shida

Hikaru Shida (志田 光, Shida Hikaru, born June 11, 1988) is a Japanese professional wrestler, martial artist, actress, and model, currently signed to All Elite Wrestling (AEW), where she is a former and the longest-reigning AEW Women's World Champion. On February 25, 2021, she became the longest reigning overall champion in AEW history, breaking the previous record of 277 days set by former AEW World Champion Jon Moxley.She also works for the Makai company, and makes appearances for the Oz Academy and Pro Wrestling Wave promotions.
She started her professional wrestling career in 2008, when she joined the Ice Ribbon promotion, after taking part in a film titled Three Count, set in the world of professional wrestling. She remained with the promotion until 2014, becoming a one-time ICE×60 Champion and four-time International Ribbon Tag Team Champion. Outside of Ice Ribbon, Shida has held the Wave Single Championship, the Oz Academy Tag Team Championship and the Sendai Girls World Tag Team Championship.

View More On Wikipedia.org
  1. Dr Matola PhD

    Rais Samia, kuna matapeli wanakudanganya na kukuficha juu ya ukweli halisi wa shida za Watanzania Afrika Kusini

    Mama najuwa unaingia JF, wewe ni muungwana sana kwenye ziara yako South Africa umewaita viongozi wa TACOP kupitia balozi Milanzi kwa niaba ya Watanzania wote wanaoishi Afrika Kusini. Lakini cha kusikitisha viongozi hawa waliowakilisha badala ya kuja kuwakilisha wamegeuka machawa hata suti zao...
  2. Hold on

    Umaarufu unawapeleka watu kwenye shida

    sisalimii leo Huyu kijana anajulika sana mwazo watu hawakuwa wanamuelewa sasa baada ya kumaliza chuo pale UDSM ndipo akapata mpenyo wa kujulikana mwazoni watu walikuwa hawamuelewei kabisa Lakini baada ya kuwa maarufu fursa zikawa zinakuja kwa wingi sana ndipo akapata nafasi ya kuwa...
  3. LA7

    Je tatizo hili ni facebook yangu?

    Yaani huko juu namba chochote wala sehemu ya kusearch au kuona ujumbe hakuna.
  4. LA7

    Nimepata rafiki wa kizungu nianze na shida gani kumweleza anisaidie

    Nimepata rafiki wa kizungu nianze na shida gani kumweleza
  5. K

    Urafiki wa Joseph Mbilinyi (Sugu) na Rais Samia unampa shida Dkt. Tulia

    Sugu na Mama ni marafiki bila kujali siasa. Hakuna kitu wala mtu yeyote anaweza kubadilisha hilo maana ndiyo ubinadamu kuna wakati watu wanakuwa marafiki bila kujali siasa. Uhusiano wa Dkt. Tulia na Rais ni wa kisiasa tu na ni vigumu kuona hata Mama akicheka akiwa na Tulia. Hii inamuogopesha...
  6. OLS

    Watoto wa shule wanapata shida sana, kuwe na maazimio ya kitaifa

    Baada ya kusikia watoto waliofariki kwa kuzama mtoni, nikakumbuka takwimu zinazoonesha idadi ya watoto wanaovuka maji kufika shule, idadi ya watoto wanaovuka maeneo yenye wanyama hatarishi kufika shule. Serikali inajua kuhusu hilo, kwa kuwa takwimu hizi nazitoa kwao. Basi nikaingia niangalie...
  7. Mayombya Jr

    Ukweli kuhusu sakata la Viongozi wa Ikunguigazi Wilaya ya Mbogwe Mkoani Geita

    Habarini wadau wana jf, poleni sana na majukumu mazito ya ujenzi wa Taifa. Kuna uzi humu jamvini inayohusu viongozi wa kata ya Ikunguigazi, Wilaya ya Mbogwe, Mkoani Geita. Kusema ukweli mleta mada alikuwa sahihi kwa asilimia mia moja, kuna uozo na uchafu mwingi ndani ya ofisi ya mtendaji wa...
  8. B

    Wanasimba tuwe watulivu viongozi hawana shida

    Kwangu mimi nitakuwa wa mwisho kuwalalamikia viongozi, wale wanaolalamikia viongozi naona kama wanataka simba irudi kule kusafiri kwenda Mwanza kwa bus. Yes kuna wachezaj wamesajiliwa Simba hawajaclick sometimes kusajili ni kama kubet tu. Kama timu inalala pazuri, inasafiri kwa ndege mishahara...
  9. M

    Uhamiaji, NIDA Kinondoni ni shida

    Kuna mtu ameenda NIDA kupata kitambulisho akiwa na cheti cha darasa la saba akaambiwa lazima awe na cheti cha kuzaliwa kwa kuwa yeye amezaliwa miaka ya tisini. Baada ya kupata cheti cha kuzaliwa akawa na viambatanisho vitatu; Cheti cha kuzaliwa, cheti cha darasa la saba na leseni ya udereva...
  10. Infinite_Kiumeni

    Ukizingatia haya hautapata shida kuongea na mwanamke

    Usipate shida kuhusu uongee nini na mwanamke, sababu wanawake wanajali unavowafanya wajisikie ukiwa nao zaidi ya maneno unayoongea. Kadri unavyojiamini ndivyo mwanamke anakuamini pia. Hivyo cha muhimu kufanyia kazi ni kuboresha hali yako ya ujasiri wa kiume na kuzingatia haya wakati unaongea na...
  11. McCollum

    Je, kuna shida yoyote kutumia outdated OS ya simu?

    Nawasilisha, simu yangu inanidai kui"update" ila nimeona nipotezee kwakuwa nitakutana na vikwazo vya matangazo ya lazima ambayo yatatokana na launcher na Apps zingine ambazo zitahusishwa kwenye process ya ku"update". Ninachoulizia ni kwamba kuna side effect yoyote unapotumia OS ya aimu ambayo...
  12. the Villag Story

    Shida ni Mama Mkwe

    MWANDISHI: INNOCENT Tulianza mapenzi yetu tangu tukiwa secondary na hatukuishia hapo penzi letu lilifanikiwa kufika mpaka chuo kikuu pale mzumbe tawi la mkoa wa Mbeya mungu mwema na hatimae tukaoana. Lakini kama ningevizingatia vijitabia flani vidogo vidogo alivonionesha mume wangu Terry enzi...
  13. Mganguzi

    Wadada wanapenda kuuliza ATI kazi Gani unafanya? Wanamtaka mwanaume atakaetatua shida zake! Mtuonee huruma tuna watoto na wazazi!

    Hawa viumbe wamenishinda tabia kabisa! Eti kazi Gani unafanya? Inakuhusu Nini? Taarifa zangu za kazi anazijua mke wangu na watoto wangu labda na wazazi !!wewe husna wa tabata na ashura wa tandale ambae tumekutana bar unataka kazi yangu Yanini? Embu tupumzisheni! Na maswali yenu ya kipuuzi...
  14. KishkwambiX

    Kwanini programming code ni shida?

    Tanzania nchi yetu hakika programming imekuwa shida haswa kwa vyuo vyetu shida ni nn? Walimu wabobezi hatuna au watanzania wagumu kufikiri?
  15. Bujibuji Simba Nyamaume

    Hii ni shida wanayoipata Wanawake matajiri

    Achana na hawa wadada ana ka IST na duka la nguo Kinondoni anajiona tajiri. Tajiri anaishi nyumba ya kupanga chumba na sebule na jiko, anajiona kayapatiiiiiiia. Ninaongelea wale wenye mega projects, mega investments. Kwa kweli wanaishi maisha ya upweke sana. Jana nilialikwa na rafiki yangu kwa...
  16. Tajiri wa kusini

    Nimebadilika sitaki shida na mtu, namrudia Muumba wangu. Maisha ya dunia na drama zake yamenishinda

    Sitaki shida na mtu uongo, uongo na kuwanyasasa na kuwasema eti kisa Nina vijisenti naachana nao kuanzia leo naona maisha yangu ya hapa duniani yanaelekea ukingoni so hii ni time ya kumrudia muumba wangu wa mbingu wa na ardhi kwasasa nitakuwa mtu wa kuignore vitu na watu wa hovyo. Maisha ya...
  17. S

    Masauni, Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni, wananchi wako wanahangaika na shida ya maji

    Mheshimiwa najua una majukumu mengi ya kitaifa kwa vile wewe ni Waziri, lakini angalau ungezungumza na muwakilishi Mheshimiwa Jazira, mkalipatia ufumbuzi tatizo hili. Majimbo ya Zanzibar ni madogo mno kulinganisha na bara, yaani huku jimbo unaweza kutembea kwa miguu nusu saa tu ukawa...
  18. Last Seen

    Ma-MC mnatusababishia shida sana kwenye familia zetu, Tabia hii ni mbaya mno

    Habari za Asubuhi wana-Jukwaa. Kabla ya yote nawapongeza ma-Mc kwa juhudi zao wakipambania chakula kiende kinywani... Nimesikitishwa sana baada ya kuonekana kwenye video fupi iliyopostiwa na MC fulani bila idhini yangu, tulikuwa tunacheza na watu wengine tuliokutana ukumbini... SIJAPENDEZWA...
  19. Pang Fung Mi

    Mapepo ya Harusi: Hivi inakuwaje wasiotuthamini wanatupa thamani wakiwa na shida ya kuoa au kuolewa?

    Wasalaam JF Niende kwenye mada straight, hivi inakuwaje katika jamii, sehemu za kazi, ujirani, au ndugu, mtu ambae haoni thamani yako anatambua uwepo wako nyakati zake za kuolewa au kuoa hasa michakato ya kuchangia pesa za harusi? Kuna uhusiano gani kati ya harusi na kuwatafuta watu ambao huwa...
  20. DRIVE

    Nina shida na mkopo, dhamana ipo

    ..
Back
Top Bottom