SHAKA HAMDU SHAKA: TANZANIA HAIKO KWENYE MAPAMBANO YA DEMOKRASIA.
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi.
Na Mwandishi Wetu, Dar Es Salaam.
Chama Cha Mapinduzi(CCM) kimesema Tanzania hakuna mapambano ya demokrasia kwani mageuzi na mabadiliko toka mfumo wa chama kimoja na...
Nukuu za Katibu wa itikadi na Uenezi CCM wakati akizungumza leo katika Uzinduzi wa Chanjo ya Uviko 19 Ikulu Jijini Dar Es Salaam.
"Tunamshukuru Mwenyezi Mungu kwa hatua hii muhimu ndani ya Taifa letu. CCM inampongeza Mwenyekiti na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu...
SHAKA: KAULI ZA MBATIA ZIMEKUSUDIA KUWACHOCHEA WANANCHI NA KUWAGOMBANISHA NA SERIKALI.
NDUGU: SHAKA HAMDU SHAKA; MNEC & KATIBU WA ITIKADI NA UENEZI WA CCM
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema matamshi ya Mwenyekiti wa NCCR-MAGEUZI James Francis Mbatia aliyedai Rais Samia Saluhu Hassan kuwapa...
Na Mwandishi Wetu,
Busokelo-Rungwe
*Ataka sheria zisimamiwe kuzikomesha
Atoa Maelekezo mazito kwa DC wa Rungwe.
*Alaani watendaji kuvunja sheria za nchi kwa maslahi yao
Chama cha Mapinduzi kimesikitishwa na ongezeko la matatizo ya ujauzito na utoro yaliokithiri kwa wanafunzi wa shule za...
"Kuna watu wanasema eti Dkt. Hussein Mwinyi ameshinda kwa wizi, wanasahau kuwa CCM ni Chama kikubwa, kina mipango, uratibu unaeleweka, atambue msemaji wa hayo amehifadhiwa na kusitiriwa na Serikali ya CCM na sivinginevyo"
"Haiwezekani unahoji leo ushindi wa CCM ukiwa sehemu ya serikali...
Na Mwandishi Wetu,
Mikocheni-Dar es Salaam.
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa itikadi na Uenezi Ndg. Shaka Hamdu Shaka usiku wa tarehe 01/07/2021 ameungana na watanzania wengi ambao ni wana michezo katika hafla fupi ya uzinduzi wa mashindano ya mpira wa miguu maarufu kama NDONDO CUP hatua ya...
Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC) ya CCM Taifa - Itikadi na Uenezi Ndg. Shaka Hamdu Shaka atazungumza na vyombo vya habari siku ya leo tarehe 22/06/2021 katika ofisi za Makao Makuu ya Chama cha Mapinduzi jijini Dodoma.
Ikumbukwe kwamba mchana wa leo Kamati Kuu Ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha...
Namna katibu wa NEC itikadi na uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka kijana wa Mwambao wa Bahari ya Hindi pale Zanzibar anavyofanya uongozi wake imenirudisha mwezi July mwaka 356k.k. katika Mwambao wa Caspian wenye urefu wa km 2,815 nchini Persia (Iran ya leo) alipozaliwa mtoto Alexander.
Kama jinsi...
CCM yasema haina agenda ya katiba mpya kwa wakati huu, kipaumbele chake ni kujenga nchi.
- Wanasiasa waache kuitumia agenda hiyo kama turufu ya kuwahadaa wananchi.
"CCM haina agenda ya katiba mpya kwa wakati huu badala yake kipaumbele zaidi kimewekwa katika kujenga nchi kwa ukamilishaji wa...
Na Mwandishi Wetu,
Kutoka Tanga.
-Wataka Rais Samia Asishinikizwe kukutana nao
Mwandishi wetu Tanga.
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesisitiza kitaendelea kutoa mwelekeo wa siasa na uongozi wa nchi kwa vile ndicho kinachounda na kuongoza serikali, hivyo viongozi wa Chama na serikali katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.