SMart is a British CBBC television programme based on the subject of art, which began in 1994 and ended in 2009. The programme was recorded at BBC Television Centre in London, previously it had been recorded in Studio A at BBC Pebble Mill in Birmingham. The format is similar to the Tony Hart programmes Take Hart and Hartbeat. The show was revamped into an hour-long show in 2007; from 1994-2006 it was previously a 25-minute show. From 1994–2005, the show also featured Morph, originally from Take Hart. It has 199 episodes. CBBC last aired SMart on 11 August 2011.
Hebu tafakari kidogo – miaka 10 ijayo, jiji lako litakuwaje? Unafikiria majengo marefu zaidi? Magari yanayopaa? Well, sio mbali sana na uhalisia! Sasa hivi, tunazungumzia smart cities – miji ambayo inatumia teknolojia kuboresha maisha ya kila siku ya wakazi wake. Naamini umeona dalili za awali...
Kuna wakati naona sijawahi kukutana au kusikiliza kazi za msanii smart kama TID. Huyu jamaa kama utakurupuka hutaelewa..he is the smartest artist on earth
Jf,
Nimeamini kuwa taasisi ya ikulu iko madhubuti sana kwa kila hatua. Uteuzi huu wa KATIBU wa Bunge ni wa aina yake.
Mteua yuko makini sana
Mteule ni mcha Mungu sana
Bunge limepata mtendaji imara sana.
Kwa uteuzi huu nadiriki kusema Rais wetu yuko makini sana.
PIA SOMA
- Uteuzi Septemba 16...
Hili ni swali ambalo nimekuwa nikijiuliza. Nahitaji wataalam wanisaidie please. Kwa sasa nina Smart Tv hii ipo Sebuleni.
Nahitaji kununua Tv nyingine kwa ajili ya Chumbani. Angalau nipate 60" plus. But the question is je ninunue tena Smart Tv au sasa ninunue Android TV.
Je ipi ni bora katika...
Je, unataka simu bei chee?
Je, una abudget ndogo na unataka simu?
Je, unataka kufanya Top up au exchange?
Nambie una budget ngapi tukupe simu kali ya budget yako.
Exchange na Top up tunafanya!
Simu tulizonazo dukani ni;
📱Google pixel
📱aquous arrow
📱samsung
📱Iphone
📱LG
📱Sonny Xperia...
wakuu habarin , wapi naweza pata smart kitochi? nahitaj simu ya batan ndogo yenye uwezo wa internet na WIFI ya 3g au 4g kama ipo, nimechoka kutembea na router kila wakati..
The Imafidons are a Nigerian family of 7 living in England. Their father is Chris Imafidon and their mother is Ann Imafidon. Both parents are from Edo state who emigrated to England more than 30 years ago. They have 5 very intelligent children between them.
The family has achieved exceptional...
Faida za mipango mikakati, maagizo na maelekezo yanayoamuliwa na kutolewa kutoka vikao vya ngazi za juu vya CCM, hususani taifa, yanafika bara-bara na yanatekelezwa vizuri kikamilifu sana, na kwa ufanisi mkubwa mno kwenye matawi na mashina ya CCM huku mitaani na vijijini. hili liko wazi kabisa...
Around the world, corporations have turned devices into a surveillance machine.
Smart meters
Smart cars
Smartphones
Smart watch
Smart TV ect.
The word ‘SMART' refers to self- monitoring, analysis, and reporting technology. All the smarts are designed to talk to each other to create a mass...
Salaam wanajukwaa!
JamiiForums ni moja ya majukwaa ya kijamii yenye manufaa makubwa kwa kizazi kilichopo na kijacho. Ingawa kuna baadhi ya vijana wanaingia na kuanza kuharibu jukwaa hili kwa kuleta mada ambazo wakati mwingine zinalichafua jukwaa hili.
Sasa leo nina wazo/mada/tafakuri/ ambalo...
Sijui niandike vipi aisee!
Wanawake hakika wana upeo kutushinda wanaume, na kila atakayemsikiliza mke wake atafika mbali.
Kuna jambo nilikusudia kufanya nikawa na pesa pungufu, nikataka nifanye kwa uchache wife akasema usifanye hivyo hebu tulia tunza fedha ulifanye hili jambo kwa ukubwa na kwa...
Kama mkopo wowote, kama hakuna udhibiti madhubuti, pesa zitakwisha bila kujua zilikokwenda! Na kama mkopo wowote, hiyo miaka arobaini ya grace itapita kama maji.
Kama hujasikia, Tanzania imekopa na kupatiwa mkopo mkubwa zaidi kuwahi kutokea, na Jamhuri ya Korea Kusini. Pamoja na kupewa mkopo...
Kama kuna kitu hutakiwi kukosa kwenye Nyumba yako, basi ni huyu Janjaroo mdhibiti wa Umeme unaovuja, umeme unaokuwa na Mkwamo, kwa lugha ya kitaalamu ni Power Factor Solver.
Kwa maelezo zaidi nicheki whatsapp.
0715 240 140.
Katika pitapita zangu za hapa na pale nimekuja kugundua kwamba...baadhi ya wananchi wenzangu wa kitanzania wanapendelea kuona wenzao wakishindwa katika maisha, badala ya kufurahia au kuwahamasisha kufanikiwa zaidi (samahani chuki hii mimi naiita "wana roho ya kichawi")...
Wengi huombea wenzao...
Smart Security Glasses With Camera
✅TSH 150,000
💥 Camera yake ina uwezo wa 5MP
💥 Ina chukua video yenye ubora
💥 Ina record video na sauti kwa pamoja
💥 Camera Yake Ni ngumu kuonekana
💥 Ina Record kwa mda wa dakika 150 ikiwa full charge
💥 1080p Camera yake
💥 Unaweka memory hadi 128GB
💥 Inakuja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.