Giza limekuwa jeusi tiiii...
Huenda msimu ujao ukawa mgumu zaidi kwa simba kiasi cha kutokuwepo hata top 10 😂😂
Msimu ujao ninachoona historia huenda ikajirudia kwa Simba kurudia lile tukio la kuweka mpira kwapani na kukimbia uwanjani kipindi cha kwanza wakiwa wameshakula goli za kutosha...
Hapo awali ilikulikana Kama DTB fc saivi ni Singida Fc itakayoshiriki ligi daraja la kwanza(championship) msimu wa 2021/2022 imekamilisha usajili wa nyota wakubwa ikiwemo.
Amis Tambwe
David Mwantiaka
Tafazwa kutinyu
Shafiq Batambuzi
Juma Abdul
Nk
Tujiandae kuwaona Vpl mwakani??
Je wataweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.