siasa za tanzania

Siasa za Tanzania
Siasa za Tanzania hufanyika katika mfumo wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Muungano, ambapo Rais wa Tanzania ni mkuu wa nchi, Amiri Jeshi Mkuu na mkuu wa Serikali katika mfumo wa vyama vingi.

Tembelea Jukwaa la Siasa
  1. meningitis

    Kushindwa kwa maandamano ya CHADEMA ni karata muhimu kwa Rais Samia na CCM

    Ni wazi kuwa Chadema ilijaribu kucheza karata zake kisiasa kadri ilivyowezekana ili kujirudisha kwenye ramani ya siasa Tanzania. Uchaguzi uliopita uliiacha chadema kwenye anguko kubwa yaani kutokuwepo kwenye eneo muhimu la kimaamuzi kupitia uchaguzi. Naamini baada ya kuliona hili viongozi wa...
  2. Erythrocyte

    Baada ya Shinikizo la Kimataifa, Viongozi wa CHADEMA Waanza kuachiwa, Mbowe, Lissu na Lema Waachiwa

    Mungu aendelee kuwabariki Wazungu, kwa wema wao wa kuhakikisha kwamba hakuna Mlevi wa Madaraka wa kiafrica atakayepumua. Hatimaye waliokamatwa kwa Mbwembwe ya Doria ya wiki nzima Wanaachiwa bila Masharti yoyote. Muliro Unajisikiaje, Aibu ya milele ikuandame wewe na kizazi chako chote, Amina...
  3. Erythrocyte

    Kanisa Katoliki Parokia ya Msimbazi Centre lazingirwa na Polisi ili kumkamata John Mnyika

    Hii ndio Taarifa ya Sasa, tukiachana na zile porojo za RPC wa Dar kwamba Mnyika Hawindwi, Inakuwaje asiyewindwa aviziwe kanisani na kuvuruga Ibada za Watu? Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limeweka kambi kwenye viwanja vya Kanisa Katoliki Parokia ya Msimbazi Centre, kumsaka Katibu...
  4. Tlaatlaah

    CHADEMA mkajipange vizuri, vinginevyo hiki kilichofeli pakubwa leo kitajirudia tu tena

    Kujipiga kifua kote kule, press conference kila siku, kila mara, mmefikia wapi mpaka sasa, na matokeo ya hayo yote ni nini na kiko wapi sasa? Mnapuuza ushauri wa kitaalamu na mipango mikakati ya wabobezi katika siasa, mnaendekeza hisia, mihemko na kutegemea huruma za wanainchi kama dira na...
  5. milele amina

    Pre GE2025 Ushauri kwa CCM na Polisi wa Tanzania na hofu unayojengeka kwa wananchi

    Kuna dalili kwamba wananchi wa Tanganyika wanakabiliwa na hofu kubwa ndani ya mioyo yao. Wakati wanapowaona polisi, wanawafikiri kuwa ni wawakilishi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), na kwa upande mwingine, wanapokutana na wanachama wa CCM, wanawaza kuwa ni polisi. Hali hii inadhihirisha jinsi...
  6. Mwamuzi wa Tanzania

    Hawa vijana wa CCM wamefunzwa kukilinda chama. Hawana mpango kabisa na ulinzi wa rasilimali za Taifa

    Ule ukatili wa Hitler huenda ukaonekana Tanzania miaka 10 ijayo kuanzia sasa. Hawa vijana wa CCM wamefunzwa kukilinda chama . Wameapa kulinda chama. Hawana mpango kabisa na ulinzi wa rasilimali za Taifa hili teule. Wanalinda chama kwa hali yoyote kwa mgongo wa kulinda amani Ni wakati wa kuomba...
  7. Cannabis

    Pre GE2025 ACT Wazalendo yawaomba CHADEMA kuahirisha maandamano waliyopanga kufanya 23/09/2024

  8. L

    Tundu Lissu, demokrasia kipindi hiki imekuwa zaidi kuliko huko nyuma, acha kujitoa ufahamu

    Nimekusikiliza Wakili Msomi Tundu Lissu ukisema kwenye mkutano wa TCD kuhusu tathmini ya hali ya demokrasia nchini, ulieleza kwa takwimu kuwa wakati huu wa Rais Samia demokrasia imerudi sana nyuma kuliko wakati wa Magufuli. Wakili Msomi Tundu Lissu naona umejizima data. Kuna utofauti mkubwa...
  9. Bob Manson

    Marafiki wanataka weekend twende kwa Mkapa, nimekataa na kuwaambia najiandaa kwenda kwenye maombolezo tarehe 23

    Habarini waungwana.... Vijana na marafiki zangu wananiambia weekend twende kutazama mechi ya simba, nimewaambia siendi. Siwezi kwenda kupoteza pesa zangu kwa ajili hiyo, nimewaambia ni heri jumapili nipoe na kusubiri Jumatatu ifike ili niende kwenye maombolezo kwani huko ndipo roho na akili...
  10. The Palm Beach

    Mbowe: wanaokusudia kuandamana wana hasira na wataandamana. Namna ambavyo wanajiandaa wao kutuua na sisi huenda tunajiandaa kufa

    Mwenyekiti wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania(TCD) Freeman Mbowe ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) amesema wamekuwa na majadiliano ya mara kwa mara na serikali lakini makubaliano ya majadiliano hayo yamekuwa hayatekelezwi. Pamoja na wadau mbalimbali katika...
  11. CARIFONIA

    Wengi wana macho ila ni wachache wanaoweza kuona

    Habari zenu waungwana, leo nimeona nifunguke hapa ili niweze kushea nanyi mambo nilyoyaona baada ya kufanya critical thinking ya hali ya juu Natambua watu wetu wa intelejensia wameshaliona hili jambo tatizo lipo kwa watanzania wa kawaida, wengi information zao uzipata kupitia vyombo vya habari...
  12. D

    Kuwa na vyama ambavyo havina itikadi hata moja ni shida sana. Wanabaki wanasubiri tu Rais leo anasema nini ili kukosoa

    Hivi ukumuuliza John Mnyika, Tundu Lisu au Mbowe anaamini katika nini na ana ideology gani hata hajui. Yeye au wao ni kuangalia tu wafanye fujo namna gani ili wasikike. Nchi zingine kama marekani kuna ideologies kama left wing politics au right wing politics hivyo wapiga kura wanakuwa...
  13. Mkalukungone mwamba

    Mbowe: Tulianza kuona matunda ya demokrasia katika nchi yetu lakini ghafla ule uimara haujawa endelevu

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe akizungumza katika mkutano wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) ambao umewakutanisha wadau mbalimbali amesema Katika kipindi kifupi ambacho tulishaanza kuona matunda ya demokrasia katika nchi yetu, kwamba kiwango kikubwa...
  14. Mtamba wa Panya

    Jinsi maandamano ya CHADEMA 23/9/2024 yatakavyozimwa kirahisi

    Zingatia matukio matatu yafuatayo: 1) Tarehe 21/9/2024 (Jumamosi) Muda: 08:30 pm Tukio: Young Africans (TZ) vs CBE (Ethiopia) Competition: 2024-25 CAF Champions League 2) Tarehe 22/9/2024 (Jumapili) Muda: 04:00 pm Tukio: Simba SC (TZ) vs Al Ahli Tripoli (Libya) Competition...
  15. jingalao

    UVCCM ni wakati wa kuingia kwenye Social Media na kueleza ukweli!

    Haiwezekani kuwaacha vilaza waliofeli eti ndio news makers huku mitandaoni na kuchukua credits eti wao ndio wasemaji wa Taifa. Wito wangu kwa vijana makini na waliolelewa na kufunzwa vyema na wazazi pamoja na vyombo vya chama cha Mapinduzi na Serikali kuingia rasmi mitandaoni na kuwapa...
  16. jingalao

    Serikali isiogope na wala isiendeshwe na posts za mitandao ya kijamii!!

    Wapo wanaoamini kuwa Serikali inaogofya na kuendeshwa na posts za wanaharakati wa mitandaoni. Wapuuzi hawa wanaamini kuwa wakipost tu Serikali inahamaki na kuchukua hatua. Bado wanajiaminisha kuwa posts zao tu zinaamsha hisia za wananchi na jamii ya kimataifa. Wamelekewa hivyo na wameamini...
  17. jingalao

    Chadema imedhihirisha kuwa haiwezekani kuwaamini wapinzani

    Hata iweje wapinzani wanabaki kuwa wapinzani tu.hawana zuri bali ni watumia fursa tu.Ni mafisi wanaosubiri mfupa. Hawana sera na hawataki kujielekeza kwenye hoja ya kuikwamua nchi kutoka kwenye makucha ya kikoloni. wapinzani ni zao la ukoloni. Hata wapewe nini watabaki hivyo tu. Je...
  18. ChoiceVariable

    Prof. Kitila Mkumbo: Wapinzani Wanauza Malalamiko, CCM inauza Mafanikio

    My Take Wapinzani wa Tanzania ni uchwara na hawajitambui . 👇👇 "Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imetekeleza miradi mingi ya maendeleo hasa kwenye Jimbo letu la Ubungo ndio sababu tunasema wapinzani wanauza malalamiko lakini sisi CCM tunauza mafanikio" Prof. Kitila...
  19. Nigrastratatract nerve

    Tetesi: Nchimbi na Makalla Jiandaeni hamtakiwi CCM, Sabaya kuwa Mkuu wa Mkoa wa kilimanjaro na Musiba kuwa mkuu wa mkoa wa Mara

    Kuna mabadiliko kidogo ya kiuongozi yatafanyika hivi Karibuni. Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro kuwa Sabaya na Musiba kuwa mkuu wa Mkoa wa Mara huku Paul Makonda akitazamiwa kuwa katibu mkuu mpya CCM, na Polepole Humphrey atakuwa Waziri wa Tamisemi. Dr Bashiru Ally kuwa waziri wa Mambo ya ndani na...
  20. R

    Pre GE2025 Kwa hotuba ya Rais Samia huenda kuna watu wanatumbuliwa hivi karibuni; vita ya uchaguzi ni kubwa kuliko tunavyodhani

    Vita ya uchaguzi ni kubwa sana ndani na nje ya CCM . Upo uwezekano wenye nguvu na wanaotaka madaraka wanatumia mbinu nyingi kupata uungwaji mkono. Hasira ya Mhe. Rais siyo ndogo na si yakipuuzwa. Kuna wanadamu wamesambaza sumu au baadhi mchana wapo CCM usiku wanafadhili mipango ya uchaguzi...
Back
Top Bottom