serious

Serious is an observational documentary series made by the BBC and broadcast as part of their children's programming. It encompasses Serious Jungle (2002), Serious Desert (2003), Serious Arctic (2005), Serious Amazon (2006), Serious Andes (2007), Serious Ocean (2008) and Serious Explorers (2011). Serious Ocean consisted of ten 30-minute episodes, while each previous series was six 30-minute episodes. In each series a group of eight 12- to 15-year-olds embark on an expedition to an extreme part of the world, in order to help wildlife or assist in environmental projects. The programmes have won numerous awards, among them honours from BAFTA and the Royal Television Society.
So far only Serious Amazon, Serious Ocean and Serious Andes have been aired in Australia, on ABC1 and ABC3.
The series has also been shown on Discovery Kids/The Hub, where five complete seasons have been shown. Slovenian television Kanal A has bought the rights to air Serious Amazon. The show airs Saturdays at 2:10 pm, under the title Vse o Amazonki (All About the Amazon).The Italian television network RAI in early 2009 aired Serious Jungle, Serious Desert, Serious Arctic, Serious Amazon, and Serious Andes.

View More On Wikipedia.org
  1. Aisee, huyu mwamba sijui katokea wapi na anaelekea wapi haha, hata walinzi wamebaki kushangaa bila kumzuia haha.

    https://youtu.be/y1kmYqisApc?si=mIPdFfjf4Zaqg5lx
  2. Hii likizo ya Emergency DAWASA haiwahusu: Kuweni Serious basi!

    Aisee DAWASA kuweni serious na maisha ya watu. Tunataka maji aisee.
  3. I

    Baadhi ya graduates hawako serious katika suala la kutafuta ajira

    Habari za weekend wakuu? Wakubwa leo bana,hr amenipa kazi ya kuwapigia baadhi ya candidates kwenye nafasi kama 4 za idara yetu kuwaalika kwenye usaili siku ya jumatatu,na haya ndio niliyoyaona nikajisemea tu hawa watu wako serious kweli? 1.Number nimepiga zaidi ya mara tatu hazipatikani...
  4. Eti mtu anaulizia validation ya Lissu katika chama. Are you serious?!!! This guy almost died kwa ajili ya chama!

    Jambo la kusikitisha zaidi kuhusu usaliti ni kwamba hautokani na adui zako. Sio lazima Lissu achaguliwe ila mpinge mwamba kwa hoja maalum, tena kwa heshima kubwa, ila sio kwa dharau na kejeli utafikiri damu yake haikuwahi kumwagika kwa ajili ya mapambano yenu.
  5. A

    Mtandao wa "YAS" Msipokuwa serious mtaanguka sokoni

    Kwanza niwapongeze kwa kufanikiwa kweny manunuzi ya mtandao wa tigo na mkaubadilisha jina kuwa" YAS" Mahali mnapofeli kwa sasa 1. Mmebweteka saana, kweny promotion mkiendelea kutegemea promo za zamani za tigo na mnachofanya ni kubadili jina tuu la promotion. 2. Kukosekana kwa ubunifu na...
  6. K

    Unaweza kumshitaki mtu alikugongea mlango kwa Fujo ukiwa ndani?

    Kuna mtu anakusanya takataka Sasa Leo amekuja kwangu ananigongea mlango kwa Fujo sana je naweza kumshitaki?? Ikiwezekana anilipe?? Mana natumia kama fursa ya kupata hela je inawezekana???
  7. Prof. Mkenda na Mchengerwa mbona hamko serious na kazi zenu?

    Mtaala mpya, Silabus mpya No vitabu shuleni No walimu semina Wakuu wa shule hawaelewi Wanafunzi form one wameripoti mashuleni, walimu hawaelewi cha kufanya, mbona kama hamko serious na elimu ya watanzania ? Kuna haja gani kuanzisha mtaala mpya wakati vitendea Kazi hamjaviandaa, leo ni siku ya...
  8. Tasnia ya habari jaribuni kua serious kidogo

    Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wana JF. Awali ya yote nimshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunijaalia afya njema, wewe ambae unapitia changamoto moja au nyingine Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi uweze kukabiliana nayo. Back to the topic. Leo katika kuperuzi mtandao wa Youtube nimekutana...
  9. The Urgency of Addressing Serious Allegations for the Integrity of the Presidency

    As a loyal cadre of Chama Cha Mapinduzi (CCM), I feel compelled to raise a critical issue regarding the integrity and accountability of the presidency as an institution. Allegations have recently surfaced that the late President John Pombe Magufuli may have been personally involved in the tragic...
  10. K

    Shida ni nini kwenye haya maisha? take its so serious.

    Inakuwaje kijana unapambana Kwa Hali na Mali kiakili na kimwili Ila mafanikio yanakuwa bado shida? MTU huywi pombe na wala hutumii kilevi chochote Sio MTU wa wanawake uko na mahusiano yako strong Sio MTU wa peer pressure na wala huna circle kubwa ya marafiki wajinga wajinga Unaamini katika...
  11. USA wako serious sana. Uchumi wao ni mkubwa sana 30 trillion USD

    Muda si mrefu Uchumi wa USA unafika 30 trillion USD. Uchumi wa USA ni mkubwa Sana. Ni rahisi kuitawala dunia kwa huo uchumi Mchina ana safari ndefu Sana. Ana watu 1.4 billion na uchumi bado ni 18 trillion.
  12. N

    KERO Hospitali ya Kimara mpo serious kweli? Zaidi ya saa nne hakuna huduma

    Ni zaidi ya saa nne sasa hakuna huduma kwasababu ya mtanndao! Kila Mgonjwa anayefika hapo anaambiwa kirahisi rahisi tu kuwa hakuna mtandao Cha kusikitisha zaidi ni majibu tunayopewa ni wakavu Hawana huruma watu wanauliza na kuambiwa kwani kuna aliyezidiwa hapa? Ukiuliza sana unaambiwa Nenda...
  13. Nchi 2 za NATO zatoa onyo kwa raia kuhusu mashambulizi ya nyuklia ya Urusi

    Kizazi cha karne ya 21 hakiamini kuwa vita ya dunia huanza kama mzaha. Paneli ya kipindi cha Outnumbered wamejadili maendeleo ya kutisha baada ya vikosi vya Ukraine kushambulia Urusi kwa kutumia makombora ya masafa marefu kutoka Marekani. Pia, walijadili hatua ya Rais wa Urusi, Vladimir Putin...
  14. Wanawake, hakikisheni kuwa sababu zenu za kumkataa mtu ni za msingi na za maana

    Just imagine umekaana na mshikaji miaka mi 4 Mmetambulishana Kwa familia Ujanja wote mshikaji anakufundisha akijua kabisa wewe sio mzuri ila kaamua kukuheshimu tu hakufanyiii usenge Ghafla unapagawa na msela mwenye Subaru unaongoka Kwa aliye vumilia ubaya wako Kwa dharau na kebehi Unazani...
  15. Hizi hospital za serikali omba Mungu sana usipelekwe huku ukiwa serious. Unaweza kufa na wahudumu wa afya Wala hawajali

    Niko hospital ya wilaya ya Butiama mda huu. Mama yake na rafiki yangu amepata ajali ya pikipiki, mguu kuanzia kwenye mapaja mpaka kikanyagio haufai, nyama hakuna mifupa Iko nje. Picha linaanza anafikishwa hospitali anawekwa pembeni mnaambiwa daktari hayupo, hamna huduma yoyote na ukimuangalia...
  16. CHADEMA yajibu hoja za Tundu Lissu: "Hakuna Serikali ya Nusu Mkate, Sio Sera Yetu"

    Wakuu CHADEMA wamemjibu Makamu Mwenyekiti wa chama chao, Tundu Lissu ===== Hivi karibuni kumeibuka tena wimbi la hoja mbalimbali ambazo zilishawahi kuibuka siku za nyuma na ambazo zimesababisha wanachama, wapenzi wa Chadema na Wananchi kwa ujumla kutaka ufafanuzi rasmi wa Chama; 1. Chadema...
  17. ITV kuweni serious na kazi yenu ya habari, sio kila mtu wa ni kumuuliza kila kitu.

    Nilikuwa naangalia taarifa ya habari ITV wakawa wanahabarisha kuhusu Benki kuu(BoT) kuondoa zile noti za zamani katika mzungu, cha ajabu katika kupata watu wa kutoa maoni kuhusu hilo jambo badala ya kuwatafuta wataalamu wa biashara, fedha, au uchumi kutoka taasisi mbalimbali za hadhi ya juu kama...
  18. T

    Sijawahi kumsikia kiongozi yeyote wa nchi walio serious na maisha eti anainua michezo kwa kununua magoli!

    Hapa bongo kuna kila aina ya vituko moja ya kituko kinacho niacha hoi ni huu utaratibu wa viongozi wa kitaifa eti kuifanya wanahamasisha michezo wakati ukweli ni kwamba wanajijenga zaidi kisiasa kuliko kuinua hiyo michezo yenyewe. Badala ya kukaa na kuumiza kichwa ni vipi tunakuza vipaji ni...
  19. F

    Masters and PhD scholarships for international students. Researchlink International offers application assistance to qualified and serious students.

    You must be a graduate and are serious in making impactful application to these prestigious scholarships from UK and Denmark. ResearchLink International ResearchLink International offers technical assistance to a few serious students from Tanzania. Visit the organization website and go to the...
  20. A serious woman to Marry is needed

    I need a woman with a good shape to marry from all Tribe except a Haya, Nyakyusa, Nyaturu, Jita, Kurya,Chaga,Ngoni and other related to those. should be aged 25 to 30. Able to understand shortly and hardworking. Any level of education in any Falcuty ,but those with finance,accounting,Computer...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…