shauri

Magdalena Crispin Shauri (born 25 February 1996) is a Tanzanian long distance runner. She competed in the women's marathon at the 2017 World Championships in Athletics. In 2019, she competed in the senior women's race at the 2019 IAAF World Cross Country Championships. She finished in 49th place.

View More On Wikipedia.org
  1. Komeo Lachuma

    Nimewapa ushauri shemeji na dada wasipofuata shauri yao wenyewe, mimi nimejivua

    Jana wamerudi wamelewa. Na dada anamfokea shemeji kama mtoto. Nikajiwa na busara kuwa hapa nisipokuwa makini tunaweza siku moja fukuzwa shemeji akichoka kiburi cha sister. Basi nikamtuma hausigel awaite. Baada ya saa moja wakaja.(walinikwaza sana yaani saa moja kutoka tu room kuja sebuleni)...
  2. Shujaa Mwendazake

    Urusi yafungua shauri UN kuhusu maabara za Silaha za Kibaiolojia huko Ukrainia

    Urusi imelitaka baraka la usalama la umoja wa mataifa kutumia “article VI” kuunda tume ya kuchunguza uwepo wa maabara za Silaha za kibaiolojia nchini Ukrainia zinazofadhiliwa na Marekani. Moscow urges UN probe into Ukrainian biolabs Russia has filed an official complaint over US-backed...
  3. balimar

    Tunasubiria shauri lililopelekwa mahakamani kuhusu Michango ya Harusi

    Kwakuwa shauri lipo mahakamani ni vizuri tusubiri maamuzi ya mahakama. Lakini michango ya Harusi ni mingi kuliko hata Tozo tunazozipigia kelele kila uchao. Na hili nalo mkaliangalie. Na kesi ya msingi wakati inasikilizwa ni vizuri kusitisha michango ya harusi kwanza tupate muongozo wa...
  4. The Sheriff

    Mdee na Wenzake wawasili mahakamani kwa ajili ya usikilizwaji wa shauri lao

    Wabunge wa viti maalum akiwemo Halima Mdee na wenzake leo Ijumaa wamefika katika Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam kuhudhuria kesi waliyoifungua mahakamani hapo ya kupinga kuvuliwa uanachama wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Mdee na wenzake wamevuliwa uanachama wa...
  5. N

    Tetesi nzito za kutisha: Kambole out, Manzoki in, Barbara shauri zako

    Dada msomi, dada mzungu ,msouth america, mlatino , m colombia, miss gonzalez, masihara yakizidi hutumbua usaha, the chickens are coming home to roost Hizi tetesi kama ni kweli narudia tena kama ni kweli aisee utakuwa kwenye wakati mgumu sana , yaani hadi nakuonea huruma kwa kweli najaribu...
  6. Lady Whistledown

    Anayedai kuwa mtoto wa Mwai Kibaki afungua Shauri Mahakamani

    Jacob Ochola, (62) anayedai kuwa Mtoto wa kwanza wa Rais Mwai Kibaki, amefungua shauri la kutaka kutambuliwa na familia ya Hayati huyo kama mwanafamilia na mrithi wa sehemu ya ardhi inayoripotiwa kuwa na thamani ya Mabilioni ya Shilingi Katika shauri hilo Ochola anaitaka Mahakama kuwashurutisha...
  7. Lady Whistledown

    Mfalme Zumaridi aonesha kutokuwa na imani na Hakimu anayeendesha shauri lake

    Wakili wa Diana Bundala, Steven Kitale amewasilisha leo ombi la kumkataa Hakimu Monica Ndyekobora na kudai kuwa, mteja wake hana imani na Hakimu huyo wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mwanza Katika kesi hiyo yenye namba 10/2022, Mfalme Zumaridi na wenzake 8 wanakabiliwa na shtaka la...
  8. chiembe

    Ushauri: Mdee na wenzake wafungue shauri waombe Mahakama Kuu izuie jaribio la kuwafuta Ubunge

    Hawa waliteuliwa kwa vikao halali, kwa barua ya CHADEMA, na wakaapishwa, waende Mahakamani kesho kwa hati ya dharura!
  9. A Father

    Mbowe kuhudhuria shauri lake Mahakama Kuu

    Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam imekubali ombi la Mawakili wa Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe la kumruhusu Mbowe kuhudhuria shauri lake la Kikatiba alilolifungua dhidi ya Mkurugenzi Mkuu wa Mashtaka (DPP), Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG)...
  10. FRANCIS DA DON

    Video: Anayehusika na hii barabara ya Shaurimoyo (Al-haramain), ana akili sawasawa kweli kichwani?

    Hii hali ipo mwaka wa 5 huu, sasa utasema huyo mtu ana akili zilizotimia kichwani kwake, huu si ujinga huu kabisa?! Na hapa ni katikati ya jiji kabisa
  11. Nyankurungu2020

    Ndugai acha kuwaona watanzania ni wajinga. Kama Hayati Magufuli alipotoshwa, wewe kama Spika kwanini haukumshauri?

    Tunapoenda tunaelekea pabaya sana. Na hii ni dalili mbaya sana ya kuwepo kwa viongozi wanafiki na wasiofaa katika jamii yetu. Rais wa JMT ni sehemu ya bunge, bunge la JMT lina mamlaka ya kuisimamia Serikali na kuhoji pale serikali inapofanya ndivyo sivyo, hili lipo wazi kabisa kwa mujibu wa...
Back
Top Bottom