shoo

Shōō (勝央町, Shōō-chō) is a town located in Katsuta District, Okayama Prefecture, Japan.
In April 2017, the town had an estimated population of 11,237 and a density of 210 per square kilometre (540/sq mi). The total area is 54.09 square kilometres (20.88 sq mi).
Shōō is said to be the place where Kintarō died.

View More On Wikipedia.org
  1. T

    KKKT Konde msimushambulie Mkuu wa Kanisa Dkt. Shoo

    Taarifa zinazosambaa mitandaoni kupitia Mwananchi digital zikionyesha baadhi ya wachungaji kumlaumu Mkuu wa Kanisa kushauri kiti cha uaskofu kurudi Tukuyu. 1. Enyi wachungaji mnajua maana ya KITI CHA UASKOFU? 2. Mnajua hicho kiti kilisimikwa wapi? 3. Mnaijua Katiba yenu? 4. Mnajua na kuelewa...
  2. Kurunzi

    AIBU: Wachungaji KKKT wampinga Dk Shoo

    Mambo mengine ni kushangaza sana inakuwaje Kanisa lenye waumini wengi kujiendesha kama klabu ya pombe hukuna maelewano ni vurugu, tamaa ya mali hakuna uungu hapo. Siku chache baada ya Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, (KKKT), Dk Fredrick Shoo kuagiza kiti cha Askofu Dk...
  3. Kamanda Asiyechoka

    Live: Newcastle Utd vs Totteham hotspurs. Achana na shoo za kitoto.

    Kwa nini uangalie mechi ya kishamba kama ya Jwaneng? Mtananange ndio huu sasa.
  4. Jaji Mfawidhi

    Askofu Shoo: Rais Samia ameletwa ili atibu majeraha

    Askofu Shoo wa Moshi Kilimanjaro ambapo pia ni askofu wa Kanisa la Lutheran,ambalo linamilik Hospitali kubwa kabisa hapa nchini ya kisasa na yenye mandhari nzuri zaidi KCMC amesema Rais Samia ameletwa ili atibu majeraha, swali:- 1. Majeraha tuliyo nayo ni yapi? 2. Majeraha yalianza lini? 3...
  5. comte

    Askofu Shoo, samahani unapata wapi nguvu za kuihukumu Serikali kuwa imemuonea Mbowe?

    Homilia ya Baba Askofu Shoo wakati wa maziko ya Mama Mkwe wake na Mbowe imenistua - Baba Askofu Shoo amepata wapi nguvu za kuituhumu serikali kuwa inamuonea Mbowe ili hali kesi yake iko mahakamani?
  6. Tusker Bariiiidi

    TANZIA Fredrick Shoo (FRESHO) Mmiliki wa Kampuni Tanzu za FRESHO INVESTMENT LIMITED Afariki

    Mkurugenzi wa Kampuni ya Fresho Investment Company (1999) Ltd ya Mjini Shinyanga Fredy Shoo maarufu Fresho amefariki dunia siku ya Jumatano Julai 28,2021 wakati akiendelea kupata matibabu jijini Dar es salaam. Mwekezaji Mzawa Fredy Shoo ndiye mmiliki wa kiwanda cha kuchambulia pamba , kiwanda...
  7. MSAGA SUMU

    Naona kuna kila dalili ya Prof Jay kutimkia CCM

    Wakati wakina Lema na Chadema wakishinda mitandaoni kusaini petition kadhaa wakitaka Diamond afungiwe, Profesa Jay yeye anapiga show na vijana waCCM (Nandy, Diamond , Weusi nk). Wasanii ambao kwa mujibu wa Chadema ni moja ya watu waliotumika kuingiza mamlakani utwala dharimu wa CCM. Wakati...
  8. K

    Askofu Shoo, Wabunge Timotheo Mzava wa Korogwe na Dkt. Pallangyo wa Arumeru wanalichafua kanisa au wanachafuliwa?

    Mbunge wa Korogwe Vijijini Timotheo Mzava anatarajiwa kufunga ndoa na Binti wa Mbunge wa Arumeru Mashariki Dr. Jonh Pallangyo. Ndoa hii inalalamikiwa na mtu anayetambulika kwa jina la Anna na wachungaji huko Arusha na Tanga wanafahamu upo mgogoro. Mgogoro huu nimeusoma kwenye gazeti kwamba Mzava...
  9. Money Penny

    Aslay kuwa na shoo ya watu 100 Sababu ni nini?

    Aslay jamani, show yake haikujaa tatizo ni nini sasa ni promo au? mbona ray c hakuja ku-perform?
Back
Top Bottom