sirro

Paul Sironen (born 23 May 1965) is an Australian former professional rugby league footballer of Finnish descent who was a prominent Second-row forward for the Balmain Tigers during the late 1980s, and early 1990s. He was part of the team that played in successive Grand Finals in 1988 and 1989, and included other representative players Steve "Blocker" Roach, Wayne Pearce, Benny Elias and Garry Jack. He made a number of appearances for both New South Wales in State of Origin, and also for Australia, and has been named as part of the Wests Tigers Team of the Century.
Sironen is the father of Manly-Warringah Sea Eagles second rower Curtis Sironen who made his NRL debut for the Tigers against the North Queensland Cowboys in Round 12 of the 2012 NRL season and Bayley Sironen.

View More On Wikipedia.org
  1. Kamanda Asiyechoka

    IGP Sirro alituahidi kumkamata Mange Kimambi kwa udi na uvumba, leo hii tunamuona akipiga picha na Rais wa JMT. Ndio kusema hakuikosea Jamhuri?

    Ni cardinal principle kuwa jinai haina mwisho. Ndio maana hata kama ulitenda jinai baada ya miaka 20 ukikamatwa wanaanza na wewe. Mange alitukana na kukashifu serikali. Igp Sirro akasema lazima amkamate kwa vyovyote vile. Sasa hii ya Mange kupiga picha na rais akiwa Usa si kumkatisha tamaa...
  2. M

    Udikteta Tanzania: Polisi ya Simon Sirro yazuia wanawake kufanya mazoezi ya Jogging

    My Take: Hii nchi inaendelea kuwa na mambo ya kishenzi mpaka inatia hasira. Nyie endeleeni kuwapush wananchi to the limit. Mwana kulitafuta mwana kulipata
  3. S

    Kosa kubwa alilofanya IGP Sirro katika tuhuma za ugaidi dhidi ya Mbowe, ambalo linaweza kuleta fedheha mbaya kwake binafsi, kwa Polisi na Tanzania

    Huwa najaribu kumuelewa IGP Sirro katika suala la kesi ya ugaidi dhidi ya Mbowe, hadi najiuliza hivi kweli uwezo wa IGP Sirro katika kufikiria ndio umeishia hapo? Suala liko hivi. Huyo askari Luteni wa JWTZ anaita askari anasema ameambiwa na Mbowe kwamba anataka kufanya ugaidi, na anataka...
  4. Mzalendo Uchwara

    IGP Sirro viatu vimekupwaya mno, omba kupumzika

    Kulikuwa na haja gani ya kusema kuwa Polisi wataanza kukagua shule za dini zaidi ya kuleta taharuki na kuzalisha chuki? Kama Polisi inadhani kuna matatizo huko kwenye shule za dini, je mbinu sahihi haikuwa kuchunguza kimyakimya na kwa siri? Alafu bila aibu anasema eti amejifunza Rwanda! Kitu...
  5. Erythrocyte

    CHADEMA: Matamanio ya IGP Sirro anayosema amejifunza Rwanda kuhusu Polisi kuingia Misikitini na Makanisani na kuandaa mitaala ni kinyume na Katiba

    Kwanza Kabisa nichukue muda kidogo kumshukuru Mwenyezi Mungu , mwingi wa rehema kwa kutuwezesha kuamka salama , sema Amina . Baada ya utangulizi huo wa kiroho nafurahi kukufahamisha kwamba Chama cha Demokrasia na Maendeleo leo 14/9/2021 kitafanya Mkutano wake na Waandishi wa Habari kwenye ofisi...
  6. J

    IGP Sirro: Jeshi la Polisi kukagua yanayofundishwa kwenye nyumba za Ibada

    IGP Sirro amesema jeshi lake litaanza kukagua yale yanayofundishwa kwenye nyumba za ibada. Chanzo: Swahili times My take; Baadhi ya nyumba za ibada huzalisha magaidi kwa kufundisha kareti. === Jeshi la Polisi Tanzania limesema kuwa litakuwa likipita katika nyumba za ibada kukagua mafunzo...
  7. B

    IGP Simon Sirro arejea toka Rwanda, ziara ya kikazi imegundua mengi kuhusu Tanzania

    10 September 2021 IGP SIRRO AFUNGUKA KUHUSU UGAIDI, ATAJA ALIYOYAKUTA RWANDA "KIKOSI MAALUM, VYUONI, MADRASA" Baada ya Inspector General of Police (IGP) Dan Munyuza wa Rwanda kukutana na IGP Simon Sirro wamefanya mapitio ya taarifa za kiintelejensia zilizokusanywa kuhusu makosa yanayovuka...
  8. The Palm Tree

    Tundu Lissu: Polisi wote huni - treat with respect kila walipotumwa kunikamata isipokuwa baadhi kama afande Cammilius Wambura, Sirro na Kigaigai...

    Tunaendelea kupata simulizi za kusisimua toka kwa Tundu Lissu ikiwa ni sehemu ya kumbuizi ya miaka 4 tangu kufanyika kwa jaribio baya lililoshindwa la kutaka kumuua kwa risasi za kivita lakini likimwacha nusu mfu tarehe 7/9/2017.... Shukrani kwa madaktari wa hospitali ya mkoa wa Dodoma...
  9. Mr Putin

    IGP Simon Sirro afanya ziara nchini Rwanda

    Kukaa week nzima Rwanda kutafta ujuzi au?
  10. M

    Kwanini Watanzania wengi wanataka IGP Sirro aondolewe? Utendaji wake haufai?

    Mkuu wa jeshi la polisi ndio msimamzi mkuu wa shughuli za Jeshi hilo kwa kila namna, kuanzia utendaji, nidhamu na hata kufanya kazi kwa misingi ya haki. Kila kona sasa hivi inaonekana wananchi hawana imani na IGP Sirro. Je, ameshindwa kusimamia polisi kutenda haki? Huyu mama Suzan Kaganda...
  11. Dr. Wansegamila

    Najiuliza familia ya Hamza ilishiriki kumsaidia kufanya shambulizi lile? Kwanini walaumiwe Wazazi?

    Imeandikwa na: Charles William. JUZI nimeuona 'moyo' wa Inspekta Jenerali wa Polisi, Simon Sirro ukigugumia kwa hasira na uchungu. IGP Sirro ameumizwa sana na mauaji ya vijana wake (askari) wanne, yaliyofanywa na kijana Hamza Hassan Mohamed. Agosti 25, mwaka huu Hamza aliwashambulia kwa...
  12. Ophonso

    Ukisikiliza mahubiri ya hii video Kamanda Sirro alikuwa sahihi kabisa malezi ya Hamza

  13. N

    Watoto wa IGP Sirro nani anawafahamu? Tabia zao zikoje?

    Isiwe yeye kuwasema wenzake tu! Ni vema ambao wamebahatika kuishi na watoto wa Sirro watupe nyepesi nyepesi au nyeti nyeti kuhusu hao watoto. Kuna siku alionekana km vile anawanadi kwenye tukio la harusi - je mpaka anawanadi ni wameshindikana na hawaonwi na waoaji ama?
  14. N

    Sirro akimaliza muda wake, SACP Suzan Kaganda anafaa

    Wakuu huyu mama mm namkubari pamoja na mifumo inaweza muathiri lakin ni kiongozi hodari ..atapambana kikamilifu pia anaweza Fanya refoms nzuri ndani ya jeshi la police.. zaidi ya huyu sioni mwingine,,,wewe jee?
  15. R

    IGP Sirro, hakuna anayekuunga Mkono

    Kwa matamshi yako ya juzi na ulivyolishughulikia suala la marehemu Hamza, hakuna anayekuunga mkono. Kila mtanzania mwenye akili, mpenda haki, ukiacha wanaojikomba wapate mlo wao (wanafiki), watu wema, wapenda haki wanakulaani kwa matamshi yako. Unaonekana kuwatetea mapolisi pamoja na kuwa...
  16. Fundi Madirisha

    Kwanini wanalaumiwa Polisi na siyo Hamza?

    Katika pitapita zangu mitaani nimeshtushwa sana na wananchi badala ya kuhuzunika kwa gaidi kuuwa polisi wetu na badala yake wamegeuka wanawalaumu pili kwa matendo yao ya kubambikizia kesi,dhuluma,uonevu,kuchochea chuki,kuuawa raia wawapo mahabusu nk. Hii inaashiria kiti gani mbona si kawaida...
  17. Kamanda Asiyechoka

    IGP Sirro, kukiri hadharani kuwa polisi hutumia nguvu za ziada ni sababu tosha ya kuondolewa nafasi yako

    Kama mkuu wa polisi anakiri hadharani kuwa jeshi analolisimamia linatumia nguvu ya ziada basi ni wazi kuwa jeshi analosimamia huwa linafanya kazi kinyume cha sheria. Ni nguvu gani ya ziada inayotumika? Kupiga watu walio mahabusu ya polisi? Kutesa mahabusu wa polisi? Hii ni kinyume na katiba ya...
  18. S

    Nani anaestahili kuchukua nafasi ya IGP kumrithi Sirro endapo mabadiliko yakitokea?

    Iwapo Raisi Samia ataridhia kufanya mabadiliko katika Jeshi la Polisi kwa kumuondoa IGP Sirro, unadhani ni nani atafaa kukabidhiwa mikobo ya Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini? Inawezekana tunaona wengi wao ni tatizo, ila ukweli ni kwamba kuna mmoja,wawili au watatu miongoni mwao wanaweza kuwa na...
  19. V

    Hivi Mheshimiwa rais Samia, atavumilia mpaka mara ngapi kauli za IGP Sirro?

    Hakika Watanzania tumesikia kauli za mkuu wa Jeshi hivi karibuni, kauli tata sana kwa kiongozi wa juu wa serikalini. Kwanza tulisikia alipotoa kauli tata kuhusia na kesi ya Mbona ambayo tayari ipo mahakamani. Sijui kwa kutojua au uzembe wa kufikiri kwamba kesi ikishafika mahakamani sio jambo...
  20. K

    IGP Sirro anahujumu serikali waziwazi

    1. Kujaribu kumkenehi waziri wa Afya ambaye anahimiza chanjo 2. Mbowe kushikwa 3. Mbatia na NCCR kuzuiwa kufanya mkutano bila sababu hata waziri anashangaa. Hii ni pamoja na Raisi kuagiza Sirro inawezekana anatumika na lile group la wanaotaka Raisi Samia asifanikiwe. Kama Raisi usijivutevute...
Back
Top Bottom