service delivery 2024

  1. Ojuolegbha

    Pre GE2025 Serikali yaanza usambazaji wa kadi za kliniki za wajawazito na watoto nchini

    Na WAF – Dodoma Serikali imeanza kusambaza vitabu vya kliniki vya wajawazito na watoto nchini ambavyo vitasambazwa katika mikoa 26 nchi nzima. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa huduma za Mama na mtoto wizara ya afya Dkt. Ahmad Makuwani Leo Juni 21, 2024 Katika Hospitali ya Taifa ya Afya ya akili...
  2. F

    DOKEZO Uwanja wa mpira Babati (Kwara Stadium) hauna choo

    Ni aibu kwa halmashauri ya mji wa Babati kuweza kujenga mamia ya frem za biashara kuzunguka uwanja wa mpira wa Kwara halafu wasiweze kuweka huduma ya choo. Biashara mbali mbali zinafanyika katika eneo hili zikiwemo za vyakula, bar, butchers, saloon nk nk lakini ukitaka kukojoa unaambiwa ni hapo...
  3. A

    KERO Kero ya maji Dar es Salaam - Watangaze kama kuna mgawo wa maji

    Habari za jioni ndugu, Kwa sasa maeneo mengi ya jiji la Dar es salaam hasa maeneo ya Manzese napoishi kumekuwa na kero kubwa ya maji na maji yanaweza kutoka lisaa limoja tena mara moja kwa mwezi mzima. Na DAWASA wamekaa kimya hakuna wanachoeleza cha maana ukiwapigia simu. Ni vyema sasa Waziri...
  4. Stephano Mgendanyi

    Jimbo la Musoma Vijijini: Serikali Yaendelea Kuchangia Ujenzi wa Sekondari Mpya za Kata

    Serikali imetoa fedha kwa Kata mbili (2) kujenga sekondari mpya za Kata hizo. Kata hizo ni: 1. Nyamrandirira Sekondari itajengwa Kijijini Kasoma 2. Bukima Sekondari itajengwa Kijijini Butata Serikali imetenga Tsh 584,280,000.000 (Tsh 584.28m) kwa ujenzi wa kila moja! Ushauri...
  5. Suley2019

    Baada ya malalamiko mengi hatimaye barabara ya Mwanagati imemwagwa vifusi na kusawazishwa

    Salaam Wakuu, Kwanza kabisa niwashukuru JamiiForums kwa kupaza sauti yetu ya ubovu wa barabara uliokuwepo kuanzia kipande cha Kwa Mpalange mpaka Mwanagati. Barabara hii ilikuwa mbaya kupitiliza, ilikuwa ni ngumu sana kwa daladala kufanya kazi bila kuharibikiwa vyombo vyao mpaka walilazimika...
  6. Influenza

    Baada ya kelele za Wananchi, barabara ya Mwanagati yaanza kutengenezwa

    Habari Wanajamvi, Baada ya kelele za Wananchi wa Mwanagati, Ilala, Dar es Salaam kuhusu ubovu wa barabara yao na kusababisha hadi nauli ya daladala kupanda huku magari yakiwa yanaharibika, sasa imeanza kufanyiwa kazi. Soma: Hali ya Barabara kwa Wakazi wa Mwanagati inasikitisha Jana Desemba...
Back
Top Bottom