full Ac Low mileage Rim sports 0688591584
  12. THOMASSILAA

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa, kipo Boko Kalifonia

    Wanandugu KIWANJA KIPO SOKONI (40 urefu kwa 22upana) Sifa ya kiwanja 1. Kipo sehemu nzuri, karibu na Barabara ya mtaa ya gari na pikipiki 2. Hakipo mbali na Barabara kuu ya lami yaani itokayo huko BUNJU KWENDA HUKO MWENGE NA MAKUMBUSHO utaona mwenyew ukiwa eneo la tukio au tazama picha chini...
  13. Basi Nenda

    INAUZWA Bova safety boot for sale

    Nauza Bova safety boot, imetumika two weeks. Size namba 7 na bei Tsh 80000 (inapungua). Location ni Dodoma. Mawasiliano : 0624 729 398
  14. peterdon192219

    House4Sale Nyumba inauzwa Dundan Mkuranga

    House For Sale Location : Dundan Mkuranga near to neelsalt Price : 45,000,000/ Negatiable Details 3 bedroom 1 Master room Big sitting room Dinning room Kitchen Store 2 vallander + 2 Flem Plot size : 21*30 Metre For more infomation Call 0622408585
  15. Pfizer

    Eng. Rogatus Mativila: Ujenzi wa barabara Wasso hadi Sale (km 49) umegharamiwa na Serikali kwa 100%

    Akitoa taarifa fupi ya Mradi huo Mtendaji Mkuu wa TANROADS Eng: Rogatus Mativila amesema Ujenzi wa barabara Wasso hadi Sale (km 49) ni sehemu ya juhudi za Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika kuboresha mtandao wa barabara nchini kwa kujenga Barabara Kuu na za Mikoa kwa kiwango cha...
Back
Top Bottom