A single parent is a person who lives with a child or children and who does not have a spouse or live-in partner. Reasons for becoming a single parent include divorce, break-up, abandonment, death of the other parent, childbirth by a single person or single-person adoption. A single parent family is a family with children that is headed by a single parent.
Tangu Kanumba kufariki, soko la Movie moja moja hapa Tanzania limekuwa gumu sana, na waigizaji wengi sasa wamejikita kwenye vipande vya video fupi fupi za kupost instagram na YouTube, na waigizaji wakubwa wamejikita zaidi kwenye Tamthilia.
Soko la Movie Moja moja (Single Movie) kwa kweli...
Wakuu
Mimi ni kijana miaka 30 sasa, nimekuwa nikijihusisha na mahusiano ya kimapenzi na wanawake wa aina tofauti tofauti, lakini mwisho wa siku najiona kabisa nahitaji kuoa mapema hapo mwakani
Changamoto yangu kubwa nashindwa kuamua kati ya kumuona baa maid ambaye hajawahi kuzaa I mean yupo...
Hongera sana #Kondeboy kwa kuingiza wimbo 1 kwenye top 5 ya nyimbo bora za Afrobeats kwa mwaka 2023 huko Spotify..
Siku zote kazi bora huwa inaonekana, kizuri chajiuza kibaya chajitembeza. Ukitoa wimbo mkali utabaki kuwa mkali tuu hata usipofanya promo. Tujifunze kwa wanaijeria, hawana shobo na...
When it comes to love, everything else doesn’t matter. That’s why you can fall in love with a single mother. Since her good heart is everything you need, you don’t care even she already had children. But if you want to get things more serious with her, you might find out the reasons why you...
Ni siku ya leo nimekumbuka nikiwa kwenye mahusiano hapo miaka ya 2015 na binti moja mrembo, mapenzi yalinoga sana lakini baada yakuanza kuishi nae niliona mapungufu mengi sana, la kwanza kabisa alikuwa hajui kupika yani ugali sometimes unakuwa mbichi halafu hata hajishughulishi kuongeza mboga za...
Habarini wakuu,
Nimefungua uzi huu kwa lengo la kutaka kujua wastani wa hali za wenzangu wanaoishi katika status ya u-single hasa katika gharama zetu za kujimudu kimaisha zipo vipi? Kwa mfano katika siku mtu unatumia wastani wa gharama kiasi gani katika kula, Vocha na Usafiri?
Kwa mfano mimi...
Kama mwalimu ambae ninakutana na watoto wengi kutoka katika 'background' tofauti tofauti, naomba niseme watoto wanaolelewa na mzazi mmoja hususani mama (single mother) ni jipu kubwa ambalo linahitaji kutumbuliwa mapema Sana.
Watoto wanaolelewa na mama pekee bila uwepo wa mzazi wa kiume...
Salaam wakuu.... Katika pita pita zangu kwenye machapisho mbali mbali kwa mara ya kwanza ndio nimejua maana ya single maza kwamba
Single =ina simama kwamba mwanamke huyu yuko single na hayuko kwenye mahusiano na
Mother=inasimama kama mwanamke huyu anamtoto.
Kwahiyo singo maza kitafsiri ni...
Alikuja na single yake ya bandari kwa speed sana.
Katika kujaribu kuhakikisha inabamba vema masikioni mwa Watanzania akawashirikisha rapa kadhaa. Hata hivyo single imebuma mazima; haisikiki wala haitakiwi.
Hivi shida ni nini wadau single ile kubuma kibudu namna ile?
Karibuni.
Habari Za Muduu Wote Wana jamii forum
Nimeona Kumekuwapo Mijadala Mingi humu Kuhusiana na Suala zima la (SINGLE MOTHERS) Kwa tafsiri ya Mama aliyekimbiwa na baba wa mtoto japo single mothers ina maana pana.
Lakini mimi sitotaka kwenda kwenye matokeo ya single mothers nataka nichungulie...
Naombeni ushauri wakuu.
Leo pia nimeahirisha jaribio langu la kutaka kuingia kwenye mahusiano, hii ikiwa ni mara yangu ya nne sasa, na hiki ndio hupelekea mimi kukumbana na hali hii.
👉Msichana nayempenda na kudhamiria kumtongoza nakuja kugundua kuwa kuna mtu mwingne bora zaidi yangu (status)...
Being single isn’t just about waiting for someone to come along. It’s about being comfortable with yourself until you meet someone who has lived a little, learned a lot, and can genuinely enhance your life.
The difference here is about depth. Waiting for someone who has experienced certain...
Pamoja na kwamba biashara ya ngono imekuwepo tangu enzi na enzi, katika nyakati za miaka ya hivi Karibuni kumekuwa na ongezeko la wanawake kuzaa nje ya ndoa bila kuwa na msingi wowote kimaisha, na wengine baadhi wameachika kwenye ndoa, wengine ni ndoa za vichaka yaani michepuko.
Shuhuda yangu...
Single Mothers Mnashindwa nini kawakataa Baba watoto wa vichakani kuwa huyu simjui na simfahamu na sina mtoto.
Unashindwa nini kumroga na kumpeleka kaburini haraka sana kibwengo msumbufu asiye na faida na mleta sumu kwenye maisha yako?
Ebu imagine single mother umezaa mtoto wa kichakani baba...
Habari wana JF.
Nina ndugu yangu mmoja upande wa mama, yeye KE.
Miaka kama 10 hivi iliyopita alikuwa na mahusiano na Jamaa mmoja hivi, walikaa muda tuu mpaka mahusiano yao yakazaa mtoto. Lakini baada ya kujifungua Jamaa alimkwepa sister.
Si unajua wanaume kwa kukimbia watoto wapo. Jamaa akawa...
MwanaFA akisimulia njia na hadithi ngumu ya maisha yake hakika Mungu wetu ni mkubwa sana. Natumia nafasi kumuombea heri na tuzo ya milele Babu yake MwanaFA ambae ni mzaa baba yake.
Tafadhari mwenye video full ya mahojiano aiweke hapa watu waone na wapate hisia za maisha yake.
Kisa Kiko hivi...
Dear Jf Crew team,
I am looking for a single woman who may become my 'Soulmate ever in my lifetime'.
My Merits:
My education is beyond Bachelor's degree
Employed by government
My age range is between 35 to 40.
Single woman merits needed
Education, the minimum should be a Bachelor's degree...
Kama mjuavyo Shemeji yenu nimempa likizo (ban) akajitathimini kama ndoa inamuhusu au ina wenyewe.
Sasa Kuna mambo nimekuwa nikiyafanya maghetoni nimeona niwashirikishe masela labda itawafaa kusevu muda na kurahisisha maisha.
Kwanza kusonga ugali siku mbili za mwanzo nliona kama adhabu ya kifo...
Haya ni baadhi ya mambo ambayo single mama wanatafuta kwa mwanaume:
1. Mwanaume Anaelewa, na kutambua shida za Single Mom.
2. Mwanaume aliye simama Kimaisha.
3. Mwanaume mwenye Fedha.
4. Mwanaume anayeweza kumlinda kihisia, mwanaume aliye kamili kihisia.
5. Mwanaume anayeleta Usalama...
Salamu jamii,
Tunazaliwa tunakutana na taratibu za jamii na za mungu.
Pamoja na vijembe vya wanaume desperate na wenye chuki za kitoto na za kimaskini.
Nawaambia kweli iliyo kweli, ukipata bahati ya kuwa na mahusiano na Single Mother anaejitambua hakika hata kama hutomuoa yeye basi iwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.