The Syrian Arab News Agency (SANA) (Arabic: الوكالة العربية السورية للأنباء (سانا), al-Wakālah al-ʿArabīyah as-Sūrīyah lil-ʾAnbāʾ (SĀNĀ)) is a Syrian state-controlled news agency. It is a Syrian state media organization linked to the Ministry of Information. It was established in June 1965.
Wakati CHADEMA ikikomaa na NO REFORM, NO ELECTION, ACT WAZALENDO nao wamekuja na mpya kususia vikao vya umoja wa vyama vya siasa kwa madai kama ya CHADEMA.
CCM wao wako busy kubuni mbinu za kunasa makundi mengi ya wananchi waisapoti na kuipa kura nyingi uchaguzi mkuu. Wanabuni vikundi vya...
Rais Samia Suluhu Hassan, Tanzania Inaweza Kuzalisha Petroli, Dizeli, Jet Fuel, Methanol, Amonia na Urea Kutoka Kwenye Gesi Yetu – Tutauza Haraka Sana!
Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr. Samia Suluhu Hassan,
Kwa heshima, taadhima, na unyenyekevu mkubwa, ninakutakia afya...
Sijui kama wake zenu wana tabia kama ya mke wangu. Yaani huyu bibie kila tukio analohudhuria lazima alipost kwenye WhatsApp, Instagram, au Facebook. Pia, anapenda kujipiga picha na kujipost mitandaoni.
Nimemuonya sana kuhusu hii tabia ya kujianika mitandaoni, lakini naona habadiliki...
!!
Maisha yangu au yako ni funzo kwa watu wengine. Katika umri huu mdogo nilionao, leo nakuletea baadhi ya sumu ambazo nimeshuhudia zikiua ndoto, maisha na mafanikio ya watu wengi sanaa!
1. Sumu ya marafiki wabaya.
Marafiki wabaya hukuingiza kwenye kutenda mambo mabaya yanayoweza kukupeleka...
Voda Voda Voda!!
Inakuwaje kila ikifika jioni huduma za Mpesa zenu hazipatikani?
Hili ni tatizo almost mwezi mzima sasa.
Kila ikifika saa Moja jioni.
Huwezi kufanya Malipo yoyote kwa Lipa Namba ya Voda.
Nawahama!!!
Vodacom Tanzania
Wadau Leo ktk pitapita zangu nikakutana na mpango wa Marekani kufungua crypto reserve kama walivyofanya kwenye Gold reserve kule fort Knox.
Lakini Kuna siku niliwahi sema siiamini USDT kwasabu ni scam project Kwa ninavyo amini Mimi.
Lakini Leo nikaona nichart na Grok AI ya marekani.
Kwanza...
MBUNGE wa Nzega Mjini na Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe ni mgonjwa sana na ameshindwa kuhudhuria ziara ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa aliyoifanya jana Jimbo la Nzega Mjini.
Kwa mujibu wa Majaliwa amewaeleza wananchi hao kuwa Mbunge wao ni mgonjwa na ameshindwa kuhudhuria ziara hiyo ya Waziri...
Nchi kama Canada, Australia bubai, Scotland sweezeland Poland nk
Ni fani gani ambazo naweza kuzipata veta alafu niluke nje ya nchi kutafuta kipato.
Nina shahada ya maendeleo ya jamii.
Karibuni kwa mawazo yetu mazuri.
1. Kumekua na uhaba wa Kondom za Msaada (toka kwa wafadhili) hapa mashine ya kutolea Kondom (Condom Vending machine) Kona baa Sinza.
2. Inabid watu wapige mbichi ku-kutembelea rim.
3. Tafadhali Mheshimiwa Dr Waziri tukumbuke wapiga Kura wenu.
Nilikuwa youtube hapa nasikiliza ngoma mbalimbali zilizopendwa.
Ukaingia wimbo wa Hunifahamu ulioimbwa na Dully Sykes, mwishoni Dully anataja mwaka 2005 ambao ametoa wimbo huo .
Nikashtuka leo ni mwaka 2005 takribani miaka 20 imetimia, hakika sasa mimi ni mzee.
Yuki wapi aliyesema uzee...
Sina Lengo la kukatisha tamaa ila Namba hazidanganyi
WAOMBAJI - 135,027
Kwa makadirio kuna wazanzibari 3000, waliobaki wabara 132,027
NAFASI - 1,596
20 % kwa Wazanzibar - 319
80 % kwa Bara - 1,277
CHANCE YA KUPATA KAZI
Wazanzibari - 10 kwa kila waombaji 100 ( 319/3000)
Wabara - 1 kwa...
Hapa akiulizwa na mtangazaji kuhusu gari za EV za BYD
Alionekana ni mtu mwenye furaha sana iliyo pitiliza
Hali ya sasa ilivyo sasa
In 2024, BYD surpassed Tesla to become the world's largest manufacturer of electric vehicles, with BYD selling more new energy vehicles (including battery...
CV ya Profesa haihitaji kuelezewa sana.
Huyu ni mtu, msomi wa mwanzoni kabisa wa nchi yetu, cream of the cream.
Mtu aliyehudumia nchi yetu na wananchi, kwa moyo, vipaji na kwa nyadhifa kubwa kubwa.
Mtu ambaye ni muasisi wa Kitengo cha MoI. Leo ukisikia maelfu ya vijana wanaopata ajali za...
Hawa jamaa wako kimya na yanayoendelea syria angali washia na wakristo kuulia ila wako bize kutafuta hadi sisimizi alieingia gaza kutoka Israel.
Hadi leo hawajakamata hamas kwa ukatili walioufanya ila wanahangaika na Israel aliyejibu mashambulizi.
Eli Cohen Judah Tribe
Wadau habari ya muda Mimi ni kijana wa miaka 24 Niko hapa kuomba ushauri wenu na mawazo pia.
Kimuonekano Mimi ni mrefu Nina urefu wa cm 187 pia Mimi ni mkimya sasa baada ya kumaliza masomo yangu nimerudi nyumbani kwanza ili kuweka Mambo yangu sawa sasa Kuna mama mmoja ana cheo serekalini na...
Katika Ufunuo 22:12 Yesu anasema: “Tazama, naja upesi! Thawabu yangu i mkononi mwangu, nami nitampa kila mtu sawasawa na alivyotenda."
Swali: Je, unaamini kuwa Yesu yuaja upesi kama alivyoahidi katika Maandiko hayo?
Jibu NDIYO au HAPANA
Maelezo ya Upigaji Kura:
Huruhusiwi kubadili jibu lako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.