single

A single parent is a person who lives with a child or children and who does not have a spouse or live-in partner. Reasons for becoming a single parent include divorce, break-up, abandonment, death of the other parent, childbirth by a single person or single-person adoption. A single parent family is a family with children that is headed by a single parent.

View More On Wikipedia.org
  1. BabaMorgan

    Majukumu yanavyofanya watu kujiweka kando na single mama

    Key point ni MAJUKUMU mengine ni minor issues kwa nini wadau wanajiweka mbali na single mother. Kitabu Cha Wasifu wa Malcolm X kinaelezea baada ya baba yake kufariki mama yake alikuwa na mahusiano na mwanaume mweusi kutokea Lansing lakini mahusiano hayakudumu mwamba akasepa sababu kuu ni...
  2. RaiaMbishi

    Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

    Binafsi nimekuzwa na kulelewa na mzazi mmoja ambaye ni mama, sijawahi pata hata mapenzi ya baba nilipokuwa mwana. Kulea mtoto binafsi bila msaada wowote ilikua ngumu sana kwa mzazi wangu lakini alijifunga shuka kiunoni na kutosalimu amri ya uvivu. Kwakweli malezi ya mzazi mmoja pekee yana...
  3. K

    Nimetokea kumpenda sana single mother yaani nipo njia panda

    Mimi sio mtu ninaependa hovyo. Ninatabia ya kuwaelewa wanawake fulani wenye nyota ya mvuto. Yaani kuna wanawake unakuta wanaume wamejipanga wote wanamfukuzia. Sasa huyu single mama anashida kwenye mahusiano na hataki kusikia harufu ya usumbufu. Mimi nae tunalonga vzr. Nimeanza kumwambia kwa...
  4. Genius Man

    Uzi maalumu kwa wale wote walio single

    Katika uhalisia wale wote walio masingle wamekuwa na upweke sana kwenye jamii hata hivyo ni kundi kubwa lenye mchango mkubwa kwenye jamii katika nyanja mbalimbali. Kwa kutambua uwepo wao na mchango wao mkubwa katika jamii huu ni Uzi maalum kwa wale wote walio masingle hawajaowa wala kuolewa...
  5. Braza Kede

    Faida na hasara za kuishi single

    Tuanze na faida -Uhuru wa kujiamulia mambo yako mwenyewe pasipo ulazima wa kushauriana au kumshirikisha yeyote. - Hauwajibiki kwa yeyote. Hakuna wa kukuuliza, mfano-saivi uko wapi (hili swali hili wanaume wenzangu kama nawaona ivi👀👀), unafanya nini? upo na nani, mbona kama nasikia sauti...
  6. Nobunaga

    Men's Session: Kamwe usioe single mama mwenye mtoto wa kiume

    NI MWIKO. Hii ni code ya enzi za mababu. Kwa zama hizi vijana hawapewi tena a,b,c za maisha, basi wanajiendea tu. Single mama wapo toka enzi na enzi. Na walikuwa wanaolewa sana, lakini kuna miiko iliwekwa ili kutoharibu "nature of things". Mwanaume ukioa single mama, hakikisha hana mtoto wa...
  7. RRONDO

    Pongezi kwenu Single Mothers

    Today I would like to celebrate single mothers. I may not have been raised by one but the burden of single motherhood is not lost on me. One of my ex is a single mother. She has one lovely boy! From what i see her go through, my admiration and respect for her goes higher each day. Single...
  8. Surya

    Walio single Tupeni hoja zenu

    Nafanya research kidogo mnisaidie.. nahitaji majibu yenu ya Yes or No. Type Y if Yes, or Type N if No. Hapo ulipo unatamani mwenza mfundishane mapenzi, just hamu ya sex na mtu mwingine. kiasi kwamba unaona hutendewi haki, relationship ni kitu unataka kwanza kwaajili ya sex muhimu Na kuna wale...
  9. Top Gun

    Single moms poleni kwa upinzani mkubwa mnaopokea humu, huruma yangu iwafikie.

    Tuko pamoja, nyie ni strrong women ndio maana mnapambana kulea watoto hii midume iliokimbia. Kama unahitaji faraja zaidibya kiakili na kimwili nicheck inbox ujisiikie and ukumbukie usichana wako ila mind you, sina hela 😁😁😁😁😁😁😁
  10. Top Gun

    Single moms poleni kwa upinzani mkubwa mnaopokea humu, huruma yangu iwafikie

    Tuko pamoja, nyie ni strrong women ndio maana mnapambana kulea watoto hii midume iliokimbia. Kama unahitaji faraja nicheck inbox ujisiikie and ukumbukie usichana wako ila mind you, sina hela 😁😁😁😁😁😁😁 Mweusi, mwembaba, sura kama mimi, etc i dont discriminate (in big pun's voice)
  11. sergio 5

    Siku nne baada ya kumtongoza single mother nimeombwa 10k ya mchezo

    Bhana uku na uku uku na kule nikajuana na single mama mmoja mzuri sana sura trakon 👍 yaani yupo kamili kweli Kijana nikatema vocals nikakaziwa nikawa na force nikimsisitizia kuwa Mimi nimemuelewa sana Akiwa anakaza Leo jioni nikachekiwa jioni nikachekiwa sorry nimetoka kanisani "Nina shida...
  12. haszu

    Aliezaa na miaka 30 na kuendelea, msimuite single mother, hakutaka kukosa yote.

    Sasa mtu ukute amesoma, ila ajira hana, mume wa kumuoa hana, anafika miaka 30, window ya kupata kupata ujauzito inazidi kushuka, mnataka afanye nini? Kuliko kukosa vyote anaamua japo apate faraja ya mtoto. Msiwasakame sana hawa waliozaa kuanzia 30 na kuendela, wamejifanyia uokozi. Sitetei...
  13. N

    Kuna madhara yoyote kukaa single muda mrefu?

    Heri ya mwaka mpya wana JF, nmewamiss maana kitambo sana sijaja jukwaani, Nashukuru Mungu Mambo yanaenda vizuri mwaka mpya mambo mapya Alhamdullilah, ila upya huu umekuja na usingle. sasa basi kukua kwangu kote huwa nadumu sana kwenye mahusiano ila nikiachana na mtu napata moya gurudumu...
  14. Lighton

    Single mothers wapambanaji sana

    Miongoni mwa Aina ya wanawake wapambanaji katika hii Dunia ni Hawa single mothers. Big up sana💪 NB: unaweza kuwa mwanamke mpambanaji Kama ukiamua kuwa hivyo, "siyo mpaka upigwe tukio"
  15. M

    Single mother (Hamisa Mobeto) kaolewa kwa kishindo. Hili huenda likafufua matumaini ya wengine huku mitaani

    Ndoa ya Aziz k na hamisa mobeto ni alama na mfano wa kuigwa kwa sababu 1. Hakuna mwanaume mwenye utimamu wa akili na mwili anaweza badili Imani yake ya dini , mahusiano yake na MUNGU kwa sababu ya mwanamke, lakini Aziz k amefanya 2. Hakuna mwanaume ambaye ana akili zake sawa anaweza chukua...
  16. K

    Mwanzoni mnasema mpo single baadae mnasema kuna mtu nyie wanaume mna shida gani??

    Nimekumbuka hili tukio huwaga linaniumiza sana… Unakuta mwanaume anakuangaikia kukupata mnaenda vizuri mara anabadilika mwisho wa siku ana kwambia yeye kuna mtu yuko nae kabla yangu so ina maana mimi ni mchepuko wake Oya kuna Kijana mmoja baada ya kuwa na kutokuelewana sana kati yetu...
  17. Alvin_255

    "Never mess with someone who is not afraid to be alone. You will lose every single time."

    Speaks to the strength and independence of a person who is comfortable being on their own. Here's a deeper interpretation: 1. Independence: Self-Sufficiency: The quote highlights the power of independence. A person who is not afraid to be alone is self-sufficient and doesn’t rely on others for...
  18. StaceyD

    Natafuta chumba single self,moshono arusha

    Habari zenu wadau,hasa wakazi was Arusha. Naomba msaada mwenye kujua,natafuta single self budget 80k isizidi 100k maeneo ya moshono,nikipata nyumba ikiwa mpya,ina geti itakuwa POA zaidi
  19. Robert Heriel Mtibeli

    Nasisitiza, kijana kama upo chini Miaka 40 usioe Single mother. Hilo huhitaji mjadala

    Kwema Wakuu! Nafahamu Nina rafiki zangu wakike waliosingle mothers. Ninajua wapo dada zangu wakike single mother Na ninajua wapo watoto wakike huenda wakawa single mother. Lakini hii haitanifanya nisiseme Jambo hili. Kama Una Miaka chini ya arobaini yaani ni kijana. Mimi kama Taikon Master, na...
  20. Poor Brain

    Nimezama kwenye penzi la single mother ila naogopa

    Wakuu salama salama.. Wakuu mpaka sasa nimekua naogopa mno maana nimejikuta natumia mda mwingi kuwaza kuhusu hili penzi la single mom mmoja hapa mtaa wa kati. Huyu binti ukimuona uwezi amini kama ni single mather wakuu kuna watu wana miili ya kitoto. Nachoogopa ni kuwa mara nyingi anaongelea...
Back
Top Bottom