shairi

A shairi (Georgian: შაირი, pronounced [ʃairi]), also known as Rustavelian quatrain, is a monorhymed quatrain used by Shota Rustaveli in The Knight in the Panther's Skin.
It consists of four 16-syllable lines, with a caesura between syllables eight and nine. While there are stanzas with as many as five syllables rhyming, generally shairi uses either feminine or dactylic rhyme. It is worth noticing that despite the feminine and dactylic forms of rhyme, Georgian shairi’s stress is very weak due to the nature of the Georgian language, which is characterized by dynamic and very weak stress placed on antepenultimate syllable in words longer than two syllables and on penultimate in two-syllable words.

View More On Wikipedia.org
  1. Urban Edmund

    Ombi la mtoto kwa baba yake mzazi (SHAIRI)

    watoto (wanafunzi) wanaendelea na story zao za hapa na pale huku wanasimuliana jinsi siku ilivyokuwa nzuri shuleni. watoto hao wanaagana na kila mmoja anaenda nyumbani kwake, Huyu mmoja anakaribia kwake na anamkuta baba ake akiwa ana furaha sana. baba anamuita mtoto wake na kumuambia jinsi...
  2. Mwl.RCT

    SoC03 Shairi | Utawala bora kwa manufaa ya nchi yetu

    UTAWALA BORA KWA MANUFAA YA NCHI YETU Imeandikwa na: MwlRCT UTANGULIZI Utawala bora ni msingi muhimu katika kukuza maendeleo ya nchi yoyote ile. Ni mchakato wa kuongoza na kusimamia rasilimali za umma kwa njia ya uwazi, uwajibikaji, uadilifu, usawa na haki. Utawala bora huwezesha kujenga imani...
  3. sanalii

    Shairi: Bibi kanyoa kipara

    Paukwa tena pakawa, mtaani taharuki Bibi kanyoa kipara, na nywele tena hasuki Chaajabu kina chawa, kichwani hawabanduki Bibi kanyoa kipara, mtaani taharuki Mtaani wauliza, hiki kipara chanini Mana wengi chawaliza, madukani na saluni Ma tena chaleta giza, biashara taabani Bibi kanyoa kipara...
  4. Anna Meleiya Mbise

    SoC02 Shairi la Mwarubaini wa Haki

    Mtunzi wa Shairi- Anna Meleiya Mbise (annambise2015@gmail.com) Jina la Shairi – Mwarubaini wa Haki Mwarubaini wa Haki 1. Amani tunda la haki, kukua lataka wote, Wenye viti nazo dhiki, pamoja tunda liote, Na lenyewe si kisiki, halipendi hali tete, Lashamiri lanawiri, penye uongozi makini...
  5. mtwa mkulu

    Shairi kwa miss Demi

    Kama mahaba mzigo, nitwike usinituwe, Lau ni pande la gogo, liache silipasuwe, Kama mahaba kipigo, niradhi kinisumbue, Nipe japo kidogo, mwenzio nijilimbuwe
  6. init

    Uchambuzi wa Shairi la Tausi kama ilivyo ghaniwa na Mbosso na Mrisho Mpoto

    Aawali ya yote ninapenda kuwashukuru kwa kubahatika kunusa uzi huu. Ifuatayo ni Tafakuri fupi ya uchambuzi Inayotokana na shairi la Tausi lililo ghaniwa na Mpoto akiwa na Mbosso. Tausi wewe Tausi wetu Karibu Tausi uipambe nyumba yetu Awali Mshairi ana mkaribisha Tausi, hivyo Tausi ni Mgeni...
  7. Logikos

    Mgeni Siku ya Kwanza (Ni wapi Chimbuko la hili Shairi la Kale)

    Mgeni siku ya kwanza mpe mchele na panza; mtilie kifuani, mkaribishe mgeni. Mgeni siku ya pili mpe ziwa na samli; mahaba yakizidia, mzidishie mgeni. Mgeni siku ya tatu jumbani hamuna kitu. mna zibaba zitatu, pika ule na mgeni. Mgeni siku ya nne mpe jembe akalime. akirudi muagane, aende kwao...
  8. Kraftwerk

    Usipite bila kusoma hili shairi

    FACT!
  9. love life live life

    Share your best poem(s)/ Share shairi lako bora.

    Some say nothing gold can last forever, And 2 believe this need no proof, I have witnessed all that was pure in me, And be changed by the evil men can do , The innocence possessed by children , Once lived inside my soul , But surviving years with criminal peers, Has turned my warm heart to...
  10. Kitumba_

    Shairi: Nimepata Kazi

    Nianzie kwa salamu, hali zenu kutambua, Maana ninayo hamu, histori simulia, Nimifikia hatamu, masomo kumalizia, Ninachoweza kusema, sasa nimepata kazi. Jina langu Bilalama, Kitumba ndio mzizi, Ninatokea Kigoma, ndani ndani kichiizi. Mtanzania salama, kilimo kwetu jahazi. Ninachoweza kusema...
  11. R

    SoC01 Shairi: Amkeni Mwokoe Nyakati

    1. Nawaandikia ninyi vijana, kwa maana mna nguvu, Yalinenwa na Nabii Yohana, akijua mtafuzu, Lakini kumbe hamjafana, fursa mwachezea ka’ fuvu, Tena ujana mwautafuna, paso kuwekeza nguvu, Amkeni mwokoe nyakati, kwani zakimibia ka’ mshale. 2. Eti mshikaji sina ishu, nimeamua kula gudi...
Back
Top Bottom