Serikali kuondoa utambuaji wa shule Bora na wanafunzi Bora kwa kisingizio wengi wao wanakua ni kutoka private schools sio sawa. Shule za advance za private wanaosoma pia Wana Hali nzuri za kimaisha na ndo pia wanafaulu kwa alama za juu zaidi.
Ili upate SAMIA scholarship lazima pia huwe na...
Royal College of Agriculture University inapokea maombi kutoka kwa waombaji kutoka nchi mbalimbali, waombaji wanaokidhi vigezo watume maombi kabla ya July 2023.
https://c-js.uk/3RWQlsW
Ndugu zangu,
Kuna taasisi na mataifa mengi ya nje ya nchi ambayo hutoa udhamini wa masomo ya juu katika kada mbalimbali ambazo nyingi hupatikana huko njee. Na kwakua udhamini huu wakat mwingine ni mzuri na unatuvutia wengi kutokana na kiwango cha fedha wanachotoa na huduma ambazo hupewa...
I am a medical doctor, general practitioner.
I'm looking forward to persuade masters in clinical research or health management and administration. I really need sponsorship to undertake one of the above mentioned course. Preferably online.
Please if anyone can direct or help me get one, I will...
Habarini ndugu zangu, mwenye kujua au mwenye ushuhuda wa uwezekano wa kupata scholarships kusoma nje ya nchi kwa sisi wenye GPA chini ya 2.8, mfano mimi nina GPA ya 2.6 level ya degree, je nawezaje kupata scholarships niweze kusoma Postgraduate degree (Masters).
KARIBUNI KWA MSAADA
Habari zenu wadau,
Jamani leo nimekuja hapa tena kwa wenye ufahamu nimepata scholarship ambayo nalipiwa 50% tu
Masters degree in supply chain management
Westford University
Mimi napaswa kujigharamikia kama usd 6500
Sasa nauliza hivi serikali haiwezi ni nipa sponsorship? Na kama inaweza je...
1.0 Call for Application
The General public is hereby informed that the Ireland-Africa Fellows Scholarship programme for 2022/2023 academic year is now open for eligible Tanzanians to study a Master’s programme in Ireland’s world-renowned Higher Education Institutions in the fields of Gender...
Vijana changamkia fursa za masomo hizi hapa.
https://udahiliportal.com/queen-elizabeth-commonwealth-scholaships-qecs-tenable-in-the-hosting-universities-for-qecs-2020/
London School of Hygiene wana Scholarships kwa watu wa Sub Sahara Africa kwa Masters in Public Health, Control in Infectious Diseases etc
Sifa:
• Uwe na first class or 2:1 in undergraduate.
• Kama ulisoma nje ya Uingereza uwe na English certificate mitihani unaufanya British Council
Masters...
Call for Application
The General public is hereby informed that, the Government of Hungary has opened new Stipendium Hungaricum Scholarships to eligible Tanzanian Nationals to pursue undergraduate and postgraduate studies at Universities in Hungary for the academic year 2020/2021. Interested...
🎓NAFASI ZA SCHOLARSHIPS KWA VIJANA WA AFRICA(TANZANIA) KUTOKA MASTERCARD FOUNDATION.
📌WANAHITAJIKA WENYE KUSOMEA FACULTIES HIZI HAPA CHINI:-
▪Faculty of Economic and Management Sciences
▪Faculty of Humanities
▪Faculty of Engineering
▪Faculty of Natural and Agricultural Sciences
💰KATIKA...
HABARI NJEMA: UTUMISHI WAMETANGAZA NAFASI ZA CHINA MOFCOM SCHOLARSHIPS 201O20.
📌WANAHITAJIKA WATANZANIA KWENYE VYUO 39 CHINA.
💰SERIKALI YA JAMHURI YA WATU WA CHINA ITAKUPA VITU HIVI:
▪Gharama za usafiri
▪Fedha Za Kujikimu
▪Gharama Za Mafunzo
▪Gharama Za Matibabu
▪Utalipiwa Ada
▪Fedha Ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.