shairi

A shairi (Georgian: შაირი, pronounced [ʃairi]), also known as Rustavelian quatrain, is a monorhymed quatrain used by Shota Rustaveli in The Knight in the Panther's Skin.
It consists of four 16-syllable lines, with a caesura between syllables eight and nine. While there are stanzas with as many as five syllables rhyming, generally shairi uses either feminine or dactylic rhyme. It is worth noticing that despite the feminine and dactylic forms of rhyme, Georgian shairi’s stress is very weak due to the nature of the Georgian language, which is characterized by dynamic and very weak stress placed on antepenultimate syllable in words longer than two syllables and on penultimate in two-syllable words.

View More On Wikipedia.org
  1. Ricky Blair

    Shairi

    Inarudi tena Mkono unateleza polepole Wa muda na amri zake Muda si muda unafika Unakaa mahali pake Kivuli chake usoni pangu Kinatia shinikizo katika siku yangu Maisha haya yanateleza mikononi mwangu Siku hizi hazijatokea kama nilivyopanga Inarudi tena Mkono unateleza...
  2. M

    Shairi la kuwaaga Lissu, Heche na Lema CHADEMA

    Walikuwa mashujaa, sauti za upinzani, Heche, Lissu, na Lema, majina ya matumaini, Walilia haki, wakapigania usawa, Leo wameondoka, mioyo imejaa maswali na uchungu wa ndani. Ni uchaguzi wa ndani, si vita vya umoja, Lakini kilichobaki ni majeraha ya mioyo, Je, ni hasira ya kushindwa au dhoruba ya...
  3. M

    Shairi: Mbowe Endelea Kuongoza

    Kwa miaka ishirini na moja, umetutumikia, Katika dhoruba na mawimbi, haukutetereka, CHADEMA umekijenga, ukakifanya ngome, Freeman Mbowe, bado tunahitaji huduma zako. Busara zako ni taa, zinazoongoza njia, Uadilifu wako ni chemchemi ya tumaini, Kwa haki na usawa, umetufunza kupigania, Mbowe...
  4. Dr leader

    Shairi: Mko wapi mpendao?

    MKO WAPI MPENDAO ? 1. Hayapo tena mahaba Ja alivyosema Kiba kila mahali msiba Mko wapi mpendao ? 2. Wasasa ni vibweka Amani ni heka heka Si mbwa ila wabweka Mko wapi mpendao ? 3. Kupendwa ni lengo lao Kupenda si hoja yao Starehe maisha kwao Mko wapi mpendao ? 4. Tokezeni mpendao Hadi kwenye...
  5. M

    Shairi la kumuaga Lissu CHADEMA

    KWAHERI KWA HERI NDUGU LISSU Lissu, mwana wa siasa mashuhuri kweli, Aliyejaa uthubutu, mwepesi wa maneno, Kwa haki ulisimama, sauti ya wanyonge, Leo tunakuaga, moyo mzito na huzuni. CHADEMA ulikuja, ngome ya matumaini, Ukachonga njia kwa hoja na maono, Lakini upepo wa kisiasa haukusema...
  6. robbyr

    Shairi la UCHI

    Uchi Mwili Naomba uniache mimi, Bado nazangu nyingi hamu, Maneno atoa ulimi, Angalau uone yangu elimu, Nafsi Nisikilize wangu mwili, Ni yangu zamu, nafsi, Kusitiri wangu uchi, Nikuepushe na nyingi zohali, Ni adhama kusimama kusi, Angali u mbichi, Lisiwe juto ni jukuu...
  7. Venus Star

    CCM kumchangia mil. 5.320,000/= Tundu Lissu ni dhahiri shairi kuwa CCM inaziishi 4R za Rais Samia Suluhu Hassan kwa vitendo

    Kalamu ya: Leah D. Mbeke Kutoka: CCM Makao Makuu Neno falsafa ni neno la Kigiriki, ambapo mwanafalsafa ni mpenzi au mfuasi (philia) wa hekima (sophia). Mtu anayefanya kazi katika uwanja wa falsafa anaitwa Mwanafalsafa. Mwanafalsafa ni aina ya mtu wa fikra na mtafiti. Rais Samia Suluhu Hassan...
  8. M

    SHAIRI: Mpendwa ujitafute

    SHAIRI MPENDWA UJITAFUTE 1.Ninapolileta somo, cha kwanza nawasabahi Mi Mzee wa makamo, sikiliza nawasihi Naufungua mdomo, naamini nimewahi Mpendwa ujitafute, kwa sasa hupatikani 2.Yule tulomfahamu, tofauti na wa leo Kawa kama mnywa damu, bora hata ya Farao Watu wamekosa hamu, maswali kila...
  9. F

    Shairi la wafanyakazi kabla ya Mei Mosi 2024

    EWE KIKOKOTOO NI NANI? 1:Nauliza Mimi ,Ebu nipeni majibu, Kikotoo kinajaliwa,Hakipati Majibu, Ewe Kikokotoo ni nani? 2:Watu wanakufa, Wanapooza, Hutaki kujibu,huna Huruma, Ewe Kikokotoo ni nani?. 3: Kikokotoo umekuwa Sugu, hujadiliki,Hutaki suluhu, Ewe Kikokotoo ni nani? 3:Ajira imekuwa...
  10. Waziri wa madini

    Ongezeko la mashoga ni laana kwa taifa au athari ya utandawazi?

    Kumekuwa na kukithiri kwa tatizo la ushoga ktk jamii yetu licha ya viongozi wa dini na serikali kufanya jitihada za kukemea matendo hayo,lakini kila uchwao ktk mitandao na ktk jamii vijana mashoga(sio ridhki )wamekuwa wakiongezeka tena kwa kujitangaza na kujivunia ushoga wao. Nafikiri wakati...
  11. M

    SHAIRI: Ukithamini urembo mambo yatakwenda kombo

    SHAIRI..UKITHAMINI UREMBO MAMBO YATAKWENDA KOMBO 1.Maisha yetu ni fumbo jaribu kufanya jambo. Unapozeeka umbo, kumbuka kuacha nembo Dunia hii ulimbo, usije kufanywa chambo. Ukithamini urembo,Mambo yataenda kombo. 2.Ukithamini urembo, mambo yataenda kombo Tutakuimbia nyimbo, umeimaliza mbombo...
  12. M

    SHAIRI

    KUPOTEZEA 1.Kupotezea ni neno, rahisi kulitamka Lakini lina vinono, kulikoni kuwa taka Linavunja mvutano, huziba palotoboka Kama una jambo baya, potezea litapita 2. Kama una jambo baya, potezea litapita Watakuona ni boya, badae hutajajuta Potezea bila haya, mbele yako utapeta Kama una jambo...
  13. M

    Shairi: Swali juu ya mabadiliko ya wajawazito

    SWALI JUU YA MABADILIKO YA WAJAWAZITO 1. Leo nakuja na swali, msione la kitoto Linahusika na mwili, wamama wajawazito Ni swali gumu ukweli, linaleta tumbo Joto Hivi nini kinajili, kipindi cha huu wito 2. Hivi nini kinajili, kipindi cha huu wito Mabadiliko ya hali, awapo ndani mtoto Usipokuwa...
  14. M

    SHAIRI: Janga la kubeti

    SHAIRI JANGA LA KUBETI 1. Kipo kilio cha wazi, kingine kimefichika Mfano kuchunwa buzi, huwezi wazi kuweka Kwetu kama fumanizi, kilio kimetufika Kubeti nalo ni janga, limeteka watu wengi 2. Kubeti nalo ni janga, limeteka watu wengi Watu waishiwa mwanga, kama walao milungi Mwovu katupiga...
  15. DR Mambo Jambo

    Shairi: Swala la Umeme na Bunge wahenga wanasema "Mwerevu akivuliwa Nguo hasimami Huchutama"

    Mwerevu akivuliwa Nguo hasimami Huchutama"(Mmetupunguza Ubongo,Mnatuchuza Hadharani) Achutama zivukapo, mwerevu zake 'zo Nguo, Kuinama aketipo, soniye ndio chaguo, Tena hata aitwapo, huitika kwa rudio, Mmetupunguza Bongo, mwatuchuza Hadharani. Mwatuchuza Hadharani, mmetupunguza Bongo, Wengine...
  16. nentewene

    Tungo: Ua langu jamani...

    Ua langu limechumwa- bila mimi kujua.. Moyo wangu unauma- natamani kujiua.. Amekosa huruma- ua langu kunyakua.. Hivi nan kamtuma- leo hii naugua.... Ua lilinawairi- kila mtu alidata.. Haikua tena siri- ua lilitakata.. Uzuri wake wamwili- vigogo walimtaka. Utamu wake samsuri- watu wakamteka...
  17. nentewene

    Tungo: Mapenzi ni Pesa

    Mapenzi ya leo pesa..usikubali kudanganywa, Usipo kua na pesa..mapenzi yatakuchanganya, Yaani bila hata kupepesa..mke utanyang'anywa. Kama bado huna pesa, hebu anza kupambana, Tena acha kujichosha, kutafuta vimwana, Tafuta iyo pesa, uepuke kutukanwa, Ukishafanikisha, utakula walo nona...
  18. Uhakika Bro

    Msaada: Tafsiri ya shairi zuri kutoka katika lugha ya kisukuma kuwa kiswahili

    Ndugu zangu kuna Msukuma anakijua vizuri zaidi basi please: Umo wing'we anambeleje kutafsiri Lugano lwenulu na mambo gose du. Tusaidiane tafadhali wasukuma. Nitumie tafsiri yake kupitia 0734189022 tafadhali The DEDE legend: Sukuma tradition ""Lugano lwa DEDE, lwa kabili: Dede 1 Kimala...
  19. Boss la DP World

    Shairi: Kama hamtaki ndoa, Rudisheni Pesa Zangu

    Mlikubali wenyewe, bila mtutu kichwani, Mkaazimu nipewe, kwa udi na kwa ubani, Akasaini mwenyewe, kwa agizo la fulani, Kama hamtaki ndoa, rudisheni pesa zangu. Aliyeleta mzozo, ni mtoto mtukutu, Akavujisha uozo, ukafika hadi Mbutu, Wakatilia mkazo, wananzengo wenye utu, Kama hamtaki ndoa...
  20. M

    Shairi: Usiwaze ya pekee, waza na ya wengineo

    1. Naanza ona mikasa, yawezaleta balaa, Viongozi wengi tasa, kwa hoja zisizo zaa, Hasa kwa Wana siasa, wao ni kama tabia, Wajifanya ni matasa, wafanyacho wakijua. 2. Ni kutafuta majanga, kuvunja mzinga nyuki hi, Mambo tunayoyalenga, mbele yataleta chuki, Badala sisi kujenga, wengi twatafuta...
Back
Top Bottom