Juzi Kengold kutoka Chunya Mbeya imepigwa goli sita kwa moja (6-1) na Yanga.
Leo hadi kipindi cha mapumziko, Prison Tanzania kutoka Mbeya imeshakandwa tatu bila (3-0) na Simba.
Hizi timu za Mbeya zimekuja ili zishuke Daraja.
Timu za Mbeya ambazo zikishawahi kushuka Daraja ni pamoja na Tukuyu...