matokeo ya kidato cha pili 2009 yametoka ambapo 35% ya watahiniwa wote wamefeli,
Nini maoni yako.
Soma Pia:
Matokeo ya Kidato cha pili-2011
Matokeo kidato cha pili hatimae yatolewa, mkoa wa D'salaam washika mkia.
Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Pili 2014
NECTA yatangaza matokeo ya Mtihani...
Matokeo ya kidato cha sita kwa mwaka 2010 yametangawa rasmi. Unaweza kuyaangali yote kupitia website ya NECTA.
Kibaha, Mzumbe, Ilboru, Marian zaongoza kama kawaida.
http://www.necta.go.tz/acsee2009/acsee2009.html
Soma Pia
Matokeo ya kidato cha sita 2010 hadharani
Matokeo ya mtihani wa kidato...
Yanaonyesha kuwa kiwango cha ufaulu kimeshuka kwa asilimia 10.13. Wanafunzi wengi wamefanya vizuri kwenye Kiswahili (aslimia 81.59) na wengi wamefeli basic mathematics (waliofaulu somo hili ni asilimia 24.33 tu).
Nyingi ay shule zinazoongoza kama kawaida ni za binafsi huku senminari zikionekana...
Matokeo ya mitihani wa darasa la saba yametoka na Mkoa wa Dar es Salaam umeongoza kwa kufaulisha ukifuatiwa na jiji la kitalii, mkoa wa Arusha. Cha kushangaza ni kwamba idadi kubwa ya waliofaulu hawatapata nafasi ya kuendelea na masomo ya kidato cha kwanza. Je hilo ni tatizo la nani? Na kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.