Shōō (勝央町, Shōō-chō) is a town located in Katsuta District, Okayama Prefecture, Japan.
In April 2017, the town had an estimated population of 11,237 and a density of 210 per square kilometre (540/sq mi). The total area is 54.09 square kilometres (20.88 sq mi).
Shōō is said to be the place where Kintarō died.
Taarifa zinazosambaa mitandaoni kupitia Mwananchi digital zikionyesha baadhi ya wachungaji kumlaumu Mkuu wa Kanisa kushauri kiti cha uaskofu kurudi Tukuyu.
1. Enyi wachungaji mnajua maana ya KITI CHA UASKOFU?
2. Mnajua hicho kiti kilisimikwa wapi?
3. Mnaijua Katiba yenu?
4. Mnajua na kuelewa...
Mambo mengine ni kushangaza sana inakuwaje Kanisa lenye waumini wengi kujiendesha kama klabu ya pombe hukuna maelewano ni vurugu, tamaa ya mali hakuna uungu hapo.
Siku chache baada ya Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, (KKKT), Dk Fredrick Shoo kuagiza kiti cha Askofu Dk...
Askofu Shoo wa Moshi Kilimanjaro ambapo pia ni askofu wa Kanisa la Lutheran,ambalo linamilik Hospitali kubwa kabisa hapa nchini ya kisasa na yenye mandhari nzuri zaidi KCMC amesema Rais Samia ameletwa ili atibu majeraha, swali:-
1. Majeraha tuliyo nayo ni yapi?
2. Majeraha yalianza lini?
3...
Homilia ya Baba Askofu Shoo wakati wa maziko ya Mama Mkwe wake na Mbowe imenistua - Baba Askofu Shoo amepata wapi nguvu za kuituhumu serikali kuwa inamuonea Mbowe ili hali kesi yake iko mahakamani?
Mkurugenzi wa Kampuni ya Fresho Investment Company (1999) Ltd ya Mjini Shinyanga Fredy Shoo maarufu Fresho amefariki dunia siku ya Jumatano Julai 28,2021 wakati akiendelea kupata matibabu jijini Dar es salaam.
Mwekezaji Mzawa Fredy Shoo ndiye mmiliki wa kiwanda cha kuchambulia pamba , kiwanda...
Wakati wakina Lema na Chadema wakishinda mitandaoni kusaini petition kadhaa wakitaka Diamond afungiwe, Profesa Jay yeye anapiga show na vijana waCCM (Nandy, Diamond , Weusi nk). Wasanii ambao kwa mujibu wa Chadema ni moja ya watu waliotumika kuingiza mamlakani utwala dharimu wa CCM.
Wakati...
Mbunge wa Korogwe Vijijini Timotheo Mzava anatarajiwa kufunga ndoa na Binti wa Mbunge wa Arumeru Mashariki Dr. Jonh Pallangyo. Ndoa hii inalalamikiwa na mtu anayetambulika kwa jina la Anna na wachungaji huko Arusha na Tanga wanafahamu upo mgogoro. Mgogoro huu nimeusoma kwenye gazeti kwamba Mzava...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.