salim kikeke

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. S

    Salim Kikeke kufanya mahojiano na Mbowe kuanzia saa 12 jioni ya leo

    Hii ndio habari nimeona mtandaoni jioni hii: Mahojiano yatakuwa live kupitia YouTube. https://www.youtube.com/watch?v=PjKQHmASvCM
  2. Mohamed Said

    9 Desemba Ndani ya Kasri la Salim Kikeke

    https://youtu.be/XXvNt2F1yjU?si=iRsOuBjSdcQT1UNA
  3. Eli Cohen

    Yet again, Salim Kikeke anaonesha ni jinsi gani alivyo nguli katika habari

    Katika usawa huu wa waandishi machawa, waongelea masihara pasipo masihara, dhihaka palipo serious, kuimba nyimbo za sifa, kuogopa ku-balance habari, kurusha habari za udaku muda wote angali zinazo trend ni zile serious, etc Sina mengi ya kusema ila unajionea mwenyewe kazi yake.
  4. MSAGA SUMU

    Salim Kikeke anatumiwa na CCM

    Akiwa karibu kabisa na uso wa Mbowe, Salim Kikeke amesikika akimuuliza mwenyekiti, nanukuu "watu wako wapi, mbona hamna kabisa watu wa kuandamana" bila kumumunya maneno gwiji la demokrasia Afrika mh Mbowe akajibu "tutaandamana na nyinyi(waandishi)". Kulikuwa na haja gani ya Kikeke kuuliza swali...
  5. kavulata

    Mbadala wa Eng. Hersi Yanga ni Salim Kikeke Simba, sio Mangungu Wala mo.

    Kama tunataka kufurahia soka Tanzania na Simba itishe, Simba wampe Kikeke Urais wa Simba.
  6. Vugu-Vugu

    Salim Kikeke: Wawekezaji wanakwepa kuwekeza Tanzania kwa sababu ya msururu wa kodi pamoja na Urasimu

    Huyu Salim Kikeke na Redio yao hii Crown Media wako juu sana na wanakuja kwa kasi kubwa kwani interview zao zimeenda mbali. Sikiliza huu mjadala mpaka mwisho.
  7. Chakaza

    Salim Kikeke: Ili ufikie Umahiri wa Kina Tido Mhando Lazima Ukwepe Kutumiwa

    Salum Kikeke ni mmoja wa waandishi wa habari mahiri na wenye uwezo mkubwa wa kuhoji na kwa bahati nzuri kuwahi kwake kufanya kazi BBC kumesaidia kumpa jina. Lakini baada ya kumfatilia jana katika mahojiano yake na Lissu mbona ghafla nimemuona ni mwandishi wa daraja la chini mno hawezi fikia...
  8. Brojust

    Drive show nzuri kwa sasa: Hongera sana Salim Kikeke, naona naona umefanya proper replacements ya Gadna

    Salaam wakuu; Kwa siku za karibuni naona kipindi cha KASRI cha salim kikeke ndio imekuwa Drive show nzuri zaidi, ukizingatia maudhui yake na watu anao wahoji. Jamaa naona ana bonge moja la idea, Kweli aliyekuzidi ki exposure amekuzidi tu. Baadhi ya vijana, wajifunze sana kwa salim kikeke...
  9. Kaka yake shetani

    Tetesi: Crown Media wamezuiwa kuweka YouTube mahojiano ya Salim Kikeke na Afande Muliro

    Kuna kipindi kinachofanywa na Crown FM cha Salim Kikeke cha mahojiano ambacho kikishafanyika huwekwa YouTube kwa kumbukumbu. Inavyosemekana mahojiano ya Kikeke na Afande Muliro wamechimbwa biti wasirushe kupitia YouTube wala kokote. Je ni kweli, na kama ni kweli nini sababu? Uhuru wa vyombo...
  10. A

    Nani anafaa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu baada ya Zuhura Yunus kuondolewa?

    PDF mmelishuhudia bibie Zuhra OUT. Sasa ni zamu ya Kikeke. Pia soma Lakini kusema ukweli Zuhura hakutosha ile nafasi! Kitu pekee aliongeza ni Press tu, kwenye Branding alifeli Zuhura Yunus kaboronga wapi mpaka katolewa Ikulu? Rais Samia afanya uteuzi na mabadiliko ya watendaji wa Serikali...
  11. sonofobia

    Ali Kiba jipange kwenye content hizi drama wakati redio aina wasikilizaji ni utoto

    Radio ya Kiba na kikeke imekuja na style ya drama kujitangaza. Nawashauri wawekeze kwenye content ndio kila kitu kwenye media. Leo hii clouds na wasafi zina wasikilizaji wengi sababu zina content. Hao watangazaji wa kuiba kwa wengine ili mtengeneze story mjikane walimdodea Majizzo kina B 12...
  12. Intelligent businessman

    Salim Kikeke ajiunga rasmi na Crown FM & TV

    Mtangazaji Nguli, Mwanahabari na Mwandishi wa habari mashuhuri Afrika Mashariki na Kati, Salim Kikeke amejiunga na Redio/TV ya Crown FM/TV inayomilikiwa na Alikiba. Hii ni baada ya Alikiba kusasisha video inayoonyesha Salim Kikeke akikataa kupokea simu ya Wacha Fu FM inayotafsiriwa kuwa ni...
  13. J

    Mwenezi CCM kupatikana 03/04/2024; Nani anafaa kurithi mikoba ya Makonda?

    Halmashauri kuu ya CCM itakutana tarehe 03/04/2024 jijini DSM ambapo pamoja na mambo mengine itapitisha jina la Mwenezi mpya wa CCM Source: Mwanahalisi Digital Mlale Unono 😀😀
  14. R

    Niko na ujuzi wa kutengeneza sabuni

    Niko na ujuzi wa kutengeneza sabuni Aina tatu nazo ni sabuni za miche, sabuni za maji, sabuni za unga, pamoja na mufata ya mgando na lotion tofauti tofauti. Ila mpaka sasa nimebaki na ujuzi mtaji sina hivyo naomba kwa mwenye kuvutiwa na hili njoo tufanye biashara
  15. Mudawote

    Salim Kikeke hivi Sweta lako huwa husikiii Joto?

    GTs naomba kuuliza hivi huyu ndugu Kikeke a.k.a muingereza mweusi huwa hasikii joto na hilo sweta lake?? Maana kila anakoenda na li sweta lake, je anadhani bado yupo uingereza?????? Hebu atupe majibu maana ninavyoelewa walioishi kwenye baridi kila sehemu wakienda kwa Tanzania ni bukta na tshirt...
  16. Pang Fung Mi

    Nakukumbusha: Zuhura na Salim Kikeke walikuwa miongoni mwa waliokosoa utawala wa Magufuli wakiwa BBC Swahili

    Tafadhari sana Watanzania nawakumbusha kwa rejea ya hawa watu Zuhura Yunus na Salim Kikeke nyakati za utawala wa Ndugu Hayati Rais Magufuli hawa viumbe hawakuwa na taswira wala nafsi zenye uzalendo na upendo kwa Taifa letu, na si hivyo tu pia hawakuwahi kuwa na news contents zenye kuinua taswira...
  17. GENTAMYCINE

    Salim Kikeke pole kwa Kuukosa Uteuzi na rejea sasa kwa Waliokudanganya na kuwapa Pesa waambie Wakurudishie upesi

    Na nasikia kumbe Walikudanganya kuwa kwakuwa Mteuwaji Mkuu ni Muislamu basi nawe Muislamu Mwenzake hatouacha na atakuteua na haijawa. Na Mmoja wa Watu waliokudanganya yuko Wizara ya Utalii ( ila siyo Waziri ) japo ni Mtu wa Mfumo ( System ) na Wengineo Wanne ( Mmoja akiwa ni Mwanamke )...
  18. tpaul

    Chawa wa Mama wamemgeuka Salim Kikeke; wamempora nafasi yake wamempa Mobhare Matinyi

    Hakuna salamu hapa, naingia kwenye mada moja kwa moja. Kama ilivyokuwa kwa Tido Mhando aliyetolewa BBC na kuletwa kusimamia TBC, ndivyo ilivyokuwa kwa Salim Kikeke. Taarifa za kiintelejensia zinapenya kuwa ndugu Kikeke aliombwa kung’atuka BBC ili arudi nchini kuandaliwa kuwa msemaji wa serikali...
  19. Puma yetu

    Ushauri: Dr Ayub Ryoba awe Msemaji Mkuu wa Serikali, Salim Kikeke awe Mkurugenzi Mkuu TBC

    Ningekua Rais wa nchi ningemteua Mkurugenzi mkuu wa TBC Dr Ayub Ryoba kumrithi Gerson Msigwa kwenye nafasi ya usemaji mkuu wa serikali na nafasi yake Ryoba ijazwe na aliyekua mtangaji wa shirika la utangazi la Uingereza BBC Salim Kikeke kua Mkurugenzi mkuu wa Shirika la utangazaji Tanzania TBC...
  20. peno hasegawa

    Salim Kikeke ni Raia wa Tanzania?

    Salim Kikeke ambaye alikuwa mtangazaji wa BBC ni Raia wa Tanzania? Hili nimeliuliza ili kuwaachia watu wa Vetting kazi ya kufanya week end hii! Niwatakie jumapili njema.
Back
Top Bottom