scania

  1. NYAMOZEHOKO

    Vipuri vya scania na bei zake

    Habari za usiku wandugu? Naombeni msaada kwa anayejua mahali ambapo naweza kupata vipuri vya scania na bei zake naomba anipe mwongozo. Item No. Description of items PRICE 2. Fuel filter 1R-0749 4 Air Cleaner 371-1799 5 Main element 151-7737 7 Water seperator CH10930. 8 Air...
  2. NYAMOZEHOKO

    Natafuta vifaa vya scania

    Habarini za usiku wakuu. Ninahitaji vifaa vifuatavyo vy scania kwa anayejua mahali ninapoweza kuvipata na bei zake chondechonde naomba asisite kunipa mwongozo. Item No. Description of items PRICE 2. Fuel filter 1R-0749 4 Air Cleaner 371-1799 5 Main element 151-7737 7...
  3. Bexb

    Car4Sale Scania semitrailer inauzwa

    Habari wakuu, gari ya kazi inauzwa Make: Scania Model: 114L-380 Trailer: Continental Axels: BPW Double lala Bei: 75M (vyote horse na trailer) Location: Dar Gari haina tatizo lolote ndio imerudi toka Congo. Ukitaka kukagua na mazungumzo nipigie 0755963775
  4. D

    Nina hitaji kujua kiundani kuhusu Scania trucks na model zake

    Nna hitaji kujua kiundani kuhusu Scania trucks na model zake. Kuna threads nyingi humu ndani zimeongelea Trucks kwa ujumla, hasa ziki compare trucks za mchina na mzungu. Ila hakuna thread iliyozichambua model tofauti tofauti za Scania (Truck Pendwa). Mwenye uzoefu na model yoyote ya Scania...
  5. M

    Car4Sale Scania 114/380, LHD 4X2

    salam za amani wana jamii, Nauza Scania za mwisho mwisho, kila moja mil 37 C&f, ushuru unalipa mwenyewe. Karibuni sana Scania114/380 Year 2003 Engine Cummins WhatsApp Nr +255675308774
  6. Kurunzi

    Yanga yanunua Bus Aina ya Scania kama ya Madrid yenye thamani ya Tshs Bilion Moja, sio TATA kama ya Mtani

    Baada ya GSM kushusha Bus aina ya Scania, klabu ya Yanga imeingia kwenye orodha ya klabu zinazotumia mabasi aina ya Scannia duniani Basi hilo ambalo tayari limetoka bandarini, ni aina ya SCANIA IRIZA 16 ambayo thamani yake ni zaidi ya Tsh Milion 900 hadi Tsh Bilioni moja pamoja na ushuru Yanga...
  7. Chiwaso

    Car4Sale Scania 113 inauzwa

    Habari wana bodi, Mninga unauzwa, uko kwenye hali nzuri. Vibali vyote (LATRA, BIMA,MAPATO) viko hai, Ina bima kubwa(Comprehesive) Ni gea 8 Inauzwa kwa bei ya kutupwa 4omil(Price is negotiable) Call 759 888 018 for more details
  8. FRANCIS DA DON

    Hizi ndio Scania zaidi ya 20 za kisasa walizonunua Kampuni ya Azam

    Hii ina akisi hali ya matumaini katika sekta ya biashara nchini Tanzania kwa sasa
Back
Top Bottom