Shooting is the act or process of discharging a projectile from a ranged weapon (such as a gun, slingshot, crossbow, or bow). Even the acts of launching/discharging artillery, darts, grenades, rockets and guided missiles can be considered acts of shooting. When using a firearm, the act of shooting is often called firing as it involves initiating a combustion process (deflagration).
Shooting can take place in a shooting range or in the field, in shooting sports, hunting or in combat. The person involved in the shooting activity is called a shooter. A skilled, accurate shooter is a marksman or sharpshooter, and a person's level of shooting proficiency is referred to as their marksmanship.
Ripoti za awali zinasema angalau watu nane wameuawa baada ya Mtu mwenye silaha kufyatua risasi katika Chuo kilichopo Mji wa Perm.
Baadhi ya Wanafunzi na Walimu walionekana kujificha, huku wengine wakiruka madirishani. Bado haipo wazi watu wangapi wamejeruhiwa. Polisi wanasema Mshambuliaji ni...
PRIMARY MENU
Kenya on course to host shooting Championship
by Maxwell WasikeJuly 5, 2021
SHARE
Kenya has continued with its preparations to host the upcoming Africa shooting championships in September after being given a clean bill of health to proceed with the same by International Defensive...
Kongole kwa wachezaji wetu,
Mechi hii imetuonesha KUIMARIKA kwa kikosi chetu kila muda unavyozidi kwenda.
Baada ya mpira kuisha ,ilionekana baadhi yetu mashabiki wa kilabu chetu pendwa tukimzomea KIPA wetu Metacha B.Mnata kutokana na kukasirishwa na magoli aliyofungwa.
Je Metacha Mnata...
Wakuu ningependa kumfahamu admin wa Page za Ruvu Shooting mtandaoni.
Huyu amekuwa na uandishi wa aina yake kabisa tofauti na wa timu zingine kwani amekuwa akiandika kwa uandishi wa kuchekesha hata kama wamefingwa.
Pia ni admin pekee aliyetumia page ya Twitter ya Ruvu shooting kuzitakia timu za...
The NBA and its players and coaches have taken myriad measures to make clear their support for the Black Lives Matter movement while standing against all racial injustice and police brutality, but in the wake of an unarmed Black man named Jacob Blake being shot seven times in the back in...
Mabingwa watetezi ligi kuu bara, wekundu wa msimba(simba) leo majira ya saa kumi jioni.
Watakipiga na majirani zao kutoka mkoani pwani Ruvu shooting fc hakika utakuwa ni mchezo mkali na wakusisimua.
Kwa watakao kwenda uwanjani viingilio ni kama ifuatavyo:
1.MZUNGUKO elfu 5000
2.VIP B elfu...
21 youth were on Wednesday evening arrested in Nakuru after they were found shooting raunchy videos. They included 8 boys and 13 girls.
The youths, drawn from high schools and universities are members of the same WhatsApp group...
Mwanajeshi mmoja nchini Thailand amewashambulia kwa kuwafyatulia risasi watu kadhaa na kuua idadi "kubwa" ya watu.
Tukio hilo limetokea katika mji wa Nakhon Ratchasima pia ukijulikana kama Korat kaskazini mashariki mwa jiji la Bangkok.
Msemaji wa wizara ya ulinzi nchini humo amesema kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.