MAPISHI, BURUDANI NA MIJADALA VYANOGESHA SIKU YA KISWAHILI COMORO
Watanzania waishio nchini Comoro na wananchi wa Kisiwa cha Ngazija na wanadiplomasia wameshiriki katika Maadhimisho ya Siku ya Kiswahili Duniani kwa burudani mbali mbali pamoja na mijadala.
Takribani washiriki 500 wamejitokeza...