Singida, is a city in central Tanzania. The city is the location of the regional headquarters of Singida Region as well as the district headquarters of Singida Urban District. The region and district are named after the town.
Habari wakuu,
Nimepata safari ya kiutafiti Maeneo ya wilaya ya Mkalama, sina idea yoyote kuhusu eneo hilo, sina mwenyeji kule na sijawahi fika kabisa.
Naomba kujuzwa yafuatayo;
1. Nasafiri kwa magari gani nikitokea Dodoma.
2. Kuna nyumba za kulala wageni? avarage price?
3. Maeneo standard ya...
Baada ya Singida Black Stars kuwa na mwanzo mzuri katika NBC PL, mpiga porojo kutokea Wasafi Media, Oscar Oscar ameipa nafasi timu hiyo kutwaa ubingwa wa NBC PL mbele ya Yanga, Simba na Azam.
Wakuu kama mtakumbuka mwezi mmoja uliopita niliandika Mada kuhusu wasajili lain za simu wanavyotapeli Watanzania wenzetu.
Sina mengi naomba uchukue Muda kidgo sikiliza audio hapo chini
Habari,
Nina kazi ya kukusanya data kwa wakulima wa alizeti katika Wilaya ya Iramba Mkoa wa Singida.
Natafuta jumla ya vijana sita waliomaliza degree lkn hawana ajira kwaajili ya kukusanya data katika maeneo mbalimbali ya Wilaya hiyo.
NOTE: MUHUSIKA AWE ANAPATIKANA WILAYA YA IRAMBA
Malipo...
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe William Lukuvi akizingumza wakati akifungua maonyesho ya saba ya mifuko na programu za uwezeshaji wananchi kiuchumi mkoani Singida leo Septemba 10, 2024.
NA MWANDISHI WETU – SINGIDA.
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu...
Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) Raymond Mndolwa akimuonesha Waziri wa Fedha, Mhe Dkt. Mwigulu Nchemba (Mb) ramani ya jiografia ya bonde la umwagiliaji Ulemo-Zinziligi-Mbelekese lililopo katika halmashauri ya wilaya ya Iramba mkoani Singida.
Aidha Mndolwa amewaelekeza...
Uongozi wa Klabu ya Singida Black Stars unapenda kuwajulisha wadau na mashabiki wetu kuwa tumeona taarifa zinazosambaa kuhusu maslahi ya mchezaji wetu Israel Patrick Mwenda tuliyemsajili msimu huu 2024/2025 kwa Ada ya TZS 200m.
Makubaliano ya mkataba yaliweka kiasi cha pesa kinachotakiwa...
Pimping - Kupata fedha kwa njia ya kuwadalalisha wanawake watumike kingono
Kumekuwa na michezo michafu inafanyika mabinti wa mikoa hiyo Songida, Manyara na Dodoma wanaitwa kuja kwenye majiji wakiahidiwa kazi kumbe ni mambo mengine kabisa.
1, Bar - Yaani wauza bar na Pub imekuwa kama wamekariri...
Agosti 26, 2024 Jeshi la Polisi lilitoa mendelezo wa uchunguzi na mahojiano yaliyofanywa dhidi ya watuhumiwa watatu waliobainika kumuua Samwaja Sifael Said kwa kumnyonga hadi kupoteza uhai kisha kukata sehemu zake za siri na kufukia wili wake katika shimo.
Baada ya mahojiano na ushirikiano...
Nimeona mashabiki na wanachama wa Simba wakifurahia kupitia kiasi ushindi wao wa mechi 2 dhidi ya wagonjwa TABORA united na singida FOUNTAIN GATE lakini Kuna wengine wanaoujua mpira Wala awakufurahi Bali wanasema Simba bado aijaanza ligi kulingana na aina ya timu walizokutana nazo kuwa ni dhaifu...
🚨 Transfer News Live:Arsene Bucuti To Fountain Gate🔜
Klabu ya Fountain Gate,iko kwenye mazungumzo ya mwisho kukamilisha usajili wa msemaji wa Vital’O arsene Bucuti.
Singida wamempa ofa ya mkataba wa mika miwili wenye $2500 (tsh 6,721,237) kama Sign-on fee) mshahara wa $1500 (tsh 4,032,742)...
Haya mambo yanahitaji uchunguzi, na subira, huyu naye chadema walisema katekwa na polisi
=====
Jeshi la polisi mkoani Singida linawashikilia watu watatu akiwemo mganga wa kienyeji ambaye hajaweza kufahamika jina lake baada ya kutuhumiwa kumuua kijana samwaja na kumnyofoa baadhi ya viungo na...
TAARIFA KWA WATEJA KANDA YA KATI NA KANDA YA KASIKAZINI MABORESHO YA MITA
ZIMEBAKI SIKU Kwa Mikoa ya Morogoro, Dodoma, Singida, Manyara, Arusha, Kilimanjaro na Tanga Zifuatazo ni hatua za kufuata katika kuboresha mita yako
HATUA YA KWANZA: Pindi unaponunua umeme kwa simu au wakala wa kuuza...
KAA TAYARI: Ni zoezi la Maboresho ya Mfumo wa LUKU kwa wateja wa Mikoa ya
Morogoro, Dodoma, Singida, Manyara, Arusha, Kilimanjaro na Tanga
Sasa ni zamu yenu, tunawafikia hivi karibuni..!
USIBAKI NYUMA
Usiache kufuatilia Taarifa kwenye Mitandao ya kijami na vyombo vya habari
kuhusu zoezi hili...
Maulid Kitenge akija kwenye shughuli yako kama Mc hamna hamna ubaoni uwe na Milioni 15 mpaka 20.
Klabu ndogo ya mkoani kama Singida ambayo inategemea mapato ya mlangoni wanawezaje kumlipa pesa nyingi hivyo Maulid? Hiyo hela wanapata wapi?
Hii ni mara ya pili naibiwa pesa kwenye stendi hii ya singida mara ya kwanza niliibiwa laki tatu stendi hii ya singida aisee sasa naona watu wa singida mmenizoea sana aisee na mniibia kwa style ile ile tu sijui nyie watu niwafanyia nini aisee
Kuna siku mmwamenivunjia kioo cha gari langu crown...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.