schools

  1. Mama Edina

    Asec schools wana jipya gani. Maana naona ime trend sana.

    Kuna shule nyingi zime simama shule kama Tusiime Zhabika St Ane Maria Fortune Sahara Abc school FOUNTAIN GATE ACADEMY GREENHILL PRIMARY SCHOOL MAJMAAL BAHRAIN PRIMARY STMAXIMILIAN PRIMARY SCHOOL - PS0202113 Ziko fire kwanini hawa Ask school wasumbue hivi??
  2. M

    Badala ya kushughulika na elimu inavyoharibiwa shule binafsi, unashughulika na nyimbo za Zuchu ili nawe uonekane unafanya kazi!

    Ukienda private schools kuna manyanyaso mengi sana mpaka unajiuliza hivi wizara husika IPO kweli au hawajui wafanye nini! 1. Mishahara ya baadhi ya shule kwa graduates haizidi laki mbili kwa mwezi wakati serikali imeahaweka kima cha chini na cha juu na graduates anapaswa kuanzia laki saba. 2...
  3. T

    SoC03 Watanzania tunufaike na nini kupitia nursery schools

    Ni miongo mingi imepita huku nchi ya Tanzania ikishindwa kufanya vizuri kwenye suala la ushindani wa soko la ajira kulinganisha na mataifa mengine ya nje na yale ya jirani katika kuwasilisha “maudhui” yetu kupitia vijana wanaotumia nguvu kubwa katika kupambana na umaskini ili wajikwamue kwenye...
  4. Mr Pixel3a

    Makanisa yazingatie umuhimu wa Sunday Schools kwa watoto wa umri mdogo na wa kati

    Baadhi ya makanisa kupuuzia Sunday schools kwa watoto na kuwa na utamaduni wa kuwachanganya watoto na watu wazima haimjengi mtoto kimaadili, kidini, kisaikolojia na kiufahamu pia. Maana kuna mahubiri mengine yanaleta matokeo hasi kwenye ubongo wa mtoto. Mtoto lazma afundishwe katika ranks na...
  5. C

    Kenya: Shule za bweni kwa watoto wa shule za msingi marufuku kuanzia 2023

    Serikali kuanzia Januari 2023 itaondoa shule za msingi za bweni kwa wanafunzi wanaosoma katika darasa la 1 hadi la 9. Kenya imetangaza kuwa kuanzia mwaka ujao hakutakuwa na shule ya bweni kwa watoto wa shule za msingi na wazazi wanapaswa kuwapeleka watoto wao shuleni asubuhi. Hii ni kwa ajili...
  6. Jamii Opportunities

    Safe Schools Intervention Specialist (03 post) at IRC

    Requisition ID: req31775 Job Title: Safe Schools Intervention Specialist (03 post) -Kigoma,Pwani & Simiyu. Sector: Education Employment Category: Fixed Term Employment Type: Full-Time Open to Expatriates: No Location: Tanzania Job Description Background/IRC Summary: The International Rescue...
  7. blogger

    Private schools (English medium) ada kupanda maradufu 2023. Serikali iingilie kati

    Serikali haina budi kufanya lolote liwezekanalo kufanya Shule hizi za private zisipandishe ada kiholela. Zinaweza zikapunguziwa gharama za uendeshaji ili ziwe na nafuu kwa malipo huko serikali. Baadhi ya Shule vikao vishaanza. Kuna ongezeko la ada la kutisha na wanajiamulia wenyewe kwa utetezi...
  8. R

    Shule zinazofundisha mitaala ya kimataifa (International Schools in Tanzania)

    Habari za majukumu ndugu wanajamiiforums, Naomba kuuliza kwa mwenye ufahamu kuhusu utofauti wa IB na IGCSEs na GCSEs zinazotolewa na Shule zinafundisha mitaala za kimataifa hapa nchini. Na kipi ni kizuri zaidi kwani nataka nimpeleke mtoto kwenye hizo. Mfano. Nimena Iringa International...
  9. Jamii Opportunities

    Mathematics and PE Teacher at Al Muntazir Schools

    The Al Muntazir Schools are managed under the auspices of KSIJ Central Board of Education, a Non-Profit Organization, providing quality education to students from multicultural backgrounds and it comprises of five Schools spreading over three campuses, providing education at Toddlers, Nursery...
  10. K

    Elimu yetu Tanzania: Mbona International Schools hazina 'Holiday Package' kama shule nyingine?

    Shule zinakaribia kufungwa. Hii maana yake ni nini? Maana yake walimu wamefanya kazi wakamaliza syllabus wamefunzidha vizuri. Wanafunzi mwamesoma vizuri na wamesimamiwa vizuri. Sasa wanaenda kupumzika kwa mwezi mzima. Ratiba ya shule imeisha inaanza ratiba nyingine ya nyumbani. Mtoto anahitaji...
  11. beth

    #COVID19 President Museveni: Economy to fully reopen in January 2022

    President Museveni has revealed that schools and the rest of the economy will be fully reopened in January 2022, urging Ugandans to flock the nearest health centres for vaccination. He said that by the end of December 2021, the government will have received about 23 million doses of Covid-19...
  12. S

    When schools were Schools

    It was when schools were Schools and education was Education, When education was real a key to life, And whoever got educated became successful. People were taught how to think, fitting their mind in any problem, Instead of being fixed on what to think and programmed into robots. Education...
Back
Top Bottom