A single parent is a person who lives with a child or children and who does not have a spouse or live-in partner. Reasons for becoming a single parent include divorce, break-up, abandonment, death of the other parent, childbirth by a single person or single-person adoption. A single parent family is a family with children that is headed by a single parent.
Kila kitu kipo kwa sababu, watu wapo kwenye uhusiano wa kimapenzi kwa sababu mbalimbali zinazoeleweka kabisa kama kujenga familia nk.
Sasa kwa nyinyi mlio single Nipe Sababu ya msingi kabisa kwa nini upo single?.
KWA KIZAZI CHA SASA. UKISHAKUWA SINGLE MOTHER TAFUTA TUU PESA. HAKUNA MWANAUME ATAKAYEHITAJI SINGLE MOTHER MASKINI ASIYE NA KAZI
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Mambo ya ûkipenda Boga penda na ua lake ni Misemo ya kipigaji waliopigwa Wazee wa Miaka ya Uhuru Huko.
Mambo mengi...
Ukistaajabu ya single maza kama yalivyo kwenye uzi wa Record Man
Unaosema: Ushuhuda mwanaume mwenzenu: Nilioa Single Mother yalioyonikuta ni haya. Nilichukua uamuzi huu...
Leo mdau wenu Pang Fung Mi nasema kwa uchungu kabisa sababu ya kuwa mwanachama hai na wa kudumu wa muda wote wa Chama cha wakataa Kuoa na kataa kuishi kindoa na Mwanamke.
Wanawake wamejaaliwa roho mbaya na roho chafu sana, roho ya kupewa, roho ya Chawa, roho ya kiroboto.
Wanawake wengi...
Nipo hapa kutafuta mchumba mwanamke nimekuwa single kwa muda mrefu.
Vigezo dini yeyote, umri wowote sichagui mahusiano serious kwa ambaye yupo serious ani Pm niko DSM.
I SAID I LOVE YOU BUT I LIED
(Wikiendi njema mpenzi, Take care)
You are the candle, love's the flame
A fire that burns through wind and rain
Shine your light on this heart of mine
'Til the end of time
You came to me like the dawn through the night
Just shinin' like the sun
Out of my dreams...
UMEZALISHWA, UKATELEKEZWA. SASA UNAITWA SINGLE MOTHER. FANYA HAYA:
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Kwèñye Maisha mambo meñgi usiyoyatarajia Wala kuyajua huweza kukutokea. Hata usiamini kwamba kweli yamekutokea. Wala usijali. Hayo ndîo Maisha.
Ikiwa ikatokea umezalishwa kibahati mbaya, au...
Leo nimeamua niongee Na Hawa single mother s , kwanini mmeamua kuwatesa watoto wenu? Ni sawa umezaa Na jamaa huenda ilitokea kwa bahati mbaya ulikuwa humpendi au mlikuwa wapenzi kwa bahati mbaya katika mahusiano yenu ukawa umepata ujauzito, baadhi ya wanaume ni kweli wanakuwa hatawaki kutoa...
Habari zenu wote ndugu jamaa ma rafiki
Uzi huu ni maalum Kwa ajili ya kuwapongeza single mamas wote guniani kote. Ukweli kutoka moyoni hongera zenu ziwafikie Popote mlipo kwenye hili gunia lililokuwa zamani dunia.
Sio jambo jepesi kupata kazi mnayotakiwa kufanya watu wawili Kwa muda wa maisha...
Wanawake hupenda wanaume machachari ambao hawajatulia hata kidogo. Sie walokole tutaishia kupendwa na mama zetu tu. Nilibakisha kamoja, nako kameyeyuka yeyu kisa tulikuwa tukiongozana kuelekea somewhere, kwa bahati mbaya akakatiza mwanamke mmoja hivi ameushona mtrako wa kwenda, mlainiiii, halafu...
Nahitaji mwanamke wa kuishi nae, ambae tayari kashazaa.
Awe na umri kati ya 23-27yrs.
Mtoto awe mmoja tu.
Kabila, awe katika lolote kati ya haya,
Mnyamwezi -Tabora, Nandi from Kenya, Tutsi from Rwanda, Mdigo -Tanga, Mrangi- Dodoma, Mkerewe-Mwanza, Msukuma -Geita.
Rangi, awe mweusi asilia ambae...
Hii inafikirisha sana na inaonesha ni kwa namna gani wanawake wengi ni wabinafsi.
Mwanaume akipata pesa atakachofikiria kuoa na kupata watoto na kuendeleza familia iwe bora zaidi .
Ila sasa kwa wanawake wakishapata pesa tu cha kwanza watakachofikiria kama yupo ndoani atataka avunje hiyo ndoa...
Hakuna ubishi unapoomba kazi moja ya sifa na kigezo kinachozingatiwa ni uzoefu wa kazi how long you work for the position?una yafahamu vyema majukumu yako na kuna impact gani umeifanya katika taasisi yako uliyotoka?
Lakini mambo yamekuwa tofauti katika mahusiano hivi kwanini wanaume tunawakataa...
Habarini wanajamvi.
Imeshakuwa ni wimbo wa taifa kuwatuhumu single mothers kwa uzembe na kuwa number one suspects katika kushiriki kuibomoa taasisi nyeti sana ya familia.
Upo ukweli katika hili wapo wengi wao sana walijiingiza katika mahusiano kwa tamaa aidha kwa kujihusisha na wanaume wenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.