shirika la ndege la tanzania

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Ni jambo ka kushukuru Mungu ndege zilizonunuliwa kipindi cha Hayati Magufuli hazijawahi kupata ajali

    Haters wa utawala wa hayati Nagufuli wakiongozwa na mimi hatuamini kuwa mpaka leo zile bombadier hakuna iliyopata ajali. Manunuzi yake yakionekana kujaa mihemko,tulitarajia misiba ila Mungu ni mwema
  2. J

    Sugu ataka ATCL nayo ibinafsishwe Dubai kwani imeshindwa kutoa Huduma

    Mbunge wa Zamani wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu Baada ya kukaa zaidi ya saa 6 pale JNIA akisubiri Ndege ameitaka Serikali iwape Waarabu na ATCL. Bilionea Sugu amelalamika kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii. =====
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…