Na Shaka Hamdu Shaka
MAFANIKIO KUMI YA RAIS SAMIA KATIKA SEKTA YA UTALII
1. Kupungua kwa ujangili kulikotokana na kuimarika kwa uhifadhi ikiwemo kuundwa kwa jeshi usu la wanyamapori na misitu. Hali hii imepelekea kuongezeka kwa wanyama maradufu wakiwemo tembo, faru, simba, mbwa mwitu, na...