Libya ya hayati Gadaffi inanuka damu. Nchi ya Mali neno 'Amani' ni msamiati adimu ambao haupatikani kwenye kitabu chochote kilicho ndani ya taifa lao. Congo DRC mvua ya vita inanyesha through out the year. Sudan kusini kumetulia kidogo kwa sasa.
Lakini kama ukisikia kesho vita vimeanza, naomba...
Dunia ndio sayari pekee katika sayari zinazozunguka jua ambayo ina sifa ya kusupport uhai wa viumbe hai nikimaanisha wanyama na mimea. Japo kuna tafiti mbalimbali zinazoendelea kufanywa na mataifa yaliyoendelea juu ya sayari Mars kusupport uhai wa viumbe hai.
Mwanadamu ndio kichwa cha dunia...
Mwaka ni mzunguko wa sayari kulizunguka jua, kwa dunia huwa inatumia siku 365.25 kumaliza mzunguko wake. Mwaka ndio huleta majira, kama kipupwe, kiangazi, vuli na masika
Siku ni sayari kujizungusha katika muhimili wake, ambako kunaleta usiku na mchana
Sayari ya Zuhura ‘Venus’ inatumia muda...
Adam na Hawa walipoumbwa waliwekwa kwenye bustani ya Eden.
Hiyo bustani ya Eden haikuwa hapa duniani.
Bustani ya Eden ilikuwa kwenye sayari iitwayo Venus au Zuhura Kwa Kiswahili.
Baada ya Adam na Hawa kuvunja maagizo ya Mungu, Mungu aliwaondoa katika bustani ya Eden ( Sayari ya Venus ) na...
Kuanzia 2022 na 2024 baada ya kufika kwetu katika sayari ya Mars, tutaanza kwa kuishi katika makazi ya namna hii huku tukiitransform Mars kuwa nzuri zaidi.
Picha ikionesha majengo yaliyojengwa kwa teknolojia ya 3D Printing.
2022 na 2024 tukifika kuanza shughuli za ujenzi na utafiti akinifu...
Habari,
Ni muda sasa utafiti kuhusu sayari ya Mars umekuwa ukiendelea, na mapitio juu ya utafiti huu unaonyesha Mars ni sehemu ambayo hamna wenyewe.
Hii inaonyesha wazi endapo wanadamu tukizichanga karata zetu vizuri basi tunaweza kuanzisha makazi.
Kupitia makubaliano mbalimbali tayari nia...
SIku 2 TU zimebaki
Je umeshachagua Jina la Sayarinje ya Tanzania (Name of Tanzania Exoplanet)
Tanzania tumepewa fursa ya kuipa jina sayari iliyogunduliwa karibuni kuzunguka nyota. Angalia maelezo yake hapa katika tovuti hii
Nenda kwenye tovuti hii kupata fomu ya kupiga kura kuchagua matatu...
Wataalam wa anga wamegundua sayari kubwa ambayo wanasema, haipaswi kuwepo, kulingana na nadharia za sasa.
Ulimwengu huo unaofanana na sayari ya Jupita ni mkubwa sana ikilinganishwa na nyota yake mwenyeji, hatua inayokinzana na wazo kuhusu jinsi sayari zinavyoundwa.
Nyota hiyo ilio umbali wa...
Piga kura kuchagua jina linalofaa kwa sayarinje ya Tanzania
Sayarinje ni sayari zinazozunguka nyota ambazo zipo nje ya mfumo wa Jua.
Tanzania tumepewa fursa ya kuipa jina sayarinje mojawapo iliyogunduliwa karibuni.
Wanafunzi wa shule na wanavikundi mbalimbali wameshindanishwa kupendekeza...
MANDHARI YA KUVUTIA ANGANI - MWEZI BAINA YA SAYARI
(For English version see below)
Kuanzia 29 Oktoba hadi 02 Novemba baada ya Mwezi kutoka kwenye giza ya mwandamo siku ya 28 Oktoba.
Kati ya 29 Oktoba na 02 Novemba, Mwezi utauona unasogea angani ukiangalia upande wa magharibi mara baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.