Wakuu katika kuperuzi peruzi mitandaoni nimekutana na hii kitu, nikasema basi sawa kizuri kula la nduguzo.. karibuni.
DUNIA HADAA WALIMWENGU SHUJAA
Yupo wapi Paul Makonda
Lile bwana lililojiona ni Alfa na Omega katikati ya Jiji la Dar, alijifanya yeye ni kila kitu, akatangaza watu wa mikoani...