Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale wa Zanzibar, Mh. Mudrick Soraga (kulia), akimsikiliza Afisa Mkuu wa Fedha wa Benki ya Exim Tanzania, Shani Kinswaga, wakati wa kongamano la Z-Summit 2025 lililofanyika katika Chuo Kikuu cha SUZA, Zanzibar. Kongamano hilo la kila mwaka, lililofanyika kuanzia...
Kweli Rais Samia kafungua nchi, angalia takwimu hapa kwa mujibu wa The Citizen kama zilivyoletwa kutoka ripoti za BOT:-
Kwenu muliobeza Royal Tour, ruksa kutoa povu. Ila nchi inasonga mbele
NA THABIT MADAI, ZANZIBAR
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi amesema kwamba, Serikali itaendelea kukuza mazingira rafiki ya biashara na uwekezaji pamoja na kuweka mkazo wa kurahisisha michakato, kuimarisha mifumo ya udhibiti na kutoa motisha za...
Nimewiwa kufikiri "detrimental sequalea" ya kupotea kwa watu na hata kuuwawa. Hili limekaaje katika kuwatisha wageni wetu na athari zake katika soko la utalii.
Kenya wamepitia magumu katika sekta ya utalii baada ya tafrani za kisiasa na mengineyo.
Tukiendelea kumsaidia mh.Rais kupambana dhidi...
Utalii, ni kitendo cha kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine kwa lengo la kujiburudisha au kujifunza. Tanzania ni moja kati ya nchi zenye vivutio vingi vya Utalii duniani na ikiwa ni nchi ya tatu barani Afrika kwa nchi zenye Utalii mkubwa. Pia Utalii nchini Tanzania umekuwa na faida nyingi...
Utangulizi
Sekta ya utalii nchini Tanzania ina changia pato la taifa kwa asilimia kumi na saba (17%) na mapato ya fedha za kigeni kwa asilimia hamsini na tano (55%). Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2021/22 - 2025/26 (Juni 2021 uk. 103)
Kwa takwimu hizi, sekta ya utalii inaendelea...
Tanzania ni nchi yenye uwezo mkubwa wa utalii kutokana na aina mbalimbali za wanyamapori, mandhari nzuri na urithi wa kitamaduni. hata hivyo, pamoja na faida hizo, nchi inakabiliwa na changamoto katika kuvutia idadi kubwa ya watalii ikilinganishwa na baadhi ya nchi jirani kama Kenya na Afrika...
Huwezi zungumzia sekta zenye mchango mkubwa katika uchumi wa nchi yetu bila kuitaja sekta ya utalii. Imekua ikichangia pato la taifa na ajira kiujumla. Licha ya uwepo na utajiri wa maliasili na vivutio vya utalii sekta hii imekua ikikabiliwa na changamoto mbalimbali zinazozuia ukuaji wake wa...
Kufuatia agizo la Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alilolitoa Aprili 4, 2024 akiwaapisha viongozi mbalimbali alitoa maelekezo mahususi kwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, kuhusu kuhamasisha uwekezaji katika sekta ya utalii kwa kushughulikia changamoto ya upatikanaji wa...
Mnamo Aprili 18, 2024, Benki ya Dunia imesitisha mara moja utoaji wa fedha kutekeleza mradi wa REGROW nchini Tanzania kuanzia mara moja. Hatua hii ni baada ya taasisi ya Oakland Institute kufanya advocacy kwa niaba ya niaba ya wakazi wa maeneo ambayo wataathiriwa na mradi huo.
Mradi huo wa dola...
benki
benki ya dunia
binadamu
dunia
fedha
habari
haki
haki za binadamu
mauaji
mdomo
nani
sektasektayautalii
tanzania
tuhuma
ufadhili
ukiukaji
utalii
vyombo
yasitisha
SA Tourism ama Bodi ya Utalii ya Taifa la Afrika ya Kusini ilitangaza kuwa imepeleka proposal yake ya kutaka kudhamini moja ya timu kongwe iliyopo Jijini London, Uingereza. Fedha ambayo ilipigiwa hesabu ni dola milioni 52 za kimarekani katika mkataba ambao utakuwa ni wa miaka mitatu. Mkataba huo...
Wale washamba fc walipiga sana kelele kuhusu Royal Tour. Wakaongea sana kutokana na chuki zao tu.
Sasa nchi imefikia kuvunja rekodi kwa kuingiza watalii Mil 3 na ushee kwa mwaka huu.
Sasa niwaulize kuna mtu ana neno la zaidi juu ya kwa nini ilifanyika Royal Tour?
Na Shaka Hamdu Shaka
MAFANIKIO KUMI YA RAIS SAMIA KATIKA SEKTA YA UTALII
1. Kupungua kwa ujangili kulikotokana na kuimarika kwa uhifadhi ikiwemo kuundwa kwa jeshi usu la wanyamapori na misitu. Hali hii imepelekea kuongezeka kwa wanyama maradufu wakiwemo tembo, faru, simba, mbwa mwitu, na...
Utangulizi
Wakati ninasoma, nilidhani kuwa watalii ni lazima wawe wazungu kutoka Ulaya, na pia nilidhani utalii unafanyika katika mbuga za Wanyama pekee. Nikiwa bado shuleni, nilibahatika kwenda pamoja na wanafunzi wenzangu kutembelea mbuga za Wanyama Manyara na Ngorongoro, tulipokuwa tunakutana...
UTANGULIZI
A: 1. SEKTA YA UTALII.
Sekta ya utalii ni miongoni mwa sekta mama hapa nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, sekta hii huchangia takribani asilimia kumi na saba (17%) ya pato la nchi pia ni miongoni mwa vyanzo vikubwa vya ajira kwa rika zote kuanzia wamiliki wa makampuni ya...
Muda mfupi baada ya serikali ya China kuondoa kizuizi cha mwisho cha hatua za kupambana na janga la COVID-19, wachina walianza kusafiri kwenda katika nchi mbalimbali duniani. Mwishoni mwa mwezi Aprili kundi la watalii 28 kutoka China, lilikuwa ni moja kati ya makundi ya mwanzo kusafiri kwenye...
Usalama wa taifa ni muhimu kwa maendeleo ya taifa lolote duniani, Hii inajumuisha usalama wa ndani ya nchi na nje ya nchi ambapo wote kwa Pamoja unajumuisha ujasusi wa kiuchumi, Kisiasa na kijamii. Nchi isipokuwa salama matokeo yake huonekana moja kwa moja kwa raia wake hivyo suala la usalama wa...
Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar, Omar Said Shaban (katikati), akipata maelezo kutoka kwa Meneja Mkazi wa Pesapal, Bupe Mwakalundwa (wa pili kulia) na Meneja Mkuu wa Pesapal Emmy Rono (watatu kulia) jinsi ya kufanya malipo kupitia mfumo wa Pesapal badala ya fedha taslimu...
Jumapili, Januari 8, 2023, China ilitangaza kulegeza zaidi hatua za udhibiti wa virusi vya Corona, na kuondoa masharti ya kuweka wasafiri karantini mara wanapowasili nchini China kama ilivyokuwa kipindi cha nyuma.
Tangu mlipuko wa COVID-19 ulipotokea mwishoni mwa mwaka 2019 na kesi ya kwanza...
Mwaka 2022 sekta ya utalii nchi iliimarika zaidi baada ya Mheshimiwa Rais Samia Suluhu kucheza na kuzindua filamu ya Tanzania: Royal Tour.
Hii ilikuwa ni mara ya kwanza kabisa katika historia ya Taifa letu, ambapo Rais anacheza filamu nzima, tena kama muhusika mkuu katika harakati za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.