Nadhani kuanzia saa tatu usiku hadi saa nane usiku(nafikiria), katika channel ya clouds TV, crown na sinema zetu umekuwa na kipindi cha stand up comedy kinachoitwa Churchill show. Kipindi kina endelea live kwenye ukumbi wa AICC AREANA ARUSHA, hosted by RC Paul Makonda.
Aisee hiki kipindi...