Sisi watu wa Kanda ya Ziwa, hili somo tunalifundishwa tangu utotoni.
Unatembea na simu nne, wallet, kipegi, pafyumu, kondomu — lakini huna hata kisu!
Kwa mwanaume, silaha ni lazima. Kujihami na kushinda ni lazima.
Sio kidume unatekwa, na watekaji wanatoka wananukia pafyumu. Lazima upasue...