scholarships

  1. harunimaiga

    Basi kusiwe tena na Samia Scholarship

    Serikali kuondoa utambuaji wa shule Bora na wanafunzi Bora kwa kisingizio wengi wao wanakua ni kutoka private schools sio sawa. Shule za advance za private wanaosoma pia Wana Hali nzuri za kimaisha na ndo pia wanafaulu kwa alama za juu zaidi. Ili upate SAMIA scholarship lazima pia huwe na...
  2. Sky Eclat

    Royal Agricultural University wanapokea maombi kwa scholarships za 2023

    Royal College of Agriculture University inapokea maombi kutoka kwa waombaji kutoka nchi mbalimbali, waombaji wanaokidhi vigezo watume maombi kabla ya July 2023. https://c-js.uk/3RWQlsW
  3. R

    If it is government funds, why call it Samia scholarships?

    Rais Samia pesa anatoa wapi za kuwapa watu ufadhili? Au sijaelewa? If it is government funds, why call it Samia scholarships?
  4. W

    SoC02 Ufadhili wa masomo unaotolewa na taasisi za nje unaakisi malengo/suluhisho la matatizo yetu Watanzania au ni mwendelezo wa ukoloni?

    Ndugu zangu, Kuna taasisi na mataifa mengi ya nje ya nchi ambayo hutoa udhamini wa masomo ya juu katika kada mbalimbali ambazo nyingi hupatikana huko njee. Na kwakua udhamini huu wakat mwingine ni mzuri na unatuvutia wengi kutokana na kiwango cha fedha wanachotoa na huduma ambazo hupewa...
  5. Cheusi Mangala

    Scholarships for Clinical Research

    I am a medical doctor, general practitioner. I'm looking forward to persuade masters in clinical research or health management and administration. I really need sponsorship to undertake one of the above mentioned course. Preferably online. Please if anyone can direct or help me get one, I will...
  6. kikoozi

    Sisi wenye GPA chini ya < 2.8 tunatumia njia gani kupata scholarships za nje ya nchi

    Habarini ndugu zangu, mwenye kujua au mwenye ushuhuda wa uwezekano wa kupata scholarships kusoma nje ya nchi kwa sisi wenye GPA chini ya 2.8, mfano mimi nina GPA ya 2.6 level ya degree, je nawezaje kupata scholarships niweze kusoma Postgraduate degree (Masters). KARIBUNI KWA MSAADA
  7. Lameckjr

    Nimepata scholarship, serikali inaweza kunisaidia?

    Habari zenu wadau, Jamani leo nimekuja hapa tena kwa wenye ufahamu nimepata scholarship ambayo nalipiwa 50% tu Masters degree in supply chain management Westford University Mimi napaswa kujigharamikia kama usd 6500 Sasa nauliza hivi serikali haiwezi ni nipa sponsorship? Na kama inaweza je...
  8. M

    Fursa kutoka Wizara ya Elimu MOE, full scholarships opportunities in ireland for Tanzanians 2022/23

    1.0 Call for Application The General public is hereby informed that the Ireland-Africa Fellows Scholarship programme for 2022/2023 academic year is now open for eligible Tanzanians to study a Master’s programme in Ireland’s world-renowned Higher Education Institutions in the fields of Gender...
  9. jebs2002

    Africa International PGR Scholarships 2021-22

    Funding type: Tuition fee. Stipend. Bench Fees / Research Training & Support Grant...
  10. R

    Scholaships: Queen Elizabeth Common Wealth scholarships (QECS) teneble in the hosting university for QECS 2020

    Vijana changamkia fursa za masomo hizi hapa. https://udahiliportal.com/queen-elizabeth-commonwealth-scholaships-qecs-tenable-in-the-hosting-universities-for-qecs-2020/
  11. Sky Eclat

    Fahamu kuhusu Scholarships za Postgraduate kwa Sub Sahara Africa

    London School of Hygiene wana Scholarships kwa watu wa Sub Sahara Africa kwa Masters in Public Health, Control in Infectious Diseases etc Sifa: • Uwe na first class or 2:1 in undergraduate. • Kama ulisoma nje ya Uingereza uwe na English certificate mitihani unaufanya British Council Masters...
  12. Jamii Opportunities

    Stipendium Hungaricum Scholarships to eligible Tanzanian

    Call for Application The General public is hereby informed that, the Government of Hungary has opened new Stipendium Hungaricum Scholarships to eligible Tanzanian Nationals to pursue undergraduate and postgraduate studies at Universities in Hungary for the academic year 2020/2021. Interested...
  13. AjiraLeo

    NAFASI MPYA ZA SCHOLARSHIPS KWA VIJANA WA AFRICA(TANZANIA) KUTOKA MASTERCARD FOUNDATION 2019

    🎓NAFASI ZA SCHOLARSHIPS KWA VIJANA WA AFRICA(TANZANIA) KUTOKA MASTERCARD FOUNDATION. 📌WANAHITAJIKA WENYE KUSOMEA FACULTIES HIZI HAPA CHINI:- ▪Faculty of Economic and Management Sciences ▪Faculty of Humanities ▪Faculty of Engineering ▪Faculty of Natural and Agricultural Sciences 💰KATIKA...
  14. AjiraLeo

    HABARI NJEMA: UTUMISHI WAMETANGAZA NAFASI ZA - CHINA MOFCOM SCHOLARSHIPS 201O20.

    HABARI NJEMA: UTUMISHI WAMETANGAZA NAFASI ZA CHINA MOFCOM SCHOLARSHIPS 201O20. 📌WANAHITAJIKA WATANZANIA KWENYE VYUO 39 CHINA. 💰SERIKALI YA JAMHURI YA WATU WA CHINA ITAKUPA VITU HIVI: ▪Gharama za usafiri ▪Fedha Za Kujikimu ▪Gharama Za Mafunzo ▪Gharama Za Matibabu ▪Utalipiwa Ada ▪Fedha Ya...
Back
Top Bottom