A shairi (Georgian: შაირი, pronounced [ʃairi]), also known as Rustavelian quatrain, is a monorhymed quatrain used by Shota Rustaveli in The Knight in the Panther's Skin.
It consists of four 16-syllable lines, with a caesura between syllables eight and nine. While there are stanzas with as many as five syllables rhyming, generally shairi uses either feminine or dactylic rhyme. It is worth noticing that despite the feminine and dactylic forms of rhyme, Georgian shairi’s stress is very weak due to the nature of the Georgian language, which is characterized by dynamic and very weak stress placed on antepenultimate syllable in words longer than two syllables and on penultimate in two-syllable words.
Inarudi tena
Mkono unateleza polepole
Wa muda na amri zake
Muda si muda unafika
Unakaa mahali pake
Kivuli chake usoni pangu
Kinatia shinikizo katika siku yangu
Maisha haya yanateleza mikononi mwangu
Siku hizi hazijatokea kama nilivyopanga
Inarudi tena
Mkono unateleza...
Walikuwa mashujaa, sauti za upinzani,
Heche, Lissu, na Lema, majina ya matumaini,
Walilia haki, wakapigania usawa,
Leo wameondoka, mioyo imejaa maswali na uchungu wa ndani.
Ni uchaguzi wa ndani, si vita vya umoja,
Lakini kilichobaki ni majeraha ya mioyo,
Je, ni hasira ya kushindwa au dhoruba ya...
Kwa miaka ishirini na moja, umetutumikia,
Katika dhoruba na mawimbi, haukutetereka,
CHADEMA umekijenga, ukakifanya ngome,
Freeman Mbowe, bado tunahitaji huduma zako.
Busara zako ni taa, zinazoongoza njia,
Uadilifu wako ni chemchemi ya tumaini,
Kwa haki na usawa, umetufunza kupigania,
Mbowe...
MKO WAPI MPENDAO ?
1. Hayapo tena mahaba
Ja alivyosema Kiba
kila mahali msiba
Mko wapi mpendao ?
2. Wasasa ni vibweka
Amani ni heka heka
Si mbwa ila wabweka
Mko wapi mpendao ?
3. Kupendwa ni lengo lao
Kupenda si hoja yao
Starehe maisha kwao
Mko wapi mpendao ?
4. Tokezeni mpendao
Hadi kwenye...
KWAHERI KWA HERI NDUGU LISSU
Lissu, mwana wa siasa mashuhuri kweli,
Aliyejaa uthubutu, mwepesi wa maneno,
Kwa haki ulisimama, sauti ya wanyonge,
Leo tunakuaga, moyo mzito na huzuni.
CHADEMA ulikuja, ngome ya matumaini,
Ukachonga njia kwa hoja na maono,
Lakini upepo wa kisiasa haukusema...
Kalamu ya: Leah D. Mbeke
Kutoka: CCM Makao Makuu
Neno falsafa ni neno la Kigiriki, ambapo mwanafalsafa ni mpenzi au mfuasi (philia) wa hekima (sophia). Mtu anayefanya kazi katika uwanja wa falsafa anaitwa Mwanafalsafa. Mwanafalsafa ni aina ya mtu wa fikra na mtafiti.
Rais Samia Suluhu Hassan...
SHAIRI
MPENDWA UJITAFUTE
1.Ninapolileta somo, cha kwanza nawasabahi
Mi Mzee wa makamo, sikiliza nawasihi
Naufungua mdomo, naamini nimewahi
Mpendwa ujitafute, kwa sasa hupatikani
2.Yule tulomfahamu, tofauti na wa leo
Kawa kama mnywa damu, bora hata ya Farao
Watu wamekosa hamu, maswali kila...
Kumekuwa na kukithiri kwa tatizo la ushoga ktk jamii yetu licha ya viongozi wa dini na serikali kufanya jitihada za kukemea matendo hayo,lakini kila uchwao ktk mitandao na ktk jamii vijana mashoga(sio ridhki )wamekuwa wakiongezeka tena kwa kujitangaza na kujivunia ushoga wao.
Nafikiri wakati...
KUPOTEZEA
1.Kupotezea ni neno, rahisi kulitamka
Lakini lina vinono, kulikoni kuwa taka
Linavunja mvutano, huziba palotoboka
Kama una jambo baya, potezea litapita
2. Kama una jambo baya, potezea litapita
Watakuona ni boya, badae hutajajuta
Potezea bila haya, mbele yako utapeta
Kama una jambo...
SWALI JUU YA MABADILIKO YA WAJAWAZITO
1. Leo nakuja na swali, msione la kitoto
Linahusika na mwili, wamama wajawazito
Ni swali gumu ukweli, linaleta tumbo Joto
Hivi nini kinajili, kipindi cha huu wito
2. Hivi nini kinajili, kipindi cha huu wito
Mabadiliko ya hali, awapo ndani mtoto
Usipokuwa...
SHAIRI
JANGA LA KUBETI
1. Kipo kilio cha wazi, kingine kimefichika
Mfano kuchunwa buzi, huwezi wazi kuweka
Kwetu kama fumanizi, kilio kimetufika
Kubeti nalo ni janga, limeteka watu wengi
2. Kubeti nalo ni janga, limeteka watu wengi
Watu waishiwa mwanga, kama walao milungi
Mwovu katupiga...
Ua langu limechumwa- bila mimi kujua..
Moyo wangu unauma- natamani kujiua..
Amekosa huruma- ua langu kunyakua..
Hivi nan kamtuma- leo hii naugua....
Ua lilinawairi- kila mtu alidata..
Haikua tena siri- ua lilitakata..
Uzuri wake wamwili- vigogo walimtaka.
Utamu wake samsuri- watu wakamteka...
Mapenzi ya leo pesa..usikubali kudanganywa,
Usipo kua na pesa..mapenzi yatakuchanganya,
Yaani bila hata kupepesa..mke utanyang'anywa.
Kama bado huna pesa, hebu anza kupambana,
Tena acha kujichosha, kutafuta vimwana,
Tafuta iyo pesa, uepuke kutukanwa,
Ukishafanikisha, utakula walo nona...
Ndugu zangu kuna Msukuma anakijua vizuri zaidi basi please:
Umo wing'we anambeleje kutafsiri Lugano lwenulu na mambo gose du.
Tusaidiane tafadhali wasukuma. Nitumie tafsiri yake kupitia 0734189022 tafadhali
The DEDE legend: Sukuma tradition
""Lugano lwa DEDE, lwa kabili:
Dede 1 Kimala...
Mlikubali wenyewe, bila mtutu kichwani,
Mkaazimu nipewe, kwa udi na kwa ubani,
Akasaini mwenyewe, kwa agizo la fulani,
Kama hamtaki ndoa, rudisheni pesa zangu.
Aliyeleta mzozo, ni mtoto mtukutu,
Akavujisha uozo, ukafika hadi Mbutu,
Wakatilia mkazo, wananzengo wenye utu,
Kama hamtaki ndoa...
1. Naanza ona mikasa, yawezaleta balaa,
Viongozi wengi tasa, kwa hoja zisizo zaa,
Hasa kwa Wana siasa, wao ni kama tabia,
Wajifanya ni matasa, wafanyacho wakijua.
2. Ni kutafuta majanga, kuvunja mzinga nyuki hi,
Mambo tunayoyalenga, mbele yataleta chuki,
Badala sisi kujenga, wengi twatafuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.