soccer

  1. Frustration

    Dream League Soccer Special Thread

    Hapa ni mahala salama kwa mpenzi wa Dream League Soccer(DLS). Game hili limetengenezwa na Kampuni ya FIRST TOUCH SOCCER(FTS). Game la DLS ni game bora zaidi kwa sasa duniani kwa upande wa soccer. SIFA PEKEE YA DLS 1. Linachukua nafasi ndogo kwenye simu. Pamoja na ubora wake wa graphics bado...
  2. mdukuzi

    Hivi soka inayochezwa Ulaya na hii ya kwetu ni mchezo mmoja au inafanana tu?

    Nitakataa mpaka kesho ukiniambia mechi za ligi yetu ya mpira wa miguu ni mchezo sawa na mpira wa miguu wa wenzetu tunaowaona kwenye Tv zile game za akina Mbappe, Messi na Ronaldo, adhani ni michezo miwili inayofanana tu, kama ilivyo soccer ya ufukweni nk. Mbona hawa wa kwetu wote wanakimbilia...
  3. Kasomi

    Makosa makubwa yaliofanywa na marefa katika historia ya soka

    Afcon 2022 Baada ya refa wa Zambia kupiga kipenga cha mwisho kabla ya muda wa mechi kukamilika katika mechi kati ya Tunisia dhidi ya Mali, wakufunzi wa timu ya Tunisia waliwasilisha pingamizi baada ya mechi hiyo wakitaka kujua ni kwanini refa huyo alichukua uamuzi huo kabla ya muda wa mechi...
  4. jollyman91

    Intercontinental beach soccer cup: Iran 6-1 Japan

    Iran have sealed their progression into the knockout stages, with a commanding 6-1 win over Japan in Group B of the 2021 Inter-continental Beach Soccer Cup in Dubai. After a goalless action in the opening time-frame, Team Melli took the lead, early in the second period through Mohammad Ali...
  5. Impimpi

    Official JF Soccer livescore

    Wakuu sometimes mtu unajikuta huna bando la internet na pengine umeweka mkeka wako na unatumia Freebasics huna access na internet.Tutumie huu uzi kufahamishiana matokeo ya mechi na ratiba za mechi za Tanzania na Ulaya pia.
  6. Titicomb

    Shabiki wa Liverpool wampa jina jipya mchezaji Kun Aguero

    Habari wadau wa michezo? Mashabiki wa damu wa Liverpool wana hasira sana na Aguero sababu ya unyama anao watendea mara kwa mara wakati timu yao LFC inapokutana uwanjani na Manchester City FC. Sasa katika kupoza machungu na kushangilia hasimu wao kupoteza pointi 2 jana tarehe 17/08/2019 Man City...
Back
Top Bottom