simba na yanga

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mama Edina

    Mechi ya simba na Yanga

    Hii mechi nataka kuhudhuria je ni lini inachezwa??
  2. Joseverest

    Simba SC yatangaza haitacheza mechi dhidi ya Yanga, Wakidai vitendo visivyo vya kiungwana dhidi yao

    Katika taarifa kwa Umma waliyoitoa saa 7 na dakika 46 usiku wa 8/3/2025 klabu hiyo imesema haitoshiriki mchezo huo wa Derby uliopangwa kufanyika majira ya saa 1 usiku 8/3/2025 kutokana na kuzuiliwa kufanya mazoezi uwanja wa Benjamin Mkapa na Wanaojiita Makomandoo wa Yanga Nini maoni yako? soma...
  3. mwehu ndama

    Hili la Simba na Yanga huenda nalo likawa ni jambo la kisiasa!

    Serikali inamkono mrefu Kamaa wa jini maimuna. Hili limedhihirika hapo jana baada ya sintofahamu bin zengwe iliyosababisha mashaka makubwa juu ya uwepo wa mchezo wa Leo wa Yanga vs Simba. Duru za mwehu ndama zinasema mchezo huu umeingiliwa kati na serikali ya mama Kizimkazi, kwa kuzingatia...
  4. Waufukweni

    Bodi ya Ligi yaitisha kikao cha dharura kujadili malalamiko ya Simba SC na kususia mechi ya dabi

    Kufuatia kile ambacho kimetokea usiku wa wa jana kwa Simba SC kuzuiwa kufanya mazoezi katika Uwanja wa Mkapa, na kueleza hawatashiriki mchezo wa Dabi ya dhidi ya Yanga SC. Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi Kuu (TPLB) Mzee Steven Mguto ambaye amefunguka kwamba kamati ya usimamizi na uendeshaji wa Ligi...
  5. A

    Simba na Yanga ziache ubinafsi kwa maslahi ya taifa

    Ndugu wana JF, Kwanza nikiri kuwa mimi ni shabiki wa Simba Sports Club Miaka 33 sasa. Juzi nilikuwa Igurusi mkoani Mbeya kuna sehemu nilikuwa napata chakula. Eneo nililokuwepo nilikutana na wanachama na mashabiki wengi sana wa Simba sports club wakiwa wamevalia jezi za Simba huku wakiwa na...
  6. Mbabani

    TFF & Bodi ya ligi watakuwa dhaifu mbele ya Simba na Yanga hadi lini?

    Salam wapenda "kandanda". Kwa muda mrefu shirikisho la mpira wa miguu Tanzania limekuwa dhaifu inapotokea inshu ya SIMBA & YANGA. TFF na bodi ya ligi (bodi dhaifu kabisa) wanakua tayari kuvunja kanuni na sheria walizotunga wenyewe ili kuwanufaisha SIMBA & YANGA . Hii derby ya 08/03/2025 Simba...
  7. GENTAMYCINE

    'Jeuri' ya Klabu ya 'Yanga' na 'Makomandoo' wake inatokana na huyu Mstaafu na hawa Viongozi Waandamizi wa Serikali ya Rais Samia

    1. Rais Mstaafu Kikwete 2. Makamu wa Rais Dk. Mipango 3. Waziri wa Fedha Dk. Nchemba 4. Waziri Mavunde 5. Waziri Kikwete 6. Msemaji wa Serikali Msigwa 7. Mkuu wa Mkoa DSM DC Chalamila Laiti hawa Wachache niliowataja hapa (pamoja na wengine ndani ya Chama CCM) wasingekuwa wanaonyesha wazi wazi...
  8. Waufukweni

    Aziz Ki anasumbuliwa na nyonga, kukosekana mechi ya dabi dhidi ya Simba

    Kocha wa Yanga Moulid Hamdi anasema kuna hati hati kumtumia Stephane Aziz Ki katika Derby ya kesho kutokana na kuwa na maumivu ya nyonga. "Hii mimi sio dabi yangu ya kwanza kucheza nilishacheza dabi ambayo ina watu zaidi ya laki moja na ishirini uwanjani, nina mchezaji mmoja pekee ambae hayupo...
  9. upupu255

    Yanga wameshinda derby 3 kati ya 4 za mwisho alizochezeha Ahmed Arajiga

    Takwimu zinaibeba Yanga, mechi za derby za mwisho alizochezeha Ahmed Arajiga Mwamuzi Ahmed Arajiga amechezesha michezo minne ya derby kati ya Yanga na Simba, ambapo Yanga wameshinda mechi tatu na moja Simba. Hizi ni takwimu za matokeo ya michezo aliyochezesha Arajiga: Yanga 2-1 Simba...
  10. marashi ya pwani

    Chama tawala na upinzani haviwezi kuwa na ushabiki kama wa Simba na Yanga?

    Kama hutuwezi kuvumiliana katika hili basi hakuna haja ya kuwa na vyama vingi Shabiki wa YANGA na Simba wanapata huduma sawa na hakuna kati Yao anaeoneka si BINADAMU sahihi Lakini Leo inafikia hatua ukiwa chama Cha upinzani unaonekana mpinga maendeleo mleta vita mtu usie stahili katika jamii...
  11. Waufukweni

    Tetesi: Inaelezwa Ali Kamwe kafungiwa miaka 2, Ahmed Ally anusurika na rungu la TFF

    Wakuu Kama kweli adhabu ndio hizi una mtazamo gani? Kuna kitu kitapungua kwenye Soka la Bongo? Ikumbukwe, Mameneja hao wa Habari na Mawasiliano wa vilabu vya Simba Sc na Yanga Sc, Ahmed Ally na Ally Kamwe wote waliitwa kwenye Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF)...
  12. upupu255

    Mbunge Tarimba atoa ya moyoni kuhusu Dabi ya Kariakoo, awataka marefa kutenda Haki

    Mbunge wa Jimbo la Kinondoni na Shabiki mkubwa wa timu ya Yanga SC Mhe. Tarimba Abbas kupitia mahojiano aliyofanya na ITV Digital ametoa maoni yake kuelekea kwenye Dabi ya Kariakoo kati ya timu ya Yanga SC na Simba SC. Kwenye Mazungumzo hayo Mhe. Tarimba amewataka marefa kutenda haki na kusema...
  13. GENTAMYCINE

    Jumamosi ndipo wote mtakubaliana nami kuwa Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally ni mwana Yanga SC 100% tukishatoka kupewa Kichapo cha uhakika

    Na ninasisitiza tena sina Chuki nae kama Mwanahabari mwenzangu, ila simkubali kwakuwa ninamjua ni Yanga SC 100%.
  14. D

    Waamuzi Mechi ya Simba Vs Yanga kwanini wasitoke nje ya nchi na uwanjani kuwepo na Tv moja maalum ya (REPLAY mbadala wa VAR?)

    Hakuna asiyejua ushabiki wa kimpira kwa simba na yanga kwa raia wengi wa Tanzania! Pamoja na kuwepo sheria za mpira lakini mapenzi huwa hayafichiki kwa refa! Kwanini mechi za Derby ya simba na yanga waamuzi wasitoke inje? Na TV itumike kama mbadala wa VAR? Haya tuseme Refa wa inje hayupo...
  15. Waufukweni

    Mzee Azim Dewji: Arajiga akichezesha najua Simba wataonewa

    Mdau mkubwa wa michezo nchini na Mwanachama wa Klabu ya Simba, Mzee Azim Dewji amefunguka kuhusu waamuzi ambao watachezesha Dabi ya Kariakoo. Wakati huo huo, kamati ya Waamuzi nchini inemtangaza Ahmed Arajiga kuwa ndio mwamuzi wa mchezo wa tarahe 8 pale Dimba la Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.
  16. Moshi25

    Kelekea Derby ya Simba na Yanga tarehe 8 March , ili Yanga ishinde inapaswa kuweka pembeni ubinafsi wa mchezaji mmoja mmoja

    Yanga ni timu kali kwasasa kwa kuangalia uwezo wa mchezaji mmoja mmoja na timu kwa ujumla hivyo derby ya jumamosi Yanga ana nafasi kubwa ya kushinda kwa kuwa Simba ina hofu na tayari mnyama kaelekea kibla tayari kwa kuchinjwa na kuliwa supu. Yanga imeifunga Simba mechi nne mfululizo na kuwalaza...
  17. U

    Kikosi cha Yanga cha kumfukuzisha kazi Fadlu na lawama kwa uongozi wa Simba

    Habarini za Jumapili, Leo hatuna mambo mengi, nakuja na kikosi ch Yanga ambacho kitaanza na mechi dhidi ya Simba makolo, kikosi hili kitaleta madhara Kwa watu wengi sana, kuanzia Kwa Uongozi wa Simba, Mwenye timu(M0), Waziri Mkuu, Washabiki, pamoja na msemaji Ahmed. Natabiri mechi hii...
  18. King Leon 1

    Azam FC ni sikio la kufa ,hawajui hitaji lao nini asa ukiacha kukamia Simba na Yanga

    Kiukweli mimi kama mdau wa soka la Tanzania na dunia kwa ujumla, nashindwa kuelewa kuhusu Azam FC, kiufupi hii timu inawachezaji wa hali ya juu na vitu vyote vya kimichezo kama uwanja na facilities zote zipo lakini Azam Fc imekuwa ni timu ya mechi mbili tu yaani Vs Simba na Vs Young Africans...
  19. matunduizi

    Maana yake ni nini: Nimepita klm 300 Matawi ya Simba na Yanga Barabarani ni Mengi kuliko ya CCM na CHADEMA.

    Nimesafiri kuvuka mikoa mitatu na Wilaya zaidi ya 5 kanda ya ziwa. Nilikuwa nimekaa mbele nikitathmini hali ya kisiasa na kiburudani njiani. Nilichogundua mawe ya msingi ya kuonyesha uwepo wa matawi ya Simba au Yanga ni mengi kuliko Ya Vyama vya siasa. Najiuliza Watu wamehamia kwenye burudani...
  20. Waufukweni

    Aweso amuumbua Eng. Hersi mbele ya Rais Samia kwa kudai huwa anaenda Pangani Kuroga mechi za Watani wa Jadi (Simba na Yanga)

    Waziri wa Maji Jumaa Aweso amuumbua Rais wa Yanga SC, Eng. Hersi Said kwa kudai kuwa huwa anaenda kuroga mechi ya Watani wa Jadi (Simba na Yanga) ili washinde "Pangani ilikuwa kama Kisiwa, ili mtu aje Pangani lazima aje kwa makusudio maalum, aje kuzika, amesikia labda kuna mganga mzuri wa...
Back
Top Bottom