A talk show (or chat show in British English) is a television programming or radio programming genre structured around the act of spontaneous conversation. A talk show is distinguished from other television programs by certain common attributes. In a talk show, one person (or group of people or guests) discusses various topics put forth by a talk show host. This discussion can be in the form of an interview or a simple conversation about important social, political or religious issues and events. The personality of the host shapes the tone of the show, which also defines the "trademark" of the show. A common feature or unwritten rule of talk shows is to be based on "fresh talk", which is talk that is spontaneous or has the appearance of spontaneity.The history of the talk show spans back from the 1950s to the present.Talk shows can also have several different subgenres, which all have unique material and can air at different times of the day via different avenues.
Ulichukua hatua gani?
Nini kilifanyika hata ukaona, kwamba hiyo show ni mbovu na hujwahi kukutana nayo tangu uyajue mapenzi?
Muafaka ulikuaje sasa baada ya show hiyo mbovu na ya kiwango cha chini sana ya kimapenzi?
nani alikua kikwazo na mzigo kwenye show hiyo mbovu kati yenu? :NoGodNo...
Mambo vp wakuu,
Kutokana na nyuzi nyingi nazosoma humu ndugu zangu wengi wanapitia mazito kwenye mahusiano yao, swala la kukaa ndani nyumba moja bila kusemeshana, au mwanamke kuchepuka au kususiwa unyumba imekua too much.. inasikitisha sana.
Kwa kweli hali za mahusiano ni mbaya sana, sio...
Hizi ni picha za mtandaoni.. Hivyo si lazima uagize nje kwa gharama kubwa ama uingie dukani
Ukipata vipimo sahihi kulingana na ukubwa wako na ukawapata mafundi mahiri basi unaweza kupendezesha sebule yako kea gharama nafuu sana
Unapopenda show off kuonyesha ndinga kali mitandaoni hakikisha kwenye mfumo wa mamlaka ndinga Yako haina vipengele yaani physical na rekodi Zinafanana other wise unawapa watu kazi za kufanya na wanachukia mnavyojificha kwenye kivuli cha chawa wa mama.
More Focus ni kwa wale mnaofanya import...
Kipindi nimemaliza kidato cha 6 nilikuwa nasimamia lodge ya ndugu yangu kipindi nasubiri kwenda chuo, sasa leo natoa siri kwa wanaume, ukienda lodge na demu wako kuanzia leo, hakikisha unaondoka naye.
Iko hivi, kuna watu wanapiga show kizembe halafu akimaliza anavaa fasta anaondoka anaacha...
Hii series nasema ndiyo best kabisa imeigiza maisha watu wanavyokimbizana na hatima zao Kwa tamaa ya pesa
Ila kinachoniumiza kichwa hii series Kila mtu ALIESHIRIKI amechezewa mchezo 😁hata UKIITAZAMA TU umechezewa mchezo pia
Ukimuhadisia mtu ndiyo kabisa utaona tu unahadisia ujinga kila tukio...
Hii habari nimekuwa nikiisikia tu, ila juzi kati imenitokea live bila chenga 😆 😆 😆 😆 😆 😆.
Mnara ulikua kama upo ndani ya maji wazee, ile piss ikabidi tu inipe pole. na kuondoka zake
Nilijisikia vibaya sana mazee.
Nimeangalia Churchill Show iliyoandaliwa na mkuu wa mkoa wa Arusha, itoshe kusema comedy ya Tanzania ni mbovu sana, maudhui ni duni mno, unaona wazi watu wanatumia nguvu kubwa sana kucheka na kufurahia.
Ambacho waswahili wanapaswa kufahamu ni kwamba chanzo na kushamiri kwa tasnia ya comedy...
Nadhani kuanzia saa tatu usiku hadi saa nane usiku(nafikiria), katika channel ya clouds TV, crown na sinema zetu umekuwa na kipindi cha stand up comedy kinachoitwa Churchill show. Kipindi kina endelea live kwenye ukumbi wa AICC AREANA ARUSHA, hosted by RC Paul Makonda.
Aisee hiki kipindi...
Tanzania narudia kusema Movement za kiuanaharakati hatuziwezi na tunazania mtu mmoja anaweza fanya kwamba kuna mtu anaweza andamana kwa niaba yetu au anaweza paza sauti na sisi tukakaa kutazama jioni kwenye taatofa za habari.
Wakenya wana spirt ya asili ya kupambana na sio kutegemea wakina...
In a world where hunger kills more people each year than malaria, tuberculosis and AIDS combined, Elon Musk's bold proposition in October 2021 sparked an unusual yet critical conversation.
The tech billionaire, known for electrifying industries and aiming for Mars, turned his attention back to...
Msanii maarufu wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz afichua kuwa alilipwa dola 150k sawa na TSh. Miloni 374 (373,554,903) kutumbuiza nchini Kenya katika show iliyovurugika mwisho wa wiki.
Taarifa hii imekuja wakati akijibu madai kwamba alihusika katika kumzuia msanii wa Kenya, Willy Paul, kupanda...
Msanii Nasib Abdul, also known as Diamond Platinumz ameondoka uwanjani kwenye tamasha la Furaha Festival bila kutumbuiza baada ya kutokuwa na maelewano kati ya uongozi wake na waandaaji wa Tamasha hilo.
==============================================
Diamond Platinumz yesterday he refused to...
USA ili week kumenoga. Las Vegas kuna Formula 1 wakati LA kuna biggest car show, LA Auto Show.
Ni show ya magari inayofanyia LA USA kila mwaka, tunaona magari mapya, concept na tech mbalimbali.
Tayari Hyundai Ioniq 9 tumeshaizindua na ndio moja ya gari nilioipenda katika show.
Wenye...
Ni China na Auto show tena, hii inaitwa Guangzhou International Motor Show inayofanyika Guangzhou China kila mwaka, mwezi wa 11 au wa 12.
Makampuni mbalimbali ya magari kutoka China na nje ya China yataonyesha magari yao mapya, updates na technology katika sekta ya magari.
Huu mwaka kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.