A talk show (or chat show in British English) is a television programming or radio programming genre structured around the act of spontaneous conversation. A talk show is distinguished from other television programs by certain common attributes. In a talk show, one person (or group of people or guests) discusses various topics put forth by a talk show host. This discussion can be in the form of an interview or a simple conversation about important social, political or religious issues and events. The personality of the host shapes the tone of the show, which also defines the "trademark" of the show. A common feature or unwritten rule of talk shows is to be based on "fresh talk", which is talk that is spontaneous or has the appearance of spontaneity.The history of the talk show spans back from the 1950s to the present.Talk shows can also have several different subgenres, which all have unique material and can air at different times of the day via different avenues.
Na Nukuu "I am very happy and proud of (Yanga style of play). If you remember at the beginning I said for me football is a show game, we play for the fans, not only Wananchi but for all the people who love football. Yanga is a team to watch even if you are not a Yanga fan"..~GAMONDI
Kwa...
Aisee
Hii series nimekua recommended na moja ya jamaa yangu
Nimemaliza kuangalia pantheon S02 itoshe kusema ukiachana na mr robot hii animation series kutoka studios za amazon prime ni kali
Kiufupi hii series inaongelea UIs (Uploaded Intelligence) na CIs hii ni mbali zaidi ya AI...
Wanazngua cat kwanza wanaogopa wanaume na wanawapenda wanawake me nikimtaka namshika manyoya ya shingo picha zake hizo hapo.sometimes namnywesha pombe mtoto wa nyau analewa
Je, unaweza kutambua baadhi ya nembo za timu hizi zilizoshiriki Kombe la Mapinduzi?
Umeweza kutambua timu ngapi kutoka kwenye nembo hizo?
Tupia “comment”tuone mshindi ni nani.
Linapokuja suala la vipindi vya kusisimua vya televisheni, ni series chache tu zilizowahi kuacha athari kubwa kama series ya Breaking Bad. Series iliyobuniwa na director Vince Gilligan, hii ni hadithi ya uhalifu iliyoanza kuonekana kwenye skrini zetu mwaka wa 2008, na haraka ikawa ni ya kipekee...
We all know someone who seems to have it all together, don’t we? But sometimes, looks can be deceiving.
I had a close friend who seemed perfectly fine on the surface but was secretly struggling.
Luckily, I caught on to some subtle signs and reached out just in time to help.
It made me realize...
Kama una moyo mwepesi huwezi kuangalia show yao mpaka mwisho, kama kuna talent za kutisha basi hii talent ya hawa vijana ni ni ya kutisha mno.
Wanaenda kuweka historia Duniani, kama Dunia haitaendekeza ubaguzi Basi Hawa jamaa hawana mpinzani kote duniani, Serikali iangalie upya namna ya...
Habari zenu.
Mara kwa mara wamekuwa wakigombana ila kwa klichotokea sasa ni dhahiri tunaenda kushuhudia vita vya dunia vya 3,na nauliza je Tanzania tutachangamana na mataifa gani??au tutabaki kwenye ile sera yetu kuwa hatuchangamani na taifa lolote!.
Basi ikiwa ndo hivyo tunaenda kupata...
Kuna jambo la ubunifu wa hali ya juu unafanyika katika matamasha ya wasafi 2023 lichavya kuonekana wasanii wakiongozwa na diamond platnumz kama wanatumia mamilioni ya pesa ila kuna kitu kipta kinazaliwa kwenye sanaa ya mziki wa Tanzania.
Hakika ubunifu wao umewagusa watu mbalimbali africa na...
Dah nmeona video ikimuonyesha Rich Mavoko namna alivyoishiwa mpaka anapiga show za kimaskini
Kuna wanaosema atakuwa anapata pesa Sababu alipofanya show sjui ni mgodini
Lakini Kama kuna pesa wasanii wenzake siwangeenda Pia
Dah inauma sana ,bora wajitokeze watu wamsaidie
TABLE TURNS...
Kiroboto sihitaji andika sana, hebu kaa na wadau mjini usisubirie upepo wa sugu na lile tamasha lake kaa na wadau itisha tamasha HESHIMA YA JUMA NATURE siku moja tu usiku mmoja tu.
Hiyo siku tuje turuke goma zako
Tupakue ugali
Tumuimbie radhia
Tulianzishe kigheto gheto
Tumtulize mtoto iddy...
Kwa kawaida charity show yeyote ni kukusanya hela kwa ajili ya kutoa msaada either wasiojiweza, watoto yatima, elimu au matumizi yeyote ya bure kwa jamii flani.
Hivi TFF wanatimiza hili lengo? Au ndio mgeni njoo mwenyeji apone?
Twendeni taratibu lakini.
Unajua vijana hamjitumi kijana una degree unaomba kazi ya hovyo. Ningekusaidia ila ujanifata PM (mtu anaesaidia hana manyanyaso)....ndio maneno yao kila siku na kwa kila mtu.
Guys Ili ni jukwaa la kazi yani waomba kazi na watoa kazi wanakutana. Kwa nini utoe maneno ya kejeli kwa mwenzio. Ajira...
Kwa wale tulio bahatika kutembea tembea duniani tunajua wanaija wapo wengi sana kila mahali..
Jijini New York, kitongozi cha "the bronx" ni kama Lagos ndogo, wanaija wamejaa kibao..
hata ukisikia sauti za back ground wanao sing along na Burna Boy kwenye hiyo show yake unasikia lafudhi za...
Shirikisho la Watumiji Huduma la Kenya (COFEK) limetangaza kuchukua uamuzi baada ya kupokea malalamiko ya mashabiki walioonesha kutoridhishwa na kiwango cha tamasha hilo linalotajwa kukumbwa na hali ya mvua pamoja na sauti mbovu ya muziki.
Baadhi ya Mashabiki wametaka kuombwa radhi na waandaaji...
Habari ya leo ndugu waTanzania na wote msomao mada hii. Hope you are good with your life.
Leo napenda niwape ushuhuda wa maisha yangu jinsi fridge lilivyo badilisha maisha yangu na kuongeza ufanisi wangu wa kupiga show kunako majambo.
Mimi nimepanga geto, sina mke, ila katika kuhakikisha...
Habari ya wakati huu mashabiki wa Azam na Yanga, ninyi wengine mtapewa salamu zenu na Prince Dube Mfalme wa Bulawayo
Leo nataka niongee na wanaume, kama kawaida beberu wenu J nakuja na mada ya jinsi ya kuwasaidia wanaume kuongeza nguvu za kiume, zifuatazo ni hatua hizo tano zitakazo kusaidia...
Juzi kati nilianza kufwatilia hii show, inanoga kuicheki ila concept yake mna dhani kweli watu wanaishia kuoana baada ya kukutana hapo? au wanaigiza tu?
Kuna upendo hata?
Baada ya pilika za siku, tunapoa baa tukichoma maini tuliyopewa bure, meza inawatu hawa
1.Mwenye baa
2.Wafanyakazi wake
3.Wateja
4.Wapumzikaji (Wapita njia)
Njoo tusemezane wenye akili
Je ni haki kula kwa mkono kushoto kitimoto?
Mbona kwenye guidelines hapo kakataza?
Hayo si maamuzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.