Shooting is the act or process of discharging a projectile from a ranged weapon (such as a gun, slingshot, crossbow, or bow). Even the acts of launching/discharging artillery, darts, grenades, rockets and guided missiles can be considered acts of shooting. When using a firearm, the act of shooting is often called firing as it involves initiating a combustion process (deflagration).
Shooting can take place in a shooting range or in the field, in shooting sports, hunting or in combat. The person involved in the shooting activity is called a shooter. A skilled, accurate shooter is a marksman or sharpshooter, and a person's level of shooting proficiency is referred to as their marksmanship.
As multiple rounds of gunfire erupted near Florida State University’s student union minutes before noon on Thursday, students ran away from the campus trying to get to safety as the sound of emergency sirens grew louder.
Just two minutes after 911 calls reported the shooting, the suspect was...
Mgombea urais kupitia chama cha republican katika uchaguzi ujao nchini Marekani na Rais wa zamani Donald Trump ameshambuliwa kwa risasi kadhaa akiwa katika mkutano mjini Butler Pennsylvania Leo.
Walinzi wake wamezunguka na kumuinua baada ya kuanguka chini huku akionekana kuvuja damu upande wa...
Hunting Resin Slingshot Shooting Slingshot Using Flat Rubber Band Shooting Toys
Features:
1. Ergonomic design of the handle, comfortable to hold
2. Laser sight, horizontal sight dual sight, make shooting more precise
3. Anti-slip texture of the handle
Product Name: 98K Slingshot
Function...
A med school lecturer in Bangladesh has been suspended from his job, two days after he allegedly shot and injured a student during an exam.
Raihan sharif was arrested after the incident, but was only suspended two days later following a protest by students at the medical College.
According to...
Huyu mshambuliaji wa Simba kidogo kidogo anapotea kwenye game kama ndugu zake Makambo, Kisinda, Miquisone, Moses Phiri, etc
Hii timu ya Ulaya inataka kumsajil akafanye nini kama hapa anashindwa?
Kocha mkuu wa club kubwa Tanzania(Simba SC) ndugu Robertinho, amesema kikosi kiko tayari kuikabili Ruvu Shooting ya Pwani. Akizungumza na Raia Mwema amesema wanatarajia kushinda kwa idadi kubwa ya mabao kwani mpira una maajabu hivyo yeye hajakata tamaa ya kutwaa ubingwa.
Polisi Tanzania na Ruvu Shooting wanakabiliwa na changamoto kubwa ya kuokoa nafasi zao katika Ligi Kuu Bara.
Kila timu imebakiza mechi nne kabla ya msimu kumalizika na zinaonekana kutegemea miujiza kutoka kwa wapinzani wao ili kuepuka kushuka daraja.
Pengo la pointi baina yao na timu zilizo...
Huu wimbo wake wa 'future wife' ni mzuri sana kiukweli mzuri haswaa; mashairi na video vyote viko poa.
Ambacho sielewi ni kuonyeshwa kwa picha za wabunge wale 19 ambao nyie, kule katika jukwaa lenu linalochukiza la siasa, mnawaita 'covid-19' mkufikiria kwamba eti Kuwaiti hivyo labda wataachia...
Mshambuliaji anayeshika nafasi ya pili kwa ubora kwa sasa barani Afrika nyuma ya Peter Shalulile, the greatest Fiston Mayele ambaye takwimu zinaonyesha ni mshambuliaji hatari kuwahi kutokea katika ligi ya Tanzania alikumbana na mauzauza ya ajabu huko kigoma
Mayele kama ilivyo kwa team nzima ya...
Majibu yangu......
Endapo Simba SC itamfunga Ruvu Shooting FC Siku ya Jumapili tofauti ya Alama ( gap ) na Yanga SC itakuwa ni Alama ( Points ) Kumi ( 10 )
Endapo katika hizi Tano kati ya Saba Yanga SC ilizozibakisha atakazocheza na Prisons, Mbeya City, Coastal Union, Mtibwa Sugar na Biashara...
Kwangu Mimi Yanga SC iliyocheza Juzi na Ruvu Shooting FC ndiyo Yanga SC halisi na ule ndiyo Mpira wake.
Nasikia Tajiri wa Ghorofani Posta Mpya aliomba Juzi Wasihonge ili kuona itakuwaje na baada ya kuponea Tundu la Sindano nasikia Utamaduni wetu utaendelea kuanzia Mechi na Prisons FC pamoja na...
Nakushauri tu Mwalimu Masau Bwire ( Msemaji wa Ruvu Shooting FC ) uwe unanyamaza tu kwani Tambo zako huwa haziendani na Ufanisi wa Timu yako Uwanjani pale ikikutana na Yanga SC au Simba SC sanasana huwa unaishia tu Kufungwa idadi Kubwa ya Magoli.
Tumekuchoka na Unatuboa sana Kaka!!
Habari!
Haya ni maoni yangu baada ya kufanya uchambuzi mfupi.
Huyu jamaa Haji Manara huenda nyota ya mafanikio iko mikononi mwake au kuna siri muhimu juu ya mpira wa miguu Tanzania anazijua ndizo zinazompa nguvu ya ushindi.
Imagine Yanga tuliburizwa na Simba sports miaka kadhaa tukiachwa na...
Mchezo umemalizika, Chama anakabidhiwa mpira kwa kufunga hat trick.
Full Time
Zinaongezwa dakika 3 za nyongeza
Dk 90: Simba wanapiga pasi na kuumiliki mchezo.
Dk 87: Mchezo umepungua kasi, Ruvu ni kama wamekata tamaa.
Dk 82: Kocha wa Ruvu, Charles Mkwasa anaonekana kuwa katika masikitiko.
Dk...
1. Wachezaji wa Simba SC kwa sasa 95% ya Akili zao zipo katika Mchezo wa Shirikisho utakaochezwa Jumapili huko nchini Niger dhidi ya FC Gendamarie.
2. Wachezaji wa Ruvu Shooting FC ambao 85% yao ni Wanajeshi wanajua kuwa Wachezaji wa Simba SC huwa ni Waoga na hawapendi Kugongana hivyo watakuja...
85% ya Maisha yake akitokea Kwake Mbweni kuja Mjini huku Kushinda muda Wote utamkuta amekaa na Watu tena Matajiri wa Timu ambayo leo anacheza nao Saa 12 na Robo Jioni pale Temeke Mkapa Stadium.