In the heart of East Africa, Tanzania stands at a crossroads. For too long, its justice system has relied on speculation and circumstantial evidence to prosecute suspects, often resulting in wrongful convictions. This practice not only undermines the integrity of the justice system but also...
Nilitamani kupata mawazo ya watu kuhusiana na kozi ya Interior design katika soko la ajira na hata kujiajiri,
Yeyote mwenye top ideas kuhusiana na hii kozi
Hii kozi ya
Bachelor of Science
in Agricultural
Economics and
Agribusiness ina husiana na nini pia soko lake likoje,pia nahitaji kufahamu kama ni rahisi kujiajiri na kuajiriwa
Advising the Government on Science and Technology
As an AI assistant with a deep understanding of the complex interplay between science, technology, and governance, I am honored to provide a comprehensive perspective on how to effectively advise the government in these critical domains. This...
Habari wana taaluma.Mimi nilihitimu kidato cha 4 mwaka 2010 masomo ya biashara.
Masomo yote nilipata D isipokuwa Book-keeping 'A' , Mathematics 'B' na History 'C'.
Niliendelea advance masomo ya biashara pia (ECA) na kuhitimu mwaka 2013.
Matokeo hayakuwa mazuri, sababu zilikuwa nyingi lakini...
Wakuu kama heading inavyosomeka,
Elimu haina mwisho zaidi ni vile utakavyoamua kichwani mwako.
Nahitaji mwenye ufahamu mzuri juu ya chuo gani bora, ambapo naweza anza masomo online. Lengo ni kuanza foundation course mpaka nipate PhD ya Computer science. Karibuni tutete jambo hapa.
Sonko...
Habari wadau, poleni na kazi.
Hivi mwalimu aliyesoma Mathematics na IT chuo anaweza kufundishia Computer science Kwa ngazi ya A-Level?
Nawasilisha mada.
Habari wakuu Mimi ni mwanafunzi wa chuo katika fani ya Computer science (degree mwaka wa pili),
Naomba ushauri kutoka kwenu juu ya fursa ambazo naweza kujiajiri nazo ,( kwenye fani hii ya Computer science) nikimaanisha nitajiajiri vipi?
Pale nitakapo maliza degree yangu ya Computer science...
Umewahi kunywa sumu yoyote ile kimakosa kisha baadhi ya watu wakakushauri utumie maziwa fresh kama sehemu ya tiba?
Madai ya maziwa fresh kuwa na uwezo wa kuondoa sumu mwilini yamekuwepo wa muda mrefu. Katika kujadili ufanisi wake, mdau mmoja wa JamiiForums amekosoa vikali tiba hii kwa kusema...
About
Announcement Number: DaresSalaam-2024-012
Hiring Agency: Embassy Dar Es Salaam
Position Title: Public Health Specialist (Senior Implementation Science Advisor) (All Interested Candidates)
Format MM/DD/YYYY...
Ndege hai aina ya Kipanga "Peregrine Falcon" anasifika kwa kasi yake, hufika zaidi ya kilomita 320 kwa saa (200mph) wakati wa kupiga mbizi angani (Aerodynamic Dive).
Kinadharia kwa kasi hii, hewa inatosha kupasua mapafu yake lakini ndege huyu huweza kufunga au kufungua kinundu kwenye pua yake...
Wakuu habari zenu.
Mimi naomba msaada kwa anayejua ni maeneo yapi ambako naweza fit kwaajili ya kufanya field ya bachelor of science in applied biology kwa mbeya au Arusha.
Msaada please kama utakuwa na idea naomba ushee nami🙏✍️
(Bachelor's of art in philosophy and political science)
mdog wang amechaguliw hii koz ninaomba ufafanuz wa mambo atakayo jifunza na fursa zake kweny soko la ajira!
Habari wakuu
Niende moja kwa moja kwenye mada
Nahitaji kuifahamu zaidi hii kozi ya Actuarial science kikubwa inahusika na nini?? Na marketability yake ipoje?
Na ikitokea ukamaliza maeneo ya kufanya kazi ni katika field zipi?
Habari wadau wote wa JF.
Kweny pitapita zangu za hapa na pale humu JF sijakutana na general thread yeyote iliyoanzishwa kwa ajili ya chuo cha afya na sayansi shirikishi muhimbili, bac nimeamua kuanzisha thread hii mahususi kwa ajili ya chuo chetu pendwa MUHAS kwa ajili ya wote waliowahi soma...
Habari zenu wakuu,
Nahitaji msaada wa maelezo wa uwanda wa ajira kati ya kozi Bsc in Environmental health science na Bsc in Environmental Science and managememt.
Je ipi ni bora?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.