Samia Hassan Suluhu (born 27 January 1960) is a Tanzanian CCM politician and the designated President of Tanzania, due to be sworn into office following the death of president John Magufuli on 17 March 2021. She became Tanzania's first female vice-President following the 2015 General election, after being elected on the CCM ticket along with president John Magufuli. Suluhu and Magufuli were reelected to a second term in 2020. Before her tenure as vice-president she served as the Member of Parliament for Makunduchi constituency from 2010 to 2015, and was also the Minister of State in the Vice-President's Office for Union Affairs from 2010 to 2015.
Prior to this, she served as a minister in the semi-autonomous region of Zanzibar in the administration of President Amani Karume. In 2014, she was elected as the Vice Chairperson of the Constituent Assembly tasked with drafting the country's new constitution.
Your Excellency, Dr. Samia Suluhu Hassan, President of the United Republic of Tanzania. With utmost respect and courtesy, I extend my greetings to you. I wish to present my recommendations for the restructuring of our country's education system, specifically through the establishment of two...
Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania ameonyesha sifa kadhaa ambazo zinaonekana kufanana na sifa za rais bora:
Uadilifu: Rais Samia ameonekana kujitahidi kufuata maadili ya uongozi na kutoa kipaumbele kwa maslahi ya umma.
Uongozi bora: Tangu kushika madaraka, Rais Samia ameonyesha uongozi...
Itoshe kusema Ruvuma, Songea na viunga vyake wameidhihirishia nchi kwamba CCM ndio tegemeo la uongozi wa nchi hii, na Dr.samia Suluhu Hassan ndio tumaini pekee la uongozi wa juu nchini Tanzania kuelekea 2035.
waTanzania katika makundi yao, wazee wa kimila, vijana na watoto, wakulima, wafugaji...
Niliwahi kusema hapa kwamba tangu Serikali ijue kwamba watanzania ni wepesi wa kusahau na wala si wafuatuliaji basi wana ahidi na kudanganya watakavyo.
Mwezi March TARURA walitoa ahadi kupitia ukurasa rasmi wa Instagram wa Jamii forums kwamba ujenzi wa barabara ya Wakorea ( inayoelekea Tegeta A...
Nalazimika kukueleza Rais wangu Mpendwa, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, kuwa mvuto wako unazidi kushuka, kadri siku zinavyosonga mbele.
Kwa kweli Mimi nilikuwa mmojawapo niliyekuwa nakuunga mkono sana, baada ya wewe kuchukua mikoba ya aliyekuwa Rais wa awamu ya 5, Rais John Magufuli baada ya...
jumuiya
katika
kimataifa
kushuka
mvuto
nchini
rais
rais samia
rais samiasuluhu
rais samiasuluhu hassan
samiasamiasuluhusamiasuluhu hassan
suluhu
wako
wazi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi kabla ya kufunga Tamasha la Tatu la Utamaduni la Kitaifa lililofanyika katika uwanja wa Majimaji Songea mkoani Ruvuma tarehe 23 Septemba, 2024.
dkt. samia
jamhuri
jamhuri ya muungano
kabla
kitaifa
kufunga
muungano
rais
rais wa jamhuri
samiasamiasuluhusamiasuluhu hassan
suluhu
tamasha
tanzania
utamaduni
wananchi
Benki kuu ya Tanzania imethibitisha Kuwa Noti Inayosambaa Mitandaoni Ikionesha Noti Ya Fedha Ikiwa Na Sura ya Rais Samia Suluhu Hassan Kuwa Sio Sahihi. Taarifa kama Inavyo onekana Kwenye Picha.
Soma Pia: Mwigulu: Natamani noti ya 100 iwe na nembo ya Yanga
Nakuita kwa jina la Jamhuri ya Muungano wetu mheshimiwa Raisi.
Waache hawa Chadema na Wananchi wengine waandamane.
-Wape ulinzi,
-Hakuna kitakacho haribika
-utaithibitishia dunia kuhusu zile 4R
-utapunguza malumbano ya kulilia haki.
Baada ya Maandamano:
Baaada ya Maandamano, utajitokeza na...
Hodi Hodi Ruvuma
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya Ziara ya Kikazi Mkoani Ruvuma kuanzia Tarehe 23-28 Septemba, 2024.
dkt. samia
hodi
jamhuri
jamhuri ya muungano
kikazi
kuanzia
kufanya
mkoani
muungano
rais
rais wa jamhuri
ruvuma
samiasamiasuluhusamiasuluhu hassan
suluhu
tanzania
ziara
ziara ya kikazi
Kwenye wasifu wa Rais Samia Suluhu Hassan, taarifa kuhusu wazazi wake hazionekani mara kwa mara.
Hii inafanya iwe vigumu kwa umma kujua ni watu wa aina gani waliomlea.
Kawaida, mizizi ya kiongozi ni muhimu katika kuelewa maadili na mitazamo yake, lakini katika kesi hii, habari hizo...
kuhusu
mara
mara kwa mara
rais
rais samia
rais samiasuluhu
rais samiasuluhu hassan
samiasamiasuluhusamiasuluhu hassan
suluhu
taarifa
wake
wasifu
wazazi
Rais alihutubia Taifa Jana..
Ilikua ni hotuba ya kuponya na kutibu maumivu ya fikra na kuleta ahueni na matumaini mapya mioyoni mwa waTanzania.
Ni hotuba nzito na ya kimamlaka, ya kiongozi mkuu wa nchi mwenye nguvu sana, na yenye maelekezo muhimu mazito na ya maana sana kwa nchi, mataifa na...
Utangulizi
Ndugu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa,
Ninaandika ushauri huu kwa lengo la kuboresha mchakato wa uchaguzi wa wagombea kuanzia ngazi ya Wilaya, Mkoa, hadi Taifa. Ni wazi kwamba mfumo wa sasa una changamoto nyingi ambazo zinahitaji kutatuliwa ili kuhakikisha kuwa...
Tundu Lissu has apologise to the nation and international community, for being too naive
https://m.youtube.com/watch?v=9djeud3m8Ic
And Tundu Lissu went further by saying he and many tanzanians have to bare that heavy burden of wrongly thinking that any leader assuming the office under the...
Tanzania, under the leadership of President Samia Suluhu Hassan and the ruling party Chama Cha Mapinduzi (CCM), has emerged as a significant example of democratic progress and government transparency in Africa. In a continent often marked by political turbulence and governance challenges...
Niende moja kwa moja. Ikiwa CCM watamsimamisha Samia kuwa mgombea katika uchaguzi mkuu 2025 sitampigia kura yangu kwa sababu zifuatazo.
1. Matukio ya utekaji yanaongezeka siku hadi siku. Sijui anajisikiaje kuachanisha familia za watu, kuwaacha watoto bila wazazi kwa kuteka na kupoteza watu. Ni...
The Maasai community from Ngorongoro has expressed deep gratitude to President Samia Suluhu Hassan for the successful relocation program to Msomera, a move that has brought significant improvements to their lives. The relocation, which was implemented to address the challenges faced by the...
"Najua wadhamini au washika vilabu vile wanafanya jitihada kubwa sana, lakini pamoja nao nimeongea na wadau wawekezaji wetu wakubwa hapa, mmoja nimempa Yanga mmoja nimempa Simba awasaidie, kwahiyo litakapokamilika tutaitana vilabu tuambizane" - Rais @SuluhuSamia akizungumza katika uwekaji wa...
amani
haki
kamwe
kipaumbele
muhimu
rais
rais samia
rais samiasuluhu
rais samiasuluhu hassan
samiasamiasuluhusamiasuluhu hassan
simba
simba na yanga
suluhu
ustawi
watanzania
yanga
Barua ya Wazi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
Mheshimiwa Rais,
Kwa heshima na unyenyekevu mkubwa, napenda kuchukua fursa hii kukuandikia barua hii ya wazi. Kwanza kabisa, naomba nikupongeze kwa uongozi wako wa hekima na maono, ambao umeendelea kuleta...
Kalamu ya: Leah D. Mbeke
Kutoka: CCM Makao Makuu
Neno falsafa ni neno la Kigiriki, ambapo mwanafalsafa ni mpenzi au mfuasi (philia) wa hekima (sophia). Mtu anayefanya kazi katika uwanja wa falsafa anaitwa Mwanafalsafa. Mwanafalsafa ni aina ya mtu wa fikra na mtafiti.
Rais Samia Suluhu Hassan...
Faida za mipango mikakati, maagizo na maelekezo yanayoamuliwa na kutolewa kutoka vikao vya ngazi za juu vya CCM, hususani taifa, yanafika bara-bara na yanatekelezwa vizuri kikamilifu sana, na kwa ufanisi mkubwa mno kwenye matawi na mashina ya CCM huku mitaani na vijijini. hili liko wazi kabisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.