simulizi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Askarimaji

    Simulizi tamu ya aliyewekeza kwenye taaluma

    Injini ya meli kubwa iliharibika, na hakuna alieweza kuitengeneza, wakaamua wamtafute fundi mwenye uzoefu wa miaka 30, alipofika akaiangalia injini yote kwanzia juu hadi chini, baada ya kukagua kila kitu akatoa nyundo ndogo iliyokua kwenye begi lake akagonga sehemu flani ya injin kidogo sana...
  2. Tumbili wa mjini

    Hii ndio simulizi bora ndani ya JamiiForums

    Soma hii simulizi kwenye link unipe maoni yako https://www.jamiiforums.com/threads/simulizi-ya-kijasusi-mke-wangu-rudisha-moyo-wangu.2316545/
  3. Tumbili wa mjini

    Simulizi ya kijasusi: Mke wangu rudisha moyo wangu

    Note : 18+ MKE WANGU, RUDISHA MOYO WANGU Awamu ya Kwanza: Siri ya Kivuli Nilisimama mbele ya dirisha la ghorofa ya tatu nikiangalia mitaa ya jiji kwa tahadhari. Taa za barabarani zilimwaga mwanga hafifu juu ya barabara yenye watu wachache. Moyoni, nilijua sikuwa salama—na wala si kwa sababu ya...
  4. Mshana Jr

    Haya maisha yanapotea kwa kasi. Kuna wakati yatabaki kwenye vitabu vya simulizi tuu

    Maisha ya kijijini.. Mandhari za kuvutia sana.. Changamoto kiduchu.. Wote mnafamiana.. Hakuna gesti za wageni au ni chache na hizo chache hazina shorttime na hazina vibao vya vyumba vimejaa😀
  5. THE BEEKEEPER

    Tupeni simulizi kidogo kuhusu hiki kitabu

  6. chizcom

    “Everyday” ya Phil Collins: Simulizi ya Maumivu na Kumbukumbu za Mapenzi

    “Everyday” wa Phil Collins Wimbo “Everyday” wa Phil Collins ni mojawapo ya nyimbo zenye hisia nzito zinazozungumzia maumivu ya moyo baada ya mahusiano kuvunjika. Wimbo huu ulitoka mwaka 1993 katika albamu yake Both Sides, ambayo ilijulikana kwa mtazamo wake wa kibinafsi na wa kina wa hisia...
  7. Xav Emmanuel

    SIMULIZI: KANGA SEASON 01

    HADITHI FUPI - S01E01 "KANGA" - [Rudisha Kwa Mhusika] Mtunzi. Xavery Luoga (Mkandarasi) Na. +255672493994 ___________________ Atuganile Chamse, mrembo aliyeshindana na mumewe kwa muda mrefu, muda huu alikua anamalizia kupanga vitu vyake kwaajili ya kumkimbia huyo mumewe. Safari yake ya siri...
  8. Tajiri Sinabay

    Simulizi: My family 02

    Simulizi: My family Sehemu ya pili Mtunzi: Kijana Masikini ILIPOISHIA "Daa Qashy nae akapanda bodaboda na kumpa ishara dereva aifate pikipiki aliyopanda yule mzee. Muda huo watu walikuwa wanaendelea na shughuli zao kama kawaida, mimi nikaenda sehemu aliyotupa simu...
  9. Tajiri Sinabay

    Simulizi: My family

    Simulizi: My Family Sehemu ya kwanza Mtunzi: kijana Masikini UTANGULIZI. Wamakonde tunasema "nnume alage mmahe anyete" Yaani "Mwanaume apambane hadi kukonda ili mwanamke anenepe" Simulizi hii ni zawadi ya valentain day kwa mtu mmoja humu jamii forums, Kama olivyo kwa konde boy ndivyo ilivyo...
  10. K

    Kuna simulizi naitafuta humu. Title nimeisahau nakumbuka habari za mtunzi

    Wakuu napenda sana simulizi. Hii simulizi mhusika alienda kijijini kwa babu yake. Akaenda kuishi pangolin siku tatu. Alipewa ufunua na kuona ambavyo wengine hatuvioni. Kwa kifupi ni simulizi ya kweli kwa.mujibu wa mtunzi. Naomba ambaye anaifamu anitag nayo. Wasalaam
  11. GadoTz

    Simulizi, Mikasa, Vitimbi na Visa vya wasanii wa zamani wa bongo fleva - A special thread

    Hii ni thread maalum ya simulizi mbalimbali pamoja na visa, mikasa na vitimbi vya wasanii wa zamani wa bongo fleva. Stay tuned....
  12. kibangubangu

    Simulizi: Tenjee na Zingota

    TENJEE na ZINGOTA (Sehemu ya 1) MSITUNI KWA ZINGOTA** Jengo la lililochakaa katikati ya msitu wa kale uliokauka. Kulikuwa na wanawake wawili katika jengo hilo, mmoja ni binti mdogo na mwingine mtu mzima. Binti mdogo mrembo, alikuwa amelala, wakati mkubwa alikuwa mzee sana hata hakuweza...
  13. Cecil J

    John Wick 2014 haina simulizi inayoeleweka! Storyline yake ni mbovu!

    Awali ya yote kwa yeyote aliyekuja pupa ili kunijibu nina maneno mawili tu, "Punguza spidi", rejea kichwa cha uzi kisome vizuri kisha urejee tena. Nakiri kwamba sikuwahi kuangalia filamu ya John Wick hapo awali, nilikutana na Posters zake tu ila sikupata muda wa kuitazama. Siku ya juzi...
  14. Abou Shaymaa

    Simulizi: Nyuma ya mlango wa adui

    Naam Kwa Wale Wapenzi Wa Simulizi Mtumzi Wetu EDGAR MBOGO ametuandalia Kigongo Kingine Hichi Sio Cha Kukikosa Kitakujia Hapa Hapa Jamii Forums, Kwa Wale Ambao Wamesoma Simulizi Ya (Asali Haitiwi Kidole) Huyu Deusi Frank Nyati Atakaetajwa Humu Ndio Kaka Yake Edgar Na Shemeji Yake Radhia Sasa...
  15. R

    Eti ni kwanini ndani ya BIBLIA hakuna simulizi za utani Wala mzaha, tunapata fundisho Gani?

    Salaam,Shalom!! Enyi Wana wa Mungu msomao BIBLIA, ni wapi umewahi kusoma simulizi yoyote yenye utani au mzaha? Yaani ukakuta Mungu akimtania Nabii wake, au Nabii alifanya mzaha Kwa wafuasi wake? Hii mizaha na utani wafanyayo watumishi wa Mungu wa Leo wakiwa madhabahuni wanaitoa wapi? Wana...
  16. Magical power

    Mchoro unaonyesha simulizi ya Kusikitisha ya Jamaa mmoja aliyekuwa anafahamika kwa Jina La John Jones

    Mchoro unaonyesha simulizi ya Kusikitisha ya Jamaa mmoja aliyekuwa anafahamika kwa Jina La John Jones, ambaye alikwama kichwa chini miguu Juu ndani ya pango kwa saa 28 kabla ya kufariki dunia. Alikwama mahali ambapo hakuweza kutoka alikuwa hawezi kwenda mbele wala kurudi nyuma. Baada ya...
  17. Rahidin73

    Simulizi ya kweli : Nani alistahili?🎵🥱 (Kisa cha mapenzi chenye kusisimua)

    NANI ALISTAHILI 🎵🥱 Sehemu ya Kwanza MTUNZI: Madodi ✍🏼 WHATSAPP: 0655 969 973 Mambo?? Habari?? Hi?? Zilikuwa jumbe tatu nilizozikuta upande WA messenger katika account Yangu ya Facebook Kutoka Kwa Rick. Nilijiuliza 'nani huyu?? Mbona jina jipya simfahamu?' Niliamua kujibu Kwa sms moja "Safi nani"...
  18. Rahidin73

    Simulizi: Naitwa mume zoba kwa kumpenda mke wangu. (kisa cha kweli cha kusisimua)

    SIMULIZI: NAITWA MUME ZOBA KWA KUMPENDA MKE WANGU. SEHEMU: 1 MTUNZI: Madodi ✍🏼 Whatsapp: 0655 969 973 Naitwa Iqram, kijana mrefu, mweusi mwenye tabasamu la kuvutia ambalo lilikuwa na uwezo wa kuwatoa watu wasiwasi hata kwenye hali ya huzuni. Nilikuwa na bahati ya aina yake kwa kumwoa Zuhura...
  19. X

    Ujumbe kwa waoaji: Kuna tofauti ndogo sana kati ya haya makundi 4 ya wanawake

    Kuna haya makundi 4 ya wanawake yanafanana sana Mwanamke mcheza porno Mwanamke mcheza onlyfans Malaya anayejiuza Mwanamke asiye bikira (mdangaji) hili ndilo kundi ambalo wanaume wengi miaka hii wanaoa Jambo kuu wanalofanana hao wote ni kwamba wanaitumia miili yao ili kuingiza pesa na pili...
  20. Anonymous77

    Simulizi za kijasusi kutoka kwa Patrick C.K

    Jipatie simulizi za kijasusi Ambola Mwamba The last chapter Scandal The football Peniela Queen monika Miss tanzania Capture or mission Kiapo cha jasusi Kikosi cha siri Dear mathew mulumbi BY Patrick c.k kwa mfumo wa soft copy PDF mwanzo mpaka mwisho kwa bei nafuu TSH 1500 WhatsApp 0658068872
Back
Top Bottom