Ndugu zangu nataka niwatoe wasiwasi kuwa kujamiana sio jambo baya na msiogope kujamiana nawaomba mzingatie yafuatayo:
Usijamiane na mme au mke wa mtu
Usijamiane na watoto
Usimlazimishe mtu kujamiana nawe bila ridhaa yake
Zingatika kinga na hakikisha unazuia maambukizi ya magonjwa ya zinaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.