Sifa zangu
1. Mkristo( dhehebu A.I.C)
2. Nina miaka 30
3. Mwenyeji kanda ya ziwa.
4. Elimu shahada ya kwanza (sijaajiriwa, nipo nashughulika na kilimo)
5. Urefu 165cm, rangi ni maji ya kunde.
6. Mpole sana kijana mwenye hofu ya Mungu.
SIFA ZA MKE NINAYEMHITAJI
1. Umri miaka 20-25
2. Dini...