social distancing

  1. M

    #COVID19 Serikali: Ibada za misiba zisizidi dk 30 mpaka saa moja, zingatieni Social Distancing

    Prof. Abel Makubi Katibu Mkuu Wizara ya Afya Tanzania amenukuliwa akisema “Misiba yote ibada isizidi dakika 30 mpaka saa 1 na wahudhuriaji wawe wachache, hatujazuia kukaa misibani lakini mzingatie taratibu ikiwemo uvaaji Barakoa, unawaji mikono na kukaa umbali wa mita moja”
  2. Analogia Malenga

    #COVID19 Boris Jonson: Sheria za kuvaa barakoa na kukaa mbali hazitakuwa lazima Uingereza

    Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Jonson amesema kuwa yeye ataendelea kuvaa barakoa katika maeneo ya watu wengiImage caption: Waziri Mkuu Boris Jonson amesema kuwa yeye ataendelea kuvaa barakoa katika maeneo ya watu wengi. Waziri mkuu, Boris Johnson, alisema alitarajia kupunguza sheria za Covid...
  3. BASIASI

    Social distancing kwenye mabasi irudi, RC Makalla tusaidie

    Kwakoo Mh. Amos, baba hali iliopo tumefurahi kuhimiza watu wavaee barakoa wanawe Baada ya hapo naonba niweke wazi nilivhokiona jana basi za Tegeta - Kariakoo Wapendwa kwa yanayoendelea kama basi zinaruhusiwa kujaza vile wataisha wataisha Ukweli mabasi haya watu wanapumuliana live hakuna njia...
  4. Behaviourist

    #COVID19 Mbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima asema kutokufanya social distancing wakati huu wa Covid-19 ni msimamo sahihi

    Wakatia akichangia hoja Bungeni, leo tarehe 10 Februari, 2021, Mbunge huyo wa Jimbo la Kawe amesema: "Kuna ugonjwa wa Covid-19 ambao umetikisa dunia na nchi yetu imechukua msimamo tofauti na nchi nyingine zozote. Waheshimiwa Wabunge, natumia nafasi hii kuwatia moyo. Msiogope. Msiogope...
Back
Top Bottom