The Kenya national rugby sevens team competes in the World Rugby Sevens Series, Rugby World Cup Sevens and the Commonwealth Games. They are currently one of the 15 "core teams" of the World Series, with a guaranteed place in all 10 events each season. Kenya recorded its first tournament win in the World Rugby Sevens Series after beating Fiji at the 2016 Singapore Sevens.
Kenya has also been successful in the Rugby World Cup Sevens, reaching the semifinals in 2009 and again in 2013.The Kenya Sevens team is sometimes referred to by the Kenyan and international press as Shujaa, a Swahili word meaning courage, confidence, bravery, or heroism. The Kenya national rugby sevens team is one of the more successful sporting teams representing Kenya. They have won the men's Team of the Year category six times at the Kenyan Sports Personality of the Year Awards: 2004, 2007, 2008, 2009, 2013, and 2016.
Nilikuwa napita Twitter nilichokutana nacho mpaka ninechoka kabisa. Zawadi ya shilingi milioni moja inachukuliwa kuwa ni mzaha wa karne hii. Soma mwenyewe:
Source:
Salama wandugu,
Mimi nimefikiria kuhusu hii Tanzania nabaki nasikitika tu,niannze na watu walionusurika najua huko mliko mnafanya ibada za kushukuru, na wengine mnakata keki.Nawaomba kwa uwingi wenu changeni pesa ya kupata nyumba au boti la uvuvi mpeni huyu kijana aliyewaokoa he unajisikiaje...
Kama kuna watu wanamdaganya eti ooh wewe ni kioo cha jamii mara pasta
Huo ni uboya. Mtu yeyote anayejielewa hawezi kukubali upuuzi uliofanywa na Monica.
Kuendelea kuishi naye ni kujitakia maumivu ya moyo maisha yake yote.
Let it go. Waafrica tudanganyana Sana eti ndoa za maisha, Bill gate...
Enzi za Shujaa Magufuli kila jambo alisukumiziwa yeye lakini yeye alikaa kimya tu akiendelea kuchapa Kazi.
Aliwahi kusema Neno moja tu " Nimejitoa sadaka kwa ajili yenu"
Mungu wa mbinguni amrehemu Maguful!
Iko hivi, nina mshkaji wangu peace sana tunaelewana mtu wa kazi kazi.
Nayeye ana mshkaji wake sasa ilitokea wakagombana kisa mikopo maana mwana alienda kopa na mwana ndio alimdhamini. Sasa kwenye marejesho mwana kala chocho, hivyo msala ikabidi mshkaji ausolve ukaisha. Ghafla mwamba huyu hapa...
Jina lake anaitwa Jonathan, mtu mashuhuru ambaye kila jina lake likitajwa vichwani mwa kijiji cha Umoja kilichopo katika nchi ya Kusadikika hubaki na fikra zilizotukuka juu ya mtu huyu. Mambo makubwa aliyo yafanya katika kijiji chake ili hali tu akiwa bado ni Kijana mdogo tu katika...
Chifu mangungo hakuwa mjinga, watanzania tulipotoshwa, tunapaswa kuiomba familia yake msamaha
Kwa miaka mingi sana chifu mangungo ameendelea kuonekana kama mfano wa kiongozi mjinga hasa pale linapotokea swala la mikataba. Lakini je Mangungo alikuwa mjinga kweli?
Chifu mangungo ni nani...
Akiwa katika maadhimisho ya Siku ya Mashujaa, Rc Kafulila ameifananisha kasi ya maendeleo inayopigwa na Rais Samia inafanana kabisa na ile ya mashujaa wetu,
" Kumbukumbu ya Mashujaa inatukumbusha historia yetu,
inatukumbusha historia ya wazee wetu na mchango wao wa damu kumkabili mkoloni...
Hivi Mtanzania aliyetumiwa na Mzungu kupigana Vita Kuu ya Wazungu/Dunia anaitwa shujaa kwa lipi haswa? Ni shujaa kwa nani? Alimpigania nani vita hadi tumuite shujaa? Miaka hiyo Tanzania ilikuwa ni Koloni na walioenda vitani walikwenda kupigania na kutetea English Empire, sasa huo ushujaa...
Habari zenu wana JF wenzangu, ama baada ya salam ningependa sasa nijielekeze kwenye mada husika.
Kwa wale mliofatilia kipindi cha mashujaa wetu huko Dodoma, bila shaka mmemuona mzee huyu mwenye umri wa miaka 102, akiwa anadunda kwa ukakamavu wa hali ya juu tena kwa kujiamini.
Mzee huyu...
Wakati wa masika miaka 10 iliopita, mwanaume mmoja mwenye miaka 41 kwa jina la Julian Assange akiwa amevalia mavazi ya wafanyakazi wa kusafirisha vifurushi kwa pikipiki, huku akiwa nywele zake kazipaka rangi, kapachika lenzi za kubadili rangi ya mboni za macho, na kuweka kipande cha jiwe kwenye...
Welcome back hero. Uliipigania nchi yako, ulisimama kizalendo kudeal na wauza madawa ya kulevya, waiba magari ya watanzania na kuyapeleka kwa jirani, wahujumu uchumi na wakwepa kodi. Uliipigania nchi yako ili mapato ya serikali yako yaongezeke Taifa lako litekeleze miradi yake kwa fedha za...
Kitendo alichokifanya Masoud Kipanya ni cha kishujaa na kinastahili kupewa pongezi.
Tunahitaji vijana wengi kuiga alichokifanya kipanya katika bidhaa mbalimbali zinazozalishwa huko ulimwenguni, wabuni kwa brand zao na kutengeneza.
Labda nimshauri Kipanya kuwa gari lake asiliweke makumbusho...
Ufisida ni janga la taifa letu na ni viongozi wachache ambao hujitoa kupinga ufisadi kwa moyo wa dhati.
Lyatonga Mrema alipinga ufisadi kwa maisha yake yote akiwa mtumishi wa umma mpaka sasa akiwa mzee.
Nakumbuka kupewa stori na wazee wa Wanaomfahamu Mrema kupambana na walanguzi na maadui wa...
Na Bwanku M Bwanku.
Jana Jumatano Februari 23, 2022 kwenye Gazeti la TANZANIA LEO Ukurasa wa 6 nimechambua hatua ya Jarida kubwa la Marekani la Inside the Nation kumtaja Rais Samia kama Rais aliyefanikiwa kuifungua nchi zaidi Kidiplomasia na Kiuchumi na kufanikiwa kuokoa fedha nyingi sana...
Nimesikia visigizio kwamba Ruvu walikuwa wanaomboleza ndio maana wameshindwa kuhimili vishindo vya Simba aliyejeruhiwa.
Tumtakie Mwedazake pumziko la Amani, ila niwatake Ruvu wakubali tu walizidiwa na ubora wa Simba kwani walihitaji ushindi wa kumsindikiza Shujaa/Mpiganaji wao.
Mkubali tu...
Tilly Smith akiwa na umri wa miaka 10, kwenye mapumziko katika Ufukwe wa Maikhao nchini Thailand mwaka 2004, aliona kuna kitu hakipo sawa ufukweni hapo.
Ilikuwa zimepita wiki mbili tu tangu aliposoma katika somo la Geography kuhusu Tsunami nchini kwao England, hivyo kwa kukumbuka kile...
Heri ya kuzaliwa kwako Mh. Tundu Antipas Lissu.
(Kawimbo) Happy Birthday to youuu, Happy Birthday to youuu Happy Birthday Deat Lissuuu, Happy Birthday to youuuuuuuuuu!
Unapoanza mwaka wako wa 54 Mwenyezi Mungu akujalie afya njema na maisha marefu.
You are the HERO!
Ule mkono wa Mungu...
Job Ndugai ajengewe sanamu ni shujaa ile hotuba ni kiboko.
Nilichogundua kwenye ile hotuba ni kwamba Ndugai alikuwa amejiandaa kwamba liwalo na liwe.
Alikuwa ameamua kutoa yake ya moyoni.
Amezungumza ukweli, na umemweka huru.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.