watoto (wanafunzi) wanaendelea na story zao za hapa na pale huku wanasimuliana jinsi siku ilivyokuwa nzuri shuleni.
watoto hao wanaagana na kila mmoja anaenda nyumbani kwake, Huyu mmoja anakaribia kwake na anamkuta baba ake akiwa ana furaha sana.
baba anamuita mtoto wake na kumuambia jinsi...
UTAWALA BORA KWA MANUFAA YA NCHI YETU
Imeandikwa na: MwlRCT
UTANGULIZI
Utawala bora ni msingi muhimu katika kukuza maendeleo ya nchi yoyote ile. Ni mchakato wa kuongoza na kusimamia rasilimali za umma kwa njia ya uwazi, uwajibikaji, uadilifu, usawa na haki. Utawala bora huwezesha kujenga imani...
Paukwa tena pakawa, mtaani taharuki
Bibi kanyoa kipara, na nywele tena hasuki
Chaajabu kina chawa, kichwani hawabanduki
Bibi kanyoa kipara, mtaani taharuki
Mtaani wauliza, hiki kipara chanini
Mana wengi chawaliza, madukani na saluni
Ma tena chaleta giza, biashara taabani
Bibi kanyoa kipara...
Mtunzi wa Shairi- Anna Meleiya Mbise (annambise2015@gmail.com)
Jina la Shairi – Mwarubaini wa Haki
Mwarubaini wa Haki
1. Amani tunda la haki, kukua lataka wote,
Wenye viti nazo dhiki, pamoja tunda liote,
Na lenyewe si kisiki, halipendi hali tete,
Lashamiri lanawiri, penye uongozi makini...
Kama mahaba mzigo, nitwike usinituwe,
Lau ni pande la gogo, liache silipasuwe,
Kama mahaba kipigo, niradhi kinisumbue,
Nipe japo kidogo, mwenzio nijilimbuwe
Aawali ya yote ninapenda kuwashukuru kwa kubahatika kunusa uzi huu. Ifuatayo ni Tafakuri fupi ya uchambuzi Inayotokana na shairi la Tausi lililo ghaniwa na Mpoto akiwa na Mbosso.
Tausi wewe
Tausi wetu
Karibu Tausi uipambe nyumba yetu
Awali Mshairi ana mkaribisha Tausi, hivyo Tausi ni Mgeni...
Mgeni siku ya kwanza
mpe mchele na panza;
mtilie kifuani,
mkaribishe mgeni.
Mgeni siku ya pili
mpe ziwa na samli;
mahaba yakizidia,
mzidishie mgeni.
Mgeni siku ya tatu
jumbani hamuna kitu.
mna zibaba zitatu,
pika ule na mgeni.
Mgeni siku ya nne
mpe jembe akalime.
akirudi muagane,
aende kwao...
Some say nothing gold can last forever,
And 2 believe this need no proof,
I have witnessed all that was pure in me,
And be changed by the evil men can do ,
The innocence possessed by children ,
Once lived inside my soul ,
But surviving years with criminal peers,
Has turned my warm heart to...
Nianzie kwa salamu, hali zenu kutambua,
Maana ninayo hamu, histori simulia,
Nimifikia hatamu, masomo kumalizia,
Ninachoweza kusema, sasa nimepata kazi.
Jina langu Bilalama, Kitumba ndio mzizi,
Ninatokea Kigoma, ndani ndani kichiizi.
Mtanzania salama, kilimo kwetu jahazi.
Ninachoweza kusema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.